OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Habari wakuu,
Kwanza niweke wazi mimi Omoyogwane nipo Gamboshi bariadi nafanya research huku, kama kuna mtu anataka kuja PM sitamjibu Lengo la huu uzi ni kushare kile nilichokiona na kukijua, kama una swali uliza hapa hapa .
Kupanda cheo kuna mambo mengi nyuma ya pazia tena ya kutisha na kuopesha,
Kikawaida ktk ofisi yeyote kila cheo kinakuwa kina mtu, ili mtu apande cheo ni lazima aliyepo juu ashuke kisha wa chini apande, hapo .ndipo vita ilipo 😀
Kama unadhani masters au umahiri wq kuchapa kazi ndio kigezo cha kupanda cheo hapa Bongo basi niamini mimi kuna mambo mengi huyajui nyuma ya pazia
Huu ujumbe lengo lake ni kusanua watu wajue ukweli ulivyo, kama upo ofisi yeyote au ktk kampuni fanya research kuhusu hili jambo utabaki mdomo wazi.
Nakaribisha maswali na ushuhuda
Nawasilisha
Kwanza niweke wazi mimi Omoyogwane nipo Gamboshi bariadi nafanya research huku, kama kuna mtu anataka kuja PM sitamjibu Lengo la huu uzi ni kushare kile nilichokiona na kukijua, kama una swali uliza hapa hapa .
Kupanda cheo kuna mambo mengi nyuma ya pazia tena ya kutisha na kuopesha,
Kikawaida ktk ofisi yeyote kila cheo kinakuwa kina mtu, ili mtu apande cheo ni lazima aliyepo juu ashuke kisha wa chini apande, hapo .ndipo vita ilipo 😀
Kama unadhani masters au umahiri wq kuchapa kazi ndio kigezo cha kupanda cheo hapa Bongo basi niamini mimi kuna mambo mengi huyajui nyuma ya pazia
Huu ujumbe lengo lake ni kusanua watu wajue ukweli ulivyo, kama upo ofisi yeyote au ktk kampuni fanya research kuhusu hili jambo utabaki mdomo wazi.
Nakaribisha maswali na ushuhuda
Nawasilisha