Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,550
Katika hili naomba nieleweke kabisa kwamba katiba mpya si mali ya CHADEMA wala wanaharakati, ni mali ya watanzania wote wakiwemo wanachama wote wa CCM. Tusisikilize watu wachache wa taifa hili ambayo wanasema hakuna haja ya katiba sijui tusubiri kwanza.
Niwaambie wote tunaopigania katiba mpya ni kwamba duniani katiba mpya huambatana na matukio makubwa yakiwemo watu kuumizana na kupotezana hadi wengine kufungwa kwenye majela bila sababu za msingi. Mara nyingi walafi wa madaraka wasiopenda kupunguziwa madaraka yao ndio hua hawapendi kabisa mambo haya. Watanzania tupambane bila kujali kuna matukio gani yatatufuata lakini faida ni kubwa kuliko mbele udhaifu wa katiba iliyopo.
Tupambane, hata mwalimu Nyerere alikua akisikiliza wachache pale anapoona kuna umuhimu. Viongozi wetu wa leo wamejawa tamaa hawataki kabisa mambo haya na tusiwape nafasi ni bora tujaze majela yote Tanzania.
Leo watu wanalia na TOTO za kodi kwenye makato ya Miamala ya simu, wanalia na kuongezeka kwa gharama za LUKU,Pembejeo na mafu, hii ni kwa sababu ya watu wachache wasiojua maumivu ya wengine. Mtu moja kwa sababu ya udhaifu wa katiba iliyopo aliamua kujichagulia kundi lake la kulinda maslahi yake na ndilo linalotuumiza hivi sasa.
#KATIBA MPYA
#KATIBA MPYA
#DAI KATIBA MPYA
Niwaambie wote tunaopigania katiba mpya ni kwamba duniani katiba mpya huambatana na matukio makubwa yakiwemo watu kuumizana na kupotezana hadi wengine kufungwa kwenye majela bila sababu za msingi. Mara nyingi walafi wa madaraka wasiopenda kupunguziwa madaraka yao ndio hua hawapendi kabisa mambo haya. Watanzania tupambane bila kujali kuna matukio gani yatatufuata lakini faida ni kubwa kuliko mbele udhaifu wa katiba iliyopo.
Tupambane, hata mwalimu Nyerere alikua akisikiliza wachache pale anapoona kuna umuhimu. Viongozi wetu wa leo wamejawa tamaa hawataki kabisa mambo haya na tusiwape nafasi ni bora tujaze majela yote Tanzania.
Leo watu wanalia na TOTO za kodi kwenye makato ya Miamala ya simu, wanalia na kuongezeka kwa gharama za LUKU,Pembejeo na mafu, hii ni kwa sababu ya watu wachache wasiojua maumivu ya wengine. Mtu moja kwa sababu ya udhaifu wa katiba iliyopo aliamua kujichagulia kundi lake la kulinda maslahi yake na ndilo linalotuumiza hivi sasa.
#KATIBA MPYA
#KATIBA MPYA
#DAI KATIBA MPYA