Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasomi wa mchongo mnajimwambafai sana mpaka mnaharibu 😂 😂Mie mwenyewe ukikaa vibaya nakuchana kwa sababu nyie ambao hamjaenda shule mnapenda ubishi sana. Juzi hapo nabishana na mtu kuhusu balance diet ananifundisha wakati hajui halafu hataki kujua anatak abak na ubishi wake...
Nijibu tu vizuri swali nililo kuuliza wala sina nia mbaya I'm about to be inspired Mkuunina gari, dstv ninayo, najenga kiota, wazazi nawatumia milioni kila mwezi, nalipia bando la internet gb 100 kila mwezi na bando la mawasiliano elf 30 kila mwezi..
tatizo lipo wapi ?
Wewe umeona umenikosoa hicho ki d ambacho hakikiwepokwa sababu ya typo 🤣🤣🤣 umeshindwa kwenda shule huwezi ukapiga kelele utabaki tu kuwa wa form fourWasomi wa mchongo mnajimwambafai sana mpaka mnaharibu 😂 😂
Sio balance diet ni balanced diet .. sasa hata wewe hujui vizuri unapata wapi jeuri ya kuwaambia wengine hawajui,
pia one size does not fit for all, ambao tuna elimu ya chini huwezi kutu generalize kwamba kila kitu atachofanya flani basi wengine wte wanafanya..
Mali hizi ndio zinakupa jeuri kujilonganisha na watu kumbe🤣🤣 kaza buti dogo bado uko nyumba japo unajitajidi ila bado sana. Kwa mda ambao umeacha kwenda chuo nikajua utakuwa mbali kweli🤣nina gari, dstv ninayo, najenga kiota, wazazi nawatumia milioni kila mwezi, nalipia bando la internet gb 100 kila mwezi na bando la mawasiliano elf 30 kila mwezi..
tatizo lipo wapi ?
Usiwe inspired na mali za mtu, Utajiri wa kwanza hapa duniani ni akili, These materialistic things that can be bought arent such substantive in terms of utajiri.Nijibu tu vizuri swali nililo kuuliza wala sina nia mbaya I'm about to be inspired Mkuu
1. Unamiliki gari gani?
2.utajiri wako unathamani ya TZS ngapi?
Ni kwamba mtu alieishia form 4 au darasa la saba hawezi ???Kwa taarifa tu! Wewe haujaishia form 4. Elimu yako ni ya chuo kikuu, ila unaishi masha simple kitaa kama unavyojinasibu!
Kuna wataalamu wa kubaini namna ya upangiliaji wa hoja, misamiati unayotumia, uunganishaji wa sentensi nk!
Yote kwa yote! Si vyema kuishi kwa kujiona umeyamaliza maisha kisa umesoma!
Wana madigree wanasota mtaani,Mwamba darasa la Saba Jackson Majaliwa kalamba ajira faster.Acha waendelee kutudharau tu, malipo ni hapa hapa.
Ungeenda tu shule mkuu ona sasa kumbe kweli akili imelala, fanya ukapigwe msasa mkuu elimu ni muhimu ndo maana mmiliki wa Facebook alirudi chuo pamoja na pesa zake?Usiwe inspired na mali za mtu, Utajiri wa kwanza hapa duniani ni akili, These materialistic things that can be bought arent such substantive in terms of utajiri.
Never confuse akili and uwezo wa kumeza vitini darasani, vitu viwili tofauti sana,
halafu me naona kila mtu ashinde tu game zake, wewe usiyesoma ukafanikiwa sawa tu, aliyesoma hajafanikia sawa tu pia, kikubwa kila mtu acheze zone yake
Uwezo wa kujibu mtihani nayo ni hatua.Very arrogant fellow, Jua kutofautisha akili na uwezo wa kujibu mtihani darasani.
kinachowasumbua watu dizaini hiyo ni uelewa mdogo wa mamboUnaweza ukasoma sana pia utadhataulika kama Huna Hela. Mwenye Hela ndio anaongoza kwa dharau Hawa wasomi feki hebu tuwaache maana wasipojisikia kwa kisomo Chao basi Hawana Cha kujisifia wataonekana wapo wapo tu. .
Mie mwenyewe ukikaa vibaya nakuchana kwa sababu nyie ambao hamjaenda shule mnapenda ubishi sana. Juzi hapo nabishana na mtu kuhusu balance diet ananifundisha wakati hajui halafu hataki kujua anatak abak na ubishi wake...
Unakuta jitu halijui alafu linakwambia niache navyokua Mimi inauma sana elimu yangu Nampa Bure kabisa alafu halitaki ..
Huwezi kunidanganya chohote kwenye ulimwengu huu wenye internet, mmiliki wa facebook alipewa tu honorary degree kama ilivyokuwa kwa bill gates, wala hakuingia darasani...Ungeenda tu shule mkuu ona sasa kumbe kweli akili imelala, fanya ukapigwe msasa mkuu elimu ni muhimu ndo maana mmiliki wa Facebook alirudi chuo pamoja na pesa zake?
Wivu tu kuoma mtu kaenda shule. Mara nying wasomi hawatumiki katika jamii hii ni shida.kinachowasumbua watu dizaini hiyo ni uelewa mdogo wa mambo
samaki ana mwendo wa kuogelea, farasi ana mwendo wa kukimbia, njiwa ana mwendo kwa kupaa .. elimu ni mwendo na huwezi kusema kisa samaki hawezi kukimbia kama farasi basi hawezi kuwa na mwendo.Uwezo wa kujibu mtihani nayo ni hatua.
Wengi tumeshindwa.