MdengestanfromCuba
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 629
- 658
upo wrong mkuu, mark alisoma sema hakumaliza tu degree yake, yaani mark hawezi kua kundi la wasiopiga kitabu hata kidogo, mark alijua alichokua anafanya, huku wengi hatujui hata nini tunachofanya, hiyo doctorate Havard walimpa kama kurecognize kazi yake pia kama aliyewahi kua mwanafunzi waoHuwezi kunidanganya chohote kwenye ulimwengu huu wenye internet, mmiliki wa facebook alipewa tu honorary degree kama ilivyokuwa kwa bill gates, wala hakuingia darasani...
Naona umesoma lakini hata internet huwezi kutumia,
View attachment 2410812
Mkuu pesa inaokotwa ila degree haiokotwi.samaki ana mwendo wa kuogelea, farasi ana mwendo wa kukimbia, njiwa ana mwendo kwa kupaa .. elimu ni mwendo na huwezi kusema kisa samaki hawezi kukimbia kama farasi basi hawezi kuwa na mwendo.
Wewe bwana ni famba hujui ata kupresent mada ikakubalika kwa watu ndo maana unapata upinzani mkali kwenye huu uzi wako jishitukie basi Kaka selemala.Huwezi kunidanganya chohote kwenye ulimwengu huu wenye internet, mmiliki wa facebook alipewa tu honorary degree kama ilivyokuwa kwa bill gates, wala hakuingia darasani...
Naona umesoma lakini hata internet huwezi kutumia,
View attachment 2410812
Naona unajitekenya tu, Mark ali drop out chuo cha Havard, Degree aliyopata sio ya kusomea darasani kama wanafunzi wengine, yeye alipewa honorary degree baada ya kutoa speech + mafanikio yake.upo wrong mkuu, mark alisoma sema hakumaliza tu degree yake, yaani mark hawezi kua kundi la wasiopiga kitabu hata kidogo, mark alijua alichokua anafanya, huku wengi hatujui hata nini tunachofanya, hiyo doctorate Havard walimpa kama kurecognize kazi yake pia kama aliyewahi kua mwanafunzi wao
mkuu amini kwamba ujinga bado ni janga kwa Tanzania yetu hii!!, kikubwa ajikubali tu ana asimamie anayoamini ipo siku haohao wakiona matokeo utawaona wanakuja tena kujifanya wanamkubaliWivu tu kuoma mtu kaenda shule. Mara nying wasomi hawatumiki katika jamii hii ni shida.
Mdogo wangu doctor mzuri sana dogo Mungu kampa kipaji Cha pekee ila ukiona mda mwingine anaweza fundisha hata mambo ya uzazi kwa masister au ndugu wanamgomea eti wao wameenda labor wanajua Zaid 😊
Usipokubalika huwezi kutoa msaada kwa jamii
mkuu sawa ni kama umeamua kua mbishi tu, ila ukitoa mifano ya wasioenda shule, Mark ni irrelevant kabisa, huwezi kumfananisha na ngumbaru wa huko buchosa mkuu!Naona unajitekenya tu, Mark ali drop out chuo cha Havard, Degree aliyopata sio ya kusotea darasani kama wanafunzi wengine, yeye alipewa honorary degree baada ya kutoa speech + mafanikio yake.
Hizo degree za honorary degree hata mtu ambae hajaingia darasani anaweza pewa.
Watu mlioishia la Saba na form four huwa hamjiamin sjui Kwa nn ( mna inferiolity complex Sana ) , kazi kuwananga waliosoma , asa kama umefanikiwa si unyamaze sasa , waliosoma sio kuwa hawafanikiwi ni suala la mda tuu na wao wanakuwa kwenye mstari , mda mwingi wanalost kwenye masomo , so wanachelewa ku_regroup.....!!!
Hivi umeweza ku comprehend ujumbe wa hii maada na kujua inawahusu kundi lipi ??tusijazane ujinga, shule ni muhimu sana kama tunataka kusonga, nyie mliokosa bahati ya kusoma basi wapeni fursa watoto wenu, shule sio vyeti maana hapa ndio panachanganya wengi, shule ni kile kinachobaki kichwani baada ya darasa
naelewa mkuu, nimejaribu kukazia tu ya moyoni, take it easy mkuu👍👍Hivi umeweza ku comprehend ujumbe wa hii maada na kujua inawahusu kundi lipi ??
NO RESEARCH, NO DATA , NO RIGHT TO SPEAK .... Endelea kubwabwajika maneno ya kanga, mimi nimeleta facts wewe unaleta maneno.Wewe bwana ni famba hujui ata kupresent mada ikakubalika kwa watu ndo maana unapata upinzani mkali kwenye huu uzi wako jishitukie basi Kaka selemala.
Ifike hatua wapumzisheni wasomi na masimango, yaan mtu akipata tu hela ya kubadirisha mboga akapata nafasi kwenye platform yoyote ni masimango tu kwa wasomi kwani ambao hawajasoma na wanapigika uko mtaani hawapo? Kama hustling zinakulipa usiwadhiaki waliosoma kama kusoma kunakulipa usiwadhiaki hustlers wote lengo letu ni kufanikiwaMUHIMU: Kwa wale baadhi yao wenye tabia hii, sio wote, wapo wanaojiheshimu !
Elimu yangu niliishia form 4, ilinibidi nianze maisha ya kujitegemea kwa kujifunza useremala naoufanya hadi sasa (najikongoja wala siwezi kujisifia nimefanikiwa )
Katika miaka mingi nimeweza ku observe kwamba kua baadhi ya wanachuo na wahitimu hasa wale wenye chini ya miaka miwili baada ya kuhitimu huwa wana prejudice ya kujiona kwamba wapo level ya juu kwasababu tu wamo kwenye mazingira ya kuzisomea degree ama wanazo tayari.
Kwakweli naweza kumuheshimu sana mtu alie elimika maana kwake anajua kwamba hakuna mtu anaejua kila kitu na kila mtu ni mwalimu wa mwenzake na elimu ni chochote utachojifunza hasa chenye kuleta msaada kwako au kwa jamii, hata kama ni kujifunza ufundi cherehani kwake anajua ni elimu, Hawa walioelimika ni ngumu sana kudharau wengine
Tatizo linakuja kwa hawa wengine sasa wasomi wa vyeti, wanachosoma ni cha kwenye syllabus ya mtihani tu, huyu ni msomi na hajaelimika kwasababu hana kiu ya kuelimika kwa kujisomea hata vitabu vya ziada angalau hata biblia ama quran, rich dad poor dad, 40 laws of power, vitabu vya kuishi na watu kama mtu ulieelimika vya dane, n.k. na ninaposema hawa ni wasomi wala sikosei, wakishamaliza masomo yao wakapata vyeti hawaji kusoma chochote, wao wamemamliza hapo!! kwa cha kusoma ni kile cha kujibia mtihani tu hata kam ni kukaririri... Na ndio hawa sasa baadhi yao wapo ambao huwa wanadhani kuwa na cheti ni kuwa na akili za mtu alieelimika, mtu anakuwa very arrogant, sifa kama zote watu wajue ana gamba (cheti), hataki kupokea ushauri wa wale ambao hawajasoma, n.k.
Sitaki kuonekana na wivu ama chuki yoyote kwa wasomi wetu wenye tabia hizi lakini huku mtaani wapo baadhi yao (sio wote) wenye tabia hizo, bila ajira wanatia aibu kwa kumeza jeuri waliyokuwa nayo ya kujimwambafai kwamba wamesoma sana, bila ajira wengi wanachokwa kubebwa nyumbani kwao na inabidi waanze kujipambania na ndio hapo wanapomeza jeuri yao kwa kuanza kuomba ramani za kufanya shughuli za kawaida walizozi dharau kama kuuza kiosk, kuchoma mishkaki, n.k.
Hivi kwa mfano kwenye hii maada huyo Mark nashangaa hata umemuingizaje ... Unaweza kutoa mfano wowote Mark Kadharau wenye elimu ya chini ??mkuu sawa ni kama umeamua kua mbishi tu, ila ukitoa mifano ya wasioenda shule, Mark ni irrelevant kabisa, huwezi kumfananisha na ngumbaru wa huko buchosa mkuu!
Kwenda tu Harvard inaonyesha ni kiasi gani mack alikua kipanga nazani unalijua hilo.NO RESEARCH, NO DATA , NO RIGHT TO SPEAK .... Endelea kubwabwajika maneno ya kanga, mimi nimeleta facts wewe unaleta maneno.
Muanzilishi wa Facebook aliacha chuo na kuikosa degree ya darasani, degree aliyopea ni kwajili ya mapinduzi kwenye ulimwengu wa teknolojia, alivyotoa tu speech akapewa.
Jua utofauti wa honoary degree na degree ya darasani, nafadhaika kukueleza hivi vitu mtu unaejiona ni msomi ila vitu hivi vidogo hata huvijui.
Narudia tena kukuuliza swali, Humu ndanimarrk umemuingizaje, Maada inazungumzia baadhi ya wasomi wanaodharau wenye elimu za chini, ni vipi umemweka Mark humu ambae hana dharau kwa wenye elimu za chini kiasi kwamba kaajiri hata wasio na degree kwenye kampuni yake ??Kwenda tu Harvard inaonyesha ni kiasi gani mack alikua kipanga nazani unalijua hilo
Elimu ni muhimu, Bila elimu dunia itajaa matatizo hii,Anyway tuachane na mack wewe kama selemala mwenye kagari uliyejaa ulimbukeni elewa basi elimu ni muhimu.
ok nimekupata mkuuHivi kwa mfano kwenye hii maada huyo Mark nashangaa hata umemuingizaje ... Unaweza kutoa mfano wowote Mark Kadharau wenye elimu ya chini ??
Tunamuongelea Mark hapa, jamaa yupo very humble despite being a dropout who has been awarded a honorary degree from one of the best universities in this world, Sio kama mtu aliemaliza masters yake kwa kukariri anawaona wenye elimu za chini ni maji na yeye ni mafuta.. Did you even comprehend this post ama umeona kichwa tu umekimbilia ku comment ?
Kwa majibu yako naona Kuna kitu umekikosa maishani na kinakusumbua. Maana hii Mada unaikomalia sana na wala hakuna anayekudharau.Very arrogant fellow, Jua kutofautisha akili na uwezo wa kujibu mtihani darasani.