Mambo gani mswano hata wagombea mmeshindwa kusimamisha nchi nzimaChadema mkiona kuna mtu anataka kukivuruga chama fukuzeni mapema kabla hajawa kirusi ,kaondoka Mchungaji feki Msigwa mambo yapo fresh ,kaondoka Dr Slaa mambo bado mswano ,chama siyo mtu.
Huyo kibaraka arudi nchini tujenge nchi kwa pamoja. Unaweza kumsikiliza mtu mvivu km huyo anayetegemea fadhila za wazunguModerators please, can you spare this clip for the benefit of democracy and strong opposition parties!
Makosa ya NCCR Mageuzi wakati wa MREMA LYATONGA yasirudiwe kamwe na upinzani.
View: https://www.youtube.com/watch?v=ZkYXvbAX0mY
Erythrocyte ,
Kibaraka la wazungu hiloModerators please, can you spare this clip for the benefit of democracy and strong opposition parties!
Makosa ya NCCR Mageuzi wakati wa MREMA LYATONGA yasirudiwe kamwe na upinzani.
View: https://www.youtube.com/watch?v=ZkYXvbAX0mY
Erythrocyte ,
Lissu ni mkubwa kuliko Chadema na Mbowe wakeUmemsikiliza Ngurumo? msikilize vema....... Lisu haezi kutengwa, awe macho na hao wanaompigia makofi kumtaka eti aanzishe chama chake kama mrema....msikilize ngurumo
Ni ujumbe kuntu kabisa huu. Nawashauri viongozi wa Chadema hasa Mwenyekiti Mbowe na Makamu wake Tundu Lissu wakae waone namna ya kufanya damage control ya kinachoendelea sasa ndani ya Chadema. Tuhuma anazotoa Tundu Lissu zina mashiko na kama zikafanyiwa kazi na Chama kikaja na tamko la pamoja la jinsi gani zimefanyiwa kazi na wakosaji wakashughulikiwa chama kitapona. Kukaa kimya kwa Mwenyekiti akiamini kuwa tuhuma hizi zitapita kama upepo ni kujidanganya.Moderators please, can you spare this clip for the benefit of democracy and strong opposition parties!
Makosa ya NCCR Mageuzi wakati wa MREMA LYATONGA yasirudiwe kamwe na upinzani.
View: https://www.youtube.com/watch?v=ZkYXvbAX0mY
Erythrocyte ,
Jadili hoja zake zina mashiko au hapana? Naamini pamoja ya kuwa wewe ni chapombe lakini una akili kubwa na siku zote akili kubwa hujadili hoja na siyo mtoa hoja.Ngurumo aliajiriwa na family ya Freeman Mbowe kama mhariri wa Gazeti lao
Mambo gani mswano hata wagombea mmeshindwa kusimamisha nchi nzima
Bora kuwa kibaraka wa Wazungu kuliko kuwa kibaraka wa mashetani.Huyo kibaraka arudi nchini tujenge nchi kwa pamoja. Unaweza kumsikiliza mtu mvivu km huyo anayetegemea fadhila za wazungu
Kibaraka la wazungu hilo
Tundu Lissu yupo sahihi, endapo kama utakuwa mtu mkweli katika nafsi utakubaliana na Ukweli huu. Kwa maoni yangu, Tatizo naliona lipo kwa Mwenyekiti wao wa Chama Bw. Freeman Mbowe ambaye anaonekana wazi kabisa kwamba anashiriki kukidhoofisha chama Chao kwa kuendekeza 'fedha za rushwa' kutoka kwa chama tawala. Siyo Siri hata kidogo, Mbowe amekuwa ni mtu ambaye Hana misimamo kabisa kuhusiana na suala la dira au mwelekeo wa chama hicho kwa Sasa. Inavyoonekana kama vile Mbowe 'ametulizwa' na chama tawala ili kukidhoofisha chama chake.Ni ujumbe kuntu kabisa huu. Nawashauri viongozi wa Chadema hasa Mwenyekiti Mbowe na Makamu wake Tundu Lissu wakae waone namna ya kufanya damage control ya kinachoendelea sasa ndani ya Chadema. Tuhuma anazotoa Tundu Lissu zina mashiko na kama zikafanyiwa kazi na Chama kikaja na tamko la pamoja la jinsi gani zimefanyiwa kazi na wakosaji wakashughulikiwa chama kitapona. Kukaa kimya kwa Mwenyekiti akiamini kuwa tuhuma hizi zitapita kama upepo ni kujidanganya.
Na kwa upande mwingine Tundu Lissu kuendelea kutupa mawe haya japo yana ukweli ajue kwamba anaifanyia kazi kubwa CCM ya kuimaliza Chadema tena bila ya malipo yoyote. Nimeona hata hapa jukwaani jinsi anavyoshangiliwa na wana CCM siyo kwa vile wanampenda bali kwa vile anawasaidia kufanya kazi ambayo imekuwa ngumu kwao kwa muda mrefu tena kwa gharama kubwa sana lakini haikuzaa matunda tarajiwa, lakini kwa hali iliyofikia ni kama wamerahisishiwa kazi kwani kazi hiyo inafanywa na Chadema wenyewe.
Nasikitika sana kama Tundu Lissu halioni hili kuwa anawasidia watesi wake kuimaliza Taasisi ambayo ameshiriki kuijenga kwa damu na jasho lake. Kwa msimamo wake wa kuyasema anayosema hadharani na kwa ukimya wa Mwenyekiti bila kukalishana chini na kuweka msimamo wa pamoja naona kabisa Chadema ikifuata njia ya NCCR Mageuzi.
Kwahiyo?UNAJUA BISHWEKO UHAYANI NI TAKATAKA YA MAJANI YANAYOFUNIKA SUFURIA YA NDIZI WAKATI ZINAPIKWA ? NIMESOMA IHUNGO
Ndugu you are very intelligent...kumbe bado tupo members ambao tunaweza kujadili kwa heshima na utulivu.Ahsante sanaNi kweli ana mchango mzuri. "Aliyesimama aangalie asianguke" au asiwe chanzo cha wengine kuonekana wameanguka. Shida ni kwamba watu ambao always wako kwenye move (wanafanya hiki au kile) hawana nafasi ya kutafakari na kuona kama wanakwenda wanavyotakiwa kwenda au kuna sehemu inabidi waboreshe ili waweze kuwa effective zaidi. Watu wakikosa fursa ya kutafakari wanaweza kujikuta wameshaacha njia. Jana nilikuwa nasikiliza wachangiaji 'space' na niliweza kuhisi hiki anachokisema huyu mkuu. Experience aliyoipitia Tundu Lissu inampa ujasiri wa kusema mambo mbalimbali ndani na nje ya chama chake. Inabidi aangalie audience yake inapokeaje uwasilishaji wake. Ni wazi watu wengi (ndani na nje ya chama) wanaweza kuwa na imani naye. Ni yeye sasa kujua ni kwa jinsi gani anaweza kutumia fursa hii kujenga chama chake vs kujijenga mwenyewe na kuleta ufa kwenye chama. Mfano, uwasilishaji wake wa tuhuma za rushwa ndani ya chama angeweza kuufanya kwa namna bora zaidi kuliko alivyofanya. Viongozi wa Chadema inabidi wajifunze kuwa "prudent": 'acting with or showing care and thought for the future'.
Erythrocyte PLEASE SOMA ANDIKO HILI LA CHIEF PRIESTNi ujumbe kuntu kabisa huu. Nawashauri viongozi wa Chadema hasa Mwenyekiti Mbowe na Makamu wake Tundu Lissu wakae waone namna ya kufanya damage control ya kinachoendelea sasa ndani ya Chadema. Tuhuma anazotoa Tundu Lissu zina mashiko na kama zikafanyiwa kazi na Chama kikaja na tamko la pamoja la jinsi gani zimefanyiwa kazi na wakosaji wakashughulikiwa chama kitapona. Kukaa kimya kwa Mwenyekiti akiamini kuwa tuhuma hizi zitapita kama upepo ni kujidanganya.
Na kwa upande mwingine Tundu Lissu kuendelea kutupa mawe haya japo yana ukweli ajue kwamba anaifanyia kazi kubwa CCM ya kuimaliza Chadema tena bila ya malipo yoyote. Nimeona hata hapa jukwaani jinsi anavyoshangiliwa na wana CCM siyo kwa vile wanampenda bali kwa vile anawasaidia kufanya kazi ambayo imekuwa ngumu kwao kwa muda mrefu tena kwa gharama kubwa sana lakini haikuzaa matunda tarajiwa, lakini kwa hali iliyofikia ni kama wamerahisishiwa kazi kwani kazi hiyo inafanywa na Chadema wenyewe.
Nasikitika sana kama Tundu Lissu halioni hili kuwa anawasidia watesi wake kuimaliza Taasisi ambayo ameshiriki kuijenga kwa damu na jasho lake. Kwa msimamo wake wa kuyasema anayosema hadharani na kwa ukimya wa Mwenyekiti bila kukalishana chini na kuweka msimamo wa pamoja naona kabisa Chadema ikifuata njia ya NCCR Mageuzi.
Asante nitalipitia, nina wadau wangu Kariakoo wamepata matatizo kwenye jengo lile ndio tunajaribu kuona tunafanyaje, wana mali nyingi kwenye jengo lileErythrocyte PLEASE SOMA ANDIKO HILI LA CHIEF PRIEST