Ujumbe tata wa Ney wa Mitego kwa Fred Vunjabei

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
"Naomba Mumkumbushe Fred kua walikuwepo wauza nguo kama yeye walikuwa na hela kuliko yeye, walikuwa washamba wa mademu wa mjini kama yeye na wakafilisika na hawapo tena, so na yeye kwa ushamba huo huo wa mademu tutamsahau ni muda tu #hawakatai zikiisha sasa." - Nay wa Mitego.

 
sababu ya huo ujumbe n huu ujumbe wa Fred
 
freddy seems to be a nice guy. and to slay queens, a nice guy is as good as a foolish guy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…