Ujumbe tata wa Ney wa Mitego kwa Fred Vunjabei

Ujumbe tata wa Ney wa Mitego kwa Fred Vunjabei

Huu ni wivu tu. Mwanaume unaanza mipasho kwa mwanaume mwenzako ni USHAMBA mkubwa zaidi.
Kama unaona wivu kuhongwa Mademu HONGWA WEWE.
Mwanaume sisi ni Ngumi tu si Maneno
 
Huyo ney mwenyewe anapenda wanawake balaaa. Atoe kibanzi kwenye jicho lake kwanza ndipo atoe boriti kwenye jicho la wenzie..

Ney kapita na mademu wangapi .?? Au Fred kamchukulia demu..?
 
Hela za kubadilishia mboga anazo lakini hela zake zina utata mno, yaani chini ya miezi 6 tu jamaa kaibuka. Si unajuwa historia ya Wakinga lakini, sina haja ya kusema mengi ila hapa mjini wanafahamika hata Mpemba anawaogopa kuingia nao vitani. Kuhusu kumuibia domo demu inawezekana maana wote ni washamba wa kipochi manyoya.
Jamani ni kweli wakinga wana mambo yao,lkn Fred namfaham naweza mtetea kwa hili!
Wamerithi kutoka kwa baba yao!
Enzi hizo, tuko primary wadogo (tumesoma shule moja)baba yao alikuwa kati ya matajiri wachache walio na biashara zao kitambo hicho! Na walikuwa na akili mno darasani aisee na kaka yake aliyegombea ubunge ir mjini!

Nikaja kukutana nae tena mzumbe akifanya masters masuala ya marketing kama sikosei na akiwa tayari ameanza biashara,na alisha wahi ajiriwa pia!na harakati za kuigombea urais wa chuo na alifanikiwa km sikosei !
Kwahiyo ni kitu kipo damuni kati ya wakinga wachache kitambo hicho waliosoma na kwao sio masikini!
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni jmn!
Labda huo ushamba [emoji16]
 
Eeh Mo alijuta kuwafahamu wabongo [emoji28][emoji28][emoji28] wakamwambia haujui mtaa bana asitake kuwainjoy! Mwamedi anazingua
Hahaha sure yule.chpsi yai kitambo Sana

Mtaa haujui vizuri kapita juu kwa juu katokezea sebuleni[emoji1]

Tuko ground huku tunapambana soon tutatokea zea sebuleni tukigongesha kibingwa [emoji1787]

Watu Kama aki mwamedi wasitutishe[emoji1]
 
"Naomba Mumkumbushe Fred kua walikuwepo wauza nguo kama yeye walikuwa na hela kuliko yeye, walikuwa washamba wa mademu wa mjini kama yeye na wakafilisika na hawapo tena, so na yeye kwa ushamba huo huo wa mademu tutamsahau ni muda tu #hawakatai zikiisha sasa." - Nay wa Mitego.

View attachment 1847115
Kuna muda saa mbovu inasemaga ukweli
 
Jamani ni kweli wakinga wana mambo yao,lkn Fred namfaham naweza mtetea kwa hili!
Wamerithi kutoka kwa baba yao!
Enzi hizo, tuko primary wadogo (tumesoma shule moja)baba yao alikuwa kati ya matajiri wachache walio na biashara zao kitambo hicho! Na walikuwa na akili mno darasani aisee na kaka yake aliyegombea ubunge ir mjini!

Nikaja kukutana nae tena mzumbe akifanya masters masuala ya marketing kama sikosei na akiwa tayari ameanza biashara,na alisha wahi ajiriwa pia!na harakati za kuigombea urais wa chuo na alifanikiwa km sikosei !
Kwahiyo ni kitu kipo damuni kati ya wakinga wachache kitambo hicho waliosoma na kwao sio masikini!
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni jmn!
Labda huo ushamba [emoji16]
Fred kasoma wapi O-level?
 
𝐊𝐮𝐡𝐨𝐧𝐠𝐚 𝐧𝐢 𝐝𝐚𝐥𝐢𝐥𝐢 𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐰𝐚𝐩𝐨 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐭𝐨𝐣𝐢𝐚𝐦𝐢𝐧𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐮𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐰𝐚𝐤𝐨 𝐌𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐚𝐥𝐢𝐯𝐲𝐨 𝐤𝐮𝐮𝐦𝐛𝐚, 𝐮𝐭𝐚𝐡𝐢𝐬𝐢 𝐩𝐞𝐬𝐚 𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐢𝐭𝐚𝐠𝐞𝐮𝐳𝐚 𝐰𝐞𝐮𝐬𝐢 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐫𝐚𝐧𝐠𝐢 𝐲𝐚 𝐦𝐭𝐮𝐦𝐞,
𝐚𝐧𝐲 𝐰𝐚𝐲 𝐧𝐚𝐨𝐧𝐚 𝐭𝐚𝐢𝐟𝐚 𝐥𝐢𝐧𝐚𝐳𝐢𝐝𝐢 𝐤𝐮𝐨𝐧𝐠𝐞𝐳𝐚 𝐦𝐚𝐝𝐨𝐦𝐨 𝐳𝐞𝐠𝐞 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐬𝐢𝐨𝐣𝐢𝐚𝐦𝐢𝐧𝐢 𝐧𝐚 𝐤𝐢𝐣𝐢𝐤𝐮𝐛𝐚𝐥𝐢, 𝐮𝐭𝐨𝐞 𝐩𝐞𝐬𝐚 𝐚𝐭𝐚𝐠𝐨***𝐧𝐠𝐰𝐚, 𝐮𝐦𝐩𝐢𝐠𝐢𝐞 𝐦𝐚𝐠𝐨𝐭𝐢 𝐚𝐭𝐚𝐜𝐡𝐮𝐤𝐮𝐥𝐢𝐰𝐚 𝐭𝐮, 𝐮𝐦𝐫𝐚𝐦𝐛𝐞 𝐦𝐢𝐠𝐮𝐮𝐮 𝐚𝐭𝐚𝐛𝐞𝐛𝐰𝐚 𝐭𝐮
 
Sasa Ney wa Mitego inamuhusu nini, au wivu tu?
 
Back
Top Bottom