The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Amekukosea nini? Uanzishe hiyo kampeni kwa kosa lipi?Dawa yake ndogo azisheni kampeni kutonunua vitu kwake
Kwann ney amseme kwalugha hiyo, tunahitaji kuona tunamabilionea wenye busara bana....Mimi sio masikini usinilinganishe na familia yetu tafadhari ukwasi hapo upo....bilionea gani au tajiri gani anadalilj zote zakufa na ukimwiAmekukosea nini? Uanzishe hiyo kampeni kwa kosa lipi?
Acha kua na mawazo ya kimasikini,mkiona mtu kanyanyuka kidogo tu mnaumia,
Hapo unatamani ashuke ili awe kama wewe badala ya wewe kutamani upande juu uwe kama huyo Fred.
Tunahtaji kua na matajiri wanaoheshimu jamii inayowazunguka ,sio kuaza kuichonganisha....jiulize ney kwann aandike ujumbe huo vunjabei aliandika nnSababu ya kuanzisha hiyo kampeni ni ipi?
Pole sana aisee.Kwann ney amseme kwalugha hiyo, tunahitaji kuona tunamabilionea wenye busara bana....Mimi sio masikini usinilinganishe na familia yetu tafadhari ukwasi hapo upo....bilionea gani au tajiri gani anadalilj zote zakufa na ukimwi
Alichoandika Vunja bei kinachonganisha nini?upi ubaya wa alichoandika?!!Tunahtaji kua na matajiri wanaoheshimu jamii inayowazunguka ,sio kuaza kuichonganisha....jiulize ney kwann aandike ujumbe huo vunjabei aliandika nn
Hilo ndojambo umeridhika sana kwatajiri kuandika hivo.inawezekana nikawa naongea na mwanamke pia ,kama wewe nimwanamke ujumbe huo usiutumie katika maisha yako.
Pole wotePole sana aisee.
This is what it is! Alianzaga Nikki wa pili na hizi ngonjera baada ya wahuni kumtombea sana akaamua akaushe maana alihisi yule mama Zuri ni malaika sana!😅😅😅freddy seems to be a nice guy. and to slay queens, a nice guy is as good as a foolish guy
Fredy akienda hivi hatakuwa na tofauti na Mtandale na utajiri wake utaonekana hauna mashiko! Huwezi kukuta Mo anaandika upuuzi namna hii kwenye page yake 😅😅😅Tunahtaji kua na matajiri wanaoheshimu jamii inayowazunguka ,sio kuaza kuichonganisha....jiulize ney kwann aandike ujumbe huo vunjabei aliandika nn
Kwa sababu kaongelea nyie kuhongwa sio unaona ameandika la maana hapo!
Sawa mnatupenda lakini hatuwezi kuacha kuwapa starehe yenu ya kuwaomba hela yeye akiombwa atatoa kulingana na uwezo wake na wewe utatoa kulingana na uwezo wakoUkweli ni upi hapo ? Sisi hatuna hela kama yeye ila tunawapenda
MzimaHigh level of madness. He's too local
Au biligates hata kama anafanya ufusika ni siri mno ,wanaccm waliopo humu kuelewa ngumu(uvccm ilasio wote)Fredy akienda hivi hatakuwa na tofauti na Mtandale na utajiri wake utaonekana hauna mashiko! Huwezi kukuta Mo anaandika upuuzi namna hii kwenye page yake [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"haloo vunjabei, nay kasema ww mshamba"View attachment 1847317
Aise, kweli taifa lolote kama mwanamke hajakombolewa tunabakia hivohivoSawa mnatupenda lakini hatuwezi kuacha kuwapa starehe yenu ya kuwaomba hela yeye akiombwa atatoa kulingana na uwezo wake na wewe utatoa kulingana na uwezo wako
Sifa ya masikini ni kumchukia tajiriAmekukosea nini? Uanzishe hiyo kampeni kwa kosa lipi?
Acha kua na mawazo ya kimasikini,mkiona mtu kanyanyuka kidogo tu mnaumia,
Hapo unatamani ashuke ili awe kama wewe badala ya wewe kutamani upande juu uwe kama huyo Fred.
Huwa sichukui vitu personal,huwa sichangii kitu eti sababu ya jinsia yangu...naandika nachosimamiaHilo ndojambo umeridhika sana kwatajiri kuandika hivo.inawezekana nikawa naongea na mwanamke pia ,kama wewe nimwanamke ujumbe huo usiutumie katika maisha yako.
👊👊Mzima