Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Haya mambo magumu acha tuyaache kama yalivyo.Kuna member anasema imekutwa kwenye sent items za Mwendazake
Ni wakati wa majaribu yao acha tuone uimara wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mambo magumu acha tuyaache kama yalivyo.Kuna member anasema imekutwa kwenye sent items za Mwendazake
Ukitumia kichwa cha juu vizuri utagundua kuna lengo la kuchafuana.
Huwa simkubali Masanja lakini kwenye uonevu tuseme pia.
Jiulize tu.
Hii barua amemtumia Monica ili aokoe jahazi.
Pili aanze kuisoma ili asijekuiona mitandaoni.
Ikiwa ni kweli;
1. Monica asingemkubalia ajiue
2. Monica asingeisambaza mtandaoni pia.
3. Hatujaona ameandika copy kwa Monica hivyo tungeamini kuwa kweli aliandika na copy kamtumia Monica.
We vuta ile kitu usome upya kwani ukiipiga ile kitu huwa haisemi uongo🤣
God forbid!!MAMA MCHUNGAJI UNAVAA KIMITEGO UNATEGEMEA NINI?
KANISANI MNAVAA OVYO MBONA MKIENDA KWENYE INTERVIEW ZA KUOMBA KAZI MNAVAA KIHESHIMA?
KIZAZI CHA ZINAA NYIE TUKIWASHAURI MNATUONA WASHAMBA!
Ukitembea na MKE Wa MTU mwenye Imani iwe ni ya kidini au mizimu ni lazima Kuna jambo baya litakutokea hasa kama Kuna Ndoa yenye kiapo.Sijafikia hatua hio nilishaachwa na mwanamke na nilimpenda Sana bt sikuweza kufika huko na nimeapa sintopenda tena kama mwanzo
Formula ni kwamba kama uko bize tafuta cha kumfanya bize mke wako. Monica ilibidi apewe mradi wa Ng'ombe wa maziwa au mgahawa. Lakini kumwacha ndani anakula vyakula vyenye protini na kulala aise GENYE zinakuja kama mafuriko huwezi kuzuia kwa mkono.Ukiwa na pesa nyingi ,time na mke unakuwa huna.Jamaa alikuwa akiishi kwenye majaruba ya mpunga huko kapunga,mbeya mwezi mzima, huku nyuma ule mzigo anategemea ulindwe na nani?
Ofcoz hutujui ukweli mkuu,Kwani kuna katibu wa filifriichachi kafa? Kama yupo je kwa kujinyonga? Kama hakuna basi itakuwa ni uzushi ila kama yupo basi habari inaweza kuwa 50/50.
👍Haya mambo magumu acha tuyaache kama yalivyo.
Ni wakati wa majaribu yao acha tuone uimara wao
😅🤣Namshangaa huyu Bwana kujiua ilhali akijua Mchungaji Masanja anaruhusu tabia za aina yeyote?
Sijui anamaanisha nini au anafikir huko kuzimu atakumbuka mbususuUyu aliyejinyonga ana mapungufu ya akili ndo nini kuandika I WILL MISS YOU SO MUCH nawakati unajua unaenda kufa au ataenda miss uko aliko
Ukiona mke amechepuka ujue unakula mno chipsKatibu wa kanisa la Masanja amejiua na kuacha ujumbe mzito, alikua anatoka kimapenzi na Mke wa Masanja . Kisa hicho kimemfanya masanja asihudhurie kipindi cha wasafi cha Sunday worship je? Masanja na mke wake watatokea msibani?
Soma hapa ujumbe aliouacha marehemu [emoji1313][emoji1313]
UJUMBE wangu wa Mwisho kwako MONICA MASANTU AKA (MSUKUMA WA MASANJA)
Asante Kwa kunipenda Kipindi chote hakika umenipa Upendo ambao umeacha alama moyoni mwangu ambao kila nikijaribu kuifuta nimeshindwa sioni upendo wako wa Mwanzo hivyo nimebaki Kuumia MOYONI kwa kukosa
REAL LOVE FROM YOU. MONICA Ulinipenda sana na Kuniahidi kutoniacha siku zote na Ahadi zako nilizipokea MOYONI Nami Kukuahidi Kukupenda sana na hii ndo INANIUMIZA SANA MONICA Asante kwa PENZI LAKO ambalo halijawahi kutoka MOYONI MWANGU[emoji24] SIONI TENA HAJA YA KUISHI KWENYE HII DUNIA
BILA PENZI LAKO NASEMA SIWEZI[emoji24]
MONICA SAMAHANI kwa MAAMUZI nitakayo yafanya NAJUA uamini kama naweza kufanya hivi kwa sababu ya PENZI Lako BUT NAOMBA upelewe kua umefanya nione THAMANI YA MAPENZI katika huu ULIMWENGU kupitia wewe so SIWEZI KUISHI BILA PENZI LAKO,
SIONI TENA MAANA YA MAISHA [emoji24]. MONICA, Inawezekana huu ni UJUMBE WANGU wa Mwisho kwako pia acha DUNIA nzima itambue kua nakupenda sana MONICA na nimeshindwa kuishi bila WEWE.
Najua Familia yangu, Marafiki zangu na Mama yangu mzazi UTAUMIA juu ya hili lakini nisamehe sana Mama YANGU [emoji24]. Naju Unanipenda na Mimi nakupenda Mama.
MONICA NAKUPENDA SANA and I'll miss you so much. YOUR LOVE, YOUR TIME AND YOUR MOMENT [emoji3590] Bye KIOSHO.KULIKO UKAONA UJUMBE HUU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII BORA NIKUTUMIE WEWE, Uje yaliyo moyoni Mwangu na ukiweza kunitibu kwa ule upendo wako wa kwanza nitakua mzima ila ukipuuzia hii basi UTANIPOTEZA na huu ndio utakua UJUMBE WA MWISHO KWANGU.
Mi pia namjua mmoja anatanua na wanasiasa ila na mwana siasa anasaidiwa kipindi yuko kwenye vikao.Kamaa huwaa mnadhani kuwaa kina mama wachungaji huwa hawagawii njee polee Sanaa..hao wamama hawafai tena wanachepukaga jumlaa kbsaa...Nina rafiki yangu ni mama mchungajii anafanya Mambo ya aibuu mnoooo..I feel sorry kwa mume wakee aiseeeeee ni aibuu..sijashangaa kbsaa kwa huyoo mkee wa masanjaaa
Ndiyo hao wanavaa manati kwenda kumuwinda mama MchungajiMasanja ni mchungaji wa michongo na drama, ajabu ni kwamba ana wafuasi wa kutosha!
Ha ha ha ha ha daah nmecheka[emoji1787][emoji23] Watu / familia zinapitia mengi Sana Kuna Bwana pia alimfumania mke wake, akaishia kuzimia yeye, badae akasema kilichomuuma Sana sio kumfania mke ila tu MKAO aliokua amekalishwa mke wake na uyo bwana
Kwa hiyo hakuna mtu aliyejiua?Ukitumia kichwa cha juu vizuri utagundua kuna lengo la kuchafuana.
Huwa simkubali Masanja lakini kwenye uonevu tuseme pia.
Jiulize tu.
Hii barua amemtumia Monica ili aokoe jahazi.
Pili aanze kuisoma ili asijekuiona mitandaoni.
Ikiwa ni kweli;
1. Monica asingemkubalia ajiue
2. Monica asingeisambaza mtandaoni pia.
3. Hatujaona ameandika copy kwa Monica hivyo tungeamini kuwa kweli aliandika na copy kamtumia Monica.
We vuta ile kitu usome upya kwani ukiipiga ile kitu huwa haisemi uongo🤣