Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Kama alimwandikia huyo Monica ili asije kuiona mitandaoni kwa mara ya kwanza, so nani kavujisha.
Je ni Monica?

Huu ni uzushi tu
Hivi whatsapp story ndo whatsapp status?
Inasemekana alituma whatsapp story baada ya kumtumia Monica na Monica hakujali wala kumjibu.
Embu nieleweshe kuhusu wazap stori na wazap status
 
Kama alimwandikia huyo Monica ili asije kuiona mitandaoni kwa mara ya kwanza, so nani kavujisha.
Je ni Monica?

Huu ni uzushi tu
Unaipinga sana hii. Tujuze vizuri
 
Unaipinga sana hii. Tujuze vizuri
Ukitumia kichwa cha juu vizuri utagundua kuna lengo la kuchafuana.
Huwa simkubali Masanja lakini kwenye uonevu tuseme pia.
Jiulize tu.
Hii barua amemtumia Monica ili aokoe jahazi.
Pili aanze kuisoma ili asijekuiona mitandaoni.

Ikiwa ni kweli;
1. Monica asingemkubalia ajiue
2. Monica asingeisambaza mtandaoni pia.

3. Hatujaona ameandika copy kwa Monica hivyo tungeamini kuwa kweli aliandika na copy kamtumia Monica.

We vuta ile kitu usome upya kwani ukiipiga ile kitu huwa haisemi uongo🤣
 
Hivi whatsapp story ndo whatsapp status?
Inasemekana alituma whatsapp story baada ya kumtumia Monica na Monica hakujali wala kumjibu.
Embu nieleweshe kuhusu wazap stori na wazap status
Hata sijui mamy, mimi mshamba tu😂
 
Ukitumia kichwa cha juu vizuri utagundua kuna lengo la kuchafuana.
Huwa simkubali Masanja lakini kwenye uonevu tuseme pia.
Jiulize tu.
Hii barua amemtumia Monica ili aokoe jahazi.
Pili aanze kuisoma ili asijekuiona mitandaoni.

Ikiwa ni kweli;
1. Monica asingemkubalia ajiue
2. Monica asingeisambaza mtandaoni pia.

3. Hatujaona ameandika copy kwa Monica hivyo tungeamini kuwa kweli aliandika na copy kamtumia Monica.

We vuta ile kitu usome upya kwani ukiipiga ile kitu huwa haisemi uongo🤣
Hebu ngoja tuone mwisho wa hii movie
 
Umeongea kibaharia sana bigup mlezi wa wana
Wake zetu hawa ukisema uchunguze sana utakuja sababisha wanao waishi bila mama bure
Ukiambiwa utakuwa uyaone siyo magari wala majumba makubwa ni pamoja na mambo kama haya hapa ndipo roho ya kiume unatakiwa kuionyesha
 
Hapa naona Nia ovu ya kutaka kumhabiria masanja na dhehebu lake ,
Pengine jamaa alimtamani kweli mama mchungaji, lakini alipotolewa nje na kugundulika ,
Akaona amharibie ndoa yake na kanisa
 
Back
Top Bottom