Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Nje kwenyewe wala sigawi kiviiileHahaha eti papa langu🤣🤣🤣🤣
Wee gawa huko nje bwana ila muhimu unamuwakilisha shetwaiin vilivyo
Hapa nina miezi ya kutosha hakijaliwa hata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nje kwenyewe wala sigawi kiviiileHahaha eti papa langu🤣🤣🤣🤣
Wee gawa huko nje bwana ila muhimu unamuwakilisha shetwaiin vilivyo
Hahaha kwa nini tena au bado unatafuta mmasai na mjeda 🤣🤣🤣🤣🤣Nje kwenyewe wala sigawi kiviiile
Hapa nina miezi ya kutosha hakijaliwa hata
Huu mwaka nao uishe tu.umekua mrefu sanaNeno moja la kumfariji Masanja mkandamizaji baada ya kugongewa sana mkewe na aliyekuwa katibu wa kanisa lake.
karibia wote. ukishaoa mwanamke asiye bikira wewe useme tu ni zamu yako sasa, huyo si mkeo ni mke wa mtuKWA ZAMA ZETU HIZI, WENGI WANAISHI NA WAKE ZA WENGINE
Status inakaa maneno mengi hivyo? Then alimaanisha nini aliposema hataki aone mitandaoniHakuutuma kwa monica alipost kwenye whatsapp status yake ndo mana umesambaa,hujaona hiyo status?
Ni huyo wenye nyekundu au nyeusi ?
But why kaamua kuweka LV kanisani [emoji848]
Hayo ma-wallpaper tu ya Kariakoo, kazi ya ma interior designer wa kibongo
SawaKuna asilimia nyingi za uzushi
Kama alimwandikia huyo Monica ili asije kuiona mitandaoni kwa mara ya kwanza, so nani kavujisha.Mijitu kama hii ni kuyakuipeka kwa mwambosa aifufue , tuitie bakora then ife tena...ikale adhabu za maana motoni huko...
Itakua imekutwa sent item kwenye simu yake mkuuKama alimwandikia huyo Monica ili asije kuiona mitandaoni kwa mara ya kwanza, so nani kavujisha.
Je ni Monica?
Huu ni uzushi tu