Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Hayo ma-wallpaper tu ya Kariakoo, kazi ya ma interior designer wa kibongo

[emoji28][emoji28][emoji28] kazi kweli kweli
Hivi huu ubuyu Mbona Kama haukamiliki jamani?
 
MUNGU wa mbingun awavushe ktk kpindi hchi kigumuu,naami masanja ataomba nalo hilii litapitaa.
 
Hapa sasa nmeamin ile kauli ya siwez kuish bila wewe duu yan mshkaji inaonekana aliumia kichiz
 
Mijitu kama hii ni kuyakuipeka kwa mwambosa aifufue , tuitie bakora then ife tena...ikale adhabu za maana motoni huko...
Kama alimwandikia huyo Monica ili asije kuiona mitandaoni kwa mara ya kwanza, so nani kavujisha.
Je ni Monica?

Huu ni uzushi tu
 
Back
Top Bottom