Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Kuna member anasema imekutwa kwenye sent items za Mwendazake
Haya mambo magumu acha tuyaache kama yalivyo.
Ni wakati wa majaribu yao acha tuone uimara wao
 

Kwani kuna katibu wa filifriichachi kafa? Kama yupo je kwa kujinyonga? Kama hakuna basi itakuwa ni uzushi ila kama yupo basi habari inaweza kuwa 50/50.
 
MAMA MCHUNGAJI UNAVAA KIMITEGO UNATEGEMEA NINI?

KANISANI MNAVAA OVYO MBONA MKIENDA KWENYE INTERVIEW ZA KUOMBA KAZI MNAVAA KIHESHIMA?

KIZAZI CHA ZINAA NYIE TUKIWASHAURI MNATUONA WASHAMBA!
God forbid!!
 
Sijafikia hatua hio nilishaachwa na mwanamke na nilimpenda Sana bt sikuweza kufika huko na nimeapa sintopenda tena kama mwanzo
Ukitembea na MKE Wa MTU mwenye Imani iwe ni ya kidini au mizimu ni lazima Kuna jambo baya litakutokea hasa kama Kuna Ndoa yenye kiapo.

Huyo alikua anajihukumu Moyoni Baada ya kuoa na kuwaza kuwa mkewe Naye ataibiwa na watu Wa jirani kabisa na yeye kama alivoyofanya.

Kifo kimewatenganisha kama walivyoapa.
Bado MKE Wa Masanja kama ni kweli Naye atamfuata Mchepuko wake.

Wanaume Ndio tatizo mana wanayoyafanya kwa wenzao wapo hawapo tayari kufanyiwa . Sasa Aliingia Kwa Mwanaume Mwenye Imani na mwaminifu Kwa Mungu na Kwa wanadamu basi ama akikamatwa anauawa au atubu Vinginevyo akiwa anajificha basi Mungu anamuumbua na matokeo yake Ndiyo hayo.
 
Ukiwa na pesa nyingi ,time na mke unakuwa huna.Jamaa alikuwa akiishi kwenye majaruba ya mpunga huko kapunga,mbeya mwezi mzima, huku nyuma ule mzigo anategemea ulindwe na nani?
Formula ni kwamba kama uko bize tafuta cha kumfanya bize mke wako. Monica ilibidi apewe mradi wa Ng'ombe wa maziwa au mgahawa. Lakini kumwacha ndani anakula vyakula vyenye protini na kulala aise GENYE zinakuja kama mafuriko huwezi kuzuia kwa mkono.
 
Kwani kuna katibu wa filifriichachi kafa? Kama yupo je kwa kujinyonga? Kama hakuna basi itakuwa ni uzushi ila kama yupo basi habari inaweza kuwa 50/50.
Ofcoz hutujui ukweli mkuu,
Ila tunajaribu kufikiria ,hivi angekubaliwa kwanini ajiue
 
hatari sana,Masanja huyu mchungaji au masanja mwengine!!
siamini
 
Ukiona mke amechepuka ujue unakula mno chips
 
Mi pia namjua mmoja anatanua na wanasiasa ila na mwana siasa anasaidiwa kipindi yuko kwenye vikao.
 
Mdada kaolewa lini?
Ana watoto wangapi?
Wakwake private wangapi?
 
Kwa hiyo hakuna mtu aliyejiua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…