Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Upele umepata mkunaji
 
Alimuimbia hadi songi lakini haikufaa kitu
Dah jamaa yupo zake kapunga ,mbarali huko kwenye majaruba ya mpunga , huku muhuni anajilia vyake tu.

Wanawake shkamooni ,mamaeeee
 
Waumini wa BRUNO MWAKIBOLWA pale MITO YA BARAKA kariakoo watakuwa wanacheka kwa chini chini maana Masanja na Monica waliwakimbia wakajiona wameiva wakaenda kuanzisha kanisa lao!!!
kkkkkkkkklkk!!!!
 
Sahihi kabisa [emoji817],ni vigumu kumuelewa mwanamke na kutimiza Mahitaji yake yote!!!
 
Mzee acha hzo fikra oa Kam atachapwa na ushahidi unao bas timua Kisha endele na mambo yako mkee achungwi hata siku Moja chunga uone atakavyofanywa
Oa zah wtoto Kam hajatulia bas amsha mkuu
Sitaki kuoa halafu nije kuachana na huyo mwanamke kwa sababu zozote zile

ziwe zakuelezeka hadharani au zakutoelezeka,ndio mana nimechagua kuchelewa kuoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…