Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Huo ujumbe umeaachwa kwenye simu whatsapp au kwenye karatasi?

Huyo mama yake yupo?

Huyo bwana hana mtoto au ndugu mwingine kipenzi au mke ukiachana na mama mzazi? Mbona hajamtaja hapo mwisho?

Wamefahamiana tangu lini na masanja na mkewe?

Nahitaji nivute mawasiliano yao kwenye mtandao...

KUNA KILA DALILI HUYU MTU KAUWAWA... ILA HUYO MUUAJI ANA AKILI ZA KITOTO KUCHEZA MCHEZO WA KITOTO KUFICHA USHAHIDI...
 
Hivi kwa nini watu wamehitimisha kuwa Monica aliyetajwa ni mke wa Masanja? Hawezi kuwa Monica mwingine tu ambaye sisi hatumjui? Maana kwenye huo ujumbe sijaona mahali mwandishi ameashiria ni mtu gani anayemsema
 
Monica alimpa tigo kijana wa watu alivyo idiot akaona hawezi pata utamu huo kokote kule, one idiot gone..!!
 
Hivi kwa nini watu wamehitimisha kuwa Monica aliyetajwa ni mke wa Masanja? Hawezi kuwa Monica mwingine tu ambaye sisi hatumjui? Maana kwenye huo ujumbe sijaona mahali mwandishi ameashiria ni mtu gani anayemsema
Hata Kama siyo yey ila masanja ajitafakar sna kila siku Yuko usa na mbarali kwenye bonde la mpunga Huku amemuacha mke na wahuni eti katibu

Alfu mm namshauri masanja Kama Yuko hapa Ni Bora aachane na mpango wake wa kanisa aachie watu wengine yey adili nabiashra zake na uigizaji ache maramoja hbr za kumiliki kanisa ,hayo yote yasingetokea

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hivi kwa nini watu wamehitimisha kuwa Monica aliyetajwa ni mke wa Masanja? Hawezi kuwa Monica mwingine tu ambaye sisi hatumjui? Maana kwenye huo ujumbe sijaona mahali mwandishi ameashiria ni mtu gani anayemsema
Ameandika monica(msukuma wa masanja)
Masanja humwita hivyo mkewe na monica ukiingia page yake insta anajiita msukuma wa masanja so bila doubt wa kwenye meseji ni yeye,ila sasa kama ni kweli au si kweli hapo marehemu ndo katuweza🤣🤣🤣🤣
 
Cha muhimu polisi wafanye uchunguzi wa kina maana maswali ni mengi tunayojiuliza. Mimi toka jana nahisi mume wa huyo manzi anaweza ikawa kafanya umafia wa kumtanguliza huyo mshenzi kwa baba mbinguni maana pia haiwezekani kirahisi mtu ajiue kisa mchepuko unaojulikana nchi nzima kuwa ni mke wa mtu. Wengi wetu kama mazingira yangekuwa yanaruhusu tungeua wote wanaochepuka na wake zetu.
 
Kwahiyo kama ujumbe katumiwa mke wa masanja na tunaelewa ni mnyenyekevu.. ikawaje ukavuja kwa kasi hivi? Wamevujisha ili watu waelewe kajiua na si kuuliwa au vipi?

Anyway.. mchizi akiwa USA, Mbarali huku msukuma wa masanja analowa tuu.
 
Umeuaaa hahah ila sio wote
 
Waumini wa BRUNO MWAKIBOLWA pale MITO YA BARAKA kariakoo watakuwa wanacheka kwa chini chini maana Masanja na Monica waliwakimbia wakajiona wameiva wakaenda kuanzisha kanisa lao!!!
kkkkkkkkklkk!!!!
Usiseme watakuwa wanacheka,SEMA TUNACHEKA,maana nawe u miongoni mwao......Walokole mna MAJUNGU Sana....Mnakera
 
Usiseme watakuwa wanacheka,SEMA TUNACHEKA,maana nawe u miongoni mwao......Walokole mna MAJUNGU Sana....Mnakera
Sio kweli mkuu mimi nilikuwa naenda mikesha enzi hizo kusikiliza waimbaji mastaa wa kipindi hicho waliokuwa wanasali hapo na kutikisa nchi kama:
J SISTERS
BONY MWAITEGE
FLORA MBASHA NA EMMANUEL
MASANJA N.K
 
Sio kweli mkuu mimi nilikuwa naenda mikesha enzi hizo kusikiliza waimbaji mastaa wa kipindi hicho waliokuwa wanasali hapo na kutikisa nchi kama:
J SISTERS
BONY MWAITEGE
FLORA MBASHA NA EMMANUEL
MASANJA N.K
Okay,niliijua na wewe Ni mbengo zimefongoka.
 
Masanja kila leo USA halafu anasafiri peke yake. Ndo maana anachapiwa mkewe. Monaco itakuwa kapata mwingine wa kumkuna ndo maana akamwaga katibu eti kisa kaoa. R.I.P katibu.

Sijui Kwanini Akili inagoma Kuamini kuwa jamaa Kajiua Mwenyewe…[emoji15][emoji30]Pia Kaandika hayo yalioandikwa…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…