Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Katibu anaonekana hata sio 'mtundu'Mi nataka picha ya marehemu katibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katibu anaonekana hata sio 'mtundu'Mi nataka picha ya marehemu katibu
Hqjutui qlikuwa qnapqgqishwa vp?Unajiuaje Kisa UTELEZI?
Tena hata matokeo ya sensa hayajatoka!!!
Sasa Nandy nae ana uzuri gani,shingo fup,kafup hakana uzuri wowote kamekomaa tuDemu mwenyewe mbaya tu halafu ana matege.Je angekuwa kama Nandy ingekuwaje? Jamaa mpumbavu kabisa.
Sure mkuu, sawa tutafute hela, na tuwe bize sana, lakini tutenge muda pia wa kutosha wa kuwapelekea moto ipasavyo wenza wetu, hilo nalo ni jukumu kama majukumu mengine.Usikute masanja hana nguvu za kiume !! Jiulize mkewe mpaka anaamua kugawa penzi nje , ni nini alikosa kwa masanja? Pesa ipo, anakula vizuri,analala vizuri, hajui nyumba ya kupanga,usafiri mkali kanunuliwa ,nguo za bei kali n.k?? Nini alikosa kama sio mjegeje?
Dah katibu ana haki ya kujidedisha....totoz zuri namna hii akulambishe asali alafu akupe kibuti lazima uchanganyikiwe
Duh..Hizi tamthilia za Kifilipino wanazoangalia vijana wetu zinawatesa sana! 🤦🏾♂️🤦🏾♂️🤦🏾♂️
Huyo masanja si Ana pesaManara kakazia vijana tutafute pesa.
Ndoa nyingi sahvi ni fix tu hakuna kituHiv hao watu mpaka wanaoana wanakuwa wamependana kiaje...
Au ni kutimiza wajibu?
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Dunia ya leo hakuna cha mtu wa munguMasanja Kama mtu wa Mungu lazima ajue we as humans being we've a lot of flaw so need to complicate life
Wenye pesa wanachapiwa kila leoKuna watu huwa wanasema ukiwa na pesa pia na umaarufu ndani yake mke wako hawezi chepuka. Asa imekuwaje jambo hilo kwenda tofauti ?
Sahv ndoa ni utumwa tuNdoa hizi zina siri kubwa, aisee
Hayo makanisa madanguro tuMAMA MCHUNGAJI UNAVAA KIMITEGO UNATEGEMEA NINI?
KANISANI MNAVAA OVYO MBONA MKIENDA KWENYE INTERVIEW ZA KUOMBA KAZI MNAVAA KIHESHIMA?
KIZAZI CHA ZINAA NYIE TUKIWASHAURI MNATUONA WASHAMBA!
Inawezekana pia huyo jamaa alivurugwa kisaikolojia1. Jamaa ni mjinga sana kujiua.
Yani Marehemu ni mpumbavu sana.
2. Eti kujiua kwa sababu alikuwa anatembea na mke wa Masanja ni uongo sana.
Yani wametegea huyo bwege amejiua ndio waanze kuzusha.
TAZANIA INA WAJINGA WENGI SANA.
CHIEF KIFO HAKIKOSI SABABU BANALazima sababu ya kifo isemwe. Ulitaka watu wapate shida ya kujua sababu?
We unaona kitu kigeni hiyoYaani analiwa na mume yuko hapo hapo?
Dunia bye bye
Atajuwa mwenyeweNeno moja la kumfariji Masanja mkandamizaji baada ya kugongewa sana mkewe na aliyekuwa katibu wa kanisa lake.
Na kama katib alikuwa mhuniMasanja mkandamizaji katombewa mke?