mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enzi zile Ana ki Nissan MarchMasanja nayemjua mimi ni kicheche sana enzi zile yupo na original comedy ,ni mnunuzi mzuri sana wa ZANA(mabuti).
Huma being are selfish in natureKulikua na sababu gani ya kuamua kuharibu huku nyuma na yeye keshaamua kujiua?
Kulikua na sababu gani ya kuamua kuharibu huku nyuma na yeye keshaamua kujiua?
Sema kwelii.... ngoja nikaitafute Phd kwa kasi..Sijawahi. Mimi ukiwa hauna PhD wala sikutamani. Mimi huwa natamani ma Prof wenzangu tu.
Ni kweli... Wake wa wachungaji wanaongoza kupelekewa mjegele nje... mimi kuna mmoja mwaka 2015 nilimkosa kosa alikuwa akijileta kwangu ila sikuwa najuwa codes ilikuwa nimle...Kamaa huwaa mnadhani kuwaa kina mama wachungaji huwa hawagawii njee polee Sanaa..hao wamama hawafai tena wanachepukaga jumlaa kbsaa...Nina rafiki yangu ni mama mchungajii anafanya Mambo ya aibuu mnoooo..I feel sorry kwa mume wakee aiseeeeee ni aibuu..sijashangaa kbsaa kwa huyoo mkee wa masanjaaa
Aliye jiua ni choco.. hajui kuna pussy ngapi ameachaMara kadhaa tumeshauriwa Kuchunguza wake zetu mienendo yao, Hali sio nzuri kila sehemu watu wanagegedana sio mchezo. Chini hapa ni ujumbe wa kijana aliyekua anatoka kimapenzi na bibie monica ambae ni mke wa Masanja;
"...UJUMBE wangu wa Mwisho kwako MONICA
Asante Kwa kunipenda Kipindi chote hakika umenipa Upendo ambao umeacha alama moyoni mwangu ambao kila nikijaribu kuifuta nimeshindwa sioni upendo wako wa Mwanzo hivyo nimebaki Kuumia MOYONI kwa kukosa
REAL LOVE FROM YOU. MONICA Ulinipenda sana na Kuniahidi kutoniacha siku zote na Ahadi zako nilizipokea MOYONI Nami Kukuahidi Kukupenda sana na hii ndo INANIUMIZA SANA MONICA Asante kwa PENZI LAKO ambalo halijawahi kutoka MOYONI MWANGU[emoji24] SIONI TENA HAJA YA KUISHI KWENYE HII DUNIA
BILA PENZI LAKO NASEMA SIWEZI[emoji24]
MONICA SAMAHANI kwa MAAMUZI nitakayo yafanya NAJUA uamini kama naweza kufanya hivi kwa sababu ya PENZI Lako BUT NAOMBA upelewe kua umefanya nione THAMANI YA MAPENZI katika huu ULIMWENGU kupitia wewe so SIWEZI KUISHI BILA PENZI LAKO,
SIONI TENA MAANA YA MAISHA [emoji24]. MONICA, Inawezekana huu ni UJUMBE WANGU wa Mwisho kwako pia acha DUNIA nzima itambue kua nakupenda sana MONICA na nimeshindwa kuishi bila WEWE.
Najua Familia yangu, Marafiki zangu na Mama yangu mzazi UTAUMIA juu ya hili lakini nisamehe sana Mama YANGU [emoji24]. Naju Unanipenda na Mimi nakupenda Mama.
MONICA NAKUPENDA SANA and I'll miss you so much. YOUR LOVE, YOUR TIME AND YOUR MOMENT [emoji3590] Bye KIOSHO.
KULIKO UKAONA UJUMBE HUU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII BORA NIKUTUMIE WEWE, Uje yaliyo moyoni Mwangu na ukiweza kunitibu kwa ule upendo wako wa kwanza nitakua mzima ila ukipuuzia hii basi UTANIPOTEZA na huu ndio utakua UJUMBE WA MWISHO KWANGU.
Demu mwenyewe msukuma.. [emoji23]Mara kadhaa tumeshauriwa Kuchunguza wake zetu mienendo yao, Hali sio nzuri kila sehemu watu wanagegedana sio mchezo. Chini hapa ni ujumbe wa kijana aliyekua anatoka kimapenzi na bibie monica ambae ni mke wa Masanja;
"...UJUMBE wangu wa Mwisho kwako MONICA
Asante Kwa kunipenda Kipindi chote hakika umenipa Upendo ambao umeacha alama moyoni mwangu ambao kila nikijaribu kuifuta nimeshindwa sioni upendo wako wa Mwanzo hivyo nimebaki Kuumia MOYONI kwa kukosa
REAL LOVE FROM YOU. MONICA Ulinipenda sana na Kuniahidi kutoniacha siku zote na Ahadi zako nilizipokea MOYONI Nami Kukuahidi Kukupenda sana na hii ndo INANIUMIZA SANA MONICA Asante kwa PENZI LAKO ambalo halijawahi kutoka MOYONI MWANGU[emoji24] SIONI TENA HAJA YA KUISHI KWENYE HII DUNIA
BILA PENZI LAKO NASEMA SIWEZI[emoji24]
MONICA SAMAHANI kwa MAAMUZI nitakayo yafanya NAJUA uamini kama naweza kufanya hivi kwa sababu ya PENZI Lako BUT NAOMBA upelewe kua umefanya nione THAMANI YA MAPENZI katika huu ULIMWENGU kupitia wewe so SIWEZI KUISHI BILA PENZI LAKO,
SIONI TENA MAANA YA MAISHA [emoji24]. MONICA, Inawezekana huu ni UJUMBE WANGU wa Mwisho kwako pia acha DUNIA nzima itambue kua nakupenda sana MONICA na nimeshindwa kuishi bila WEWE.
Najua Familia yangu, Marafiki zangu na Mama yangu mzazi UTAUMIA juu ya hili lakini nisamehe sana Mama YANGU [emoji24]. Naju Unanipenda na Mimi nakupenda Mama.
MONICA NAKUPENDA SANA and I'll miss you so much. YOUR LOVE, YOUR TIME AND YOUR MOMENT [emoji3590] Bye KIOSHO.
KULIKO UKAONA UJUMBE HUU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII BORA NIKUTUMIE WEWE, Uje yaliyo moyoni Mwangu na ukiweza kunitibu kwa ule upendo wako wa kwanza nitakua mzima ila ukipuuzia hii basi UTANIPOTEZA na huu ndio utakua UJUMBE WA MWISHO KWANGU.
Hao hao ndo watamu balaaa...ni mbano kwa kwenda mbele[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Demu mwenyewe mbaya tu halafu ana matege.Je angekuwa kama Nandy ingekuwaje? Jamaa mpumbavu kabisa.
Kwahiyo ulim "commit murder"?Sana Mkuu maana nakumbuka hata mie ulishawahinipata nilienda kutafuta nikawa mbali na mke wangu huku nyuma akaanza kufanya yake nakijana mmoja hapo sikubahatika kumuona lakini nilikuja kujua baada ya yule kijana kuposti mke wangu Facebook akidai usingizi wake na mie baada ya kuona hivyo nikamuuliza yule kijana vipi mkeo au nini kijana akajibu ndio mke wangu ndipo nilianza kufuatilia zaidi kumbe yule kijana hajui kuwa huyo ni mke wa mtu na alishaambiwa tumeachana na ana mtoto mmoja wakati mke wangu ana watoto watatu na mtoto wa kwanza yuko la sita ajabu huyo kijana hakuelewa lolote, mie kistaarabu niliamua kumwambia kijana achana na mke wangu maana mie sipo tayari kuwatafutia mama mwingine wanangu kisa wewe ajabu yule kijana hakuwa na adabu alianza kurusha matusi hakika iliniuma sana ndio maana vijana wanaangamia kizembe mtu akikusihi kuachana na mke wake anakutaka mema huenda na yeye ashatambua kosa lipo pahala gani, vijana tuwe makini maana hata mie wake za watu nishatumia sana tu hivyo sioni ajabu nikisikia unampiga wangu kikubwa nisijue "Utaumia "
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji16]Nikijaribu kujitafakari hili Jambo kwa macho ya rohoni,naona Kuna namna Nuru na giza hazichangamani ndio maana Kuna mambo lazima yawekwe nuruni....Hili kabisa la masanja watu tumekuwa na maswali mengi namna ya jinsi linavyoendeshwa,Ni Kama uhuniuhuni na usela na dhihaka, hebu lakini hatujawa na majibu Sahihi hivyo Kuendelea kuwa watazamaji...Kuna mambo Mungu anataka kuonyesha ili uwepo wake udhihirike kwetu,hebu fikiria kabisa linaitwa FEEL FREE,yaani kuwa unachotaka!Monica na marehemu waliamua kuwa free...kikubwa nilichojifunza Mungu yupo anatuangalia tu janjajanja zetu Ila akiamua kukuacha hata kwa seku de Mambo yanabadilika ghafla....Sasa bado huyo mchungaji mwenyewe ngoja siku moja adakwe pale Abudhabi na kamzigo
Hawezi kuwa MKE Wa MTU mwenye amani wakati kasababisha mwanamke mwenzake Kawa Mjane Ndani ya ndoa ya muda mfupi.Yeye kafa na mpenzi wake kawa mke wa mtu, kajikomoa mwenyewe.
Na alimpa ujauzitomasanja alikuwa na mchumba wake akamtelekeza ndipo akamuoa huyu. amevuna alichopanda
Kivipi Wakati MTU anatembea na MKE Wa MTU.Tanzania kuna tatizo kubwa sana la akili linatakiwa hatua zichukuliwe haraka sana! Mbaya zaidi jamii tumekuwa tukihusisha matatizo ya akili na imani iwe maombi au ushirikina badala ya kuwaona psychiatrists
Adamu alikua anamiliki Pepo na Dunia na Kila kilichomo. Viumbe wote mpaka Malaika vilikua vinamsujudia Lakini alimfuata Nyoka na kuanza kuchati Naye na Baadae kaamini kuwa shetani ana akili KULIKO Adamu na akaona Adamu ni mshamba anayekubali kuwa chini ya Mungu badala ya kuwa Sawa na Mungu akaasi.Kuna watu huwa wanasema ukiwa na pesa pia na umaarufu ndani yake mke wako hawezi chepuka. Asa imekuwaje jambo hilo kwenda tofauti ?