Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Hatari sana Sasa katibu si angeondoka kimya kimya Ndio nini kuharibiana
Mshahara Wa dhambi ni Mauti. Mauti imeletwa na MKE Wa Masanja ambaye alianza kuchepuka Huku akiwa na Mumewe Wa ndoa. Udanganyifu wake umeleta madhara. Yeye Kwa nini hakujua kuwa kuchepuka nje ya Ndoa ni dhambi Mpaka alipoona Katibu ameoa Sasa anamkazia. Alimkazia Kwa SABABU ya wivu tu kuwa hatapata nafsi ya kumtumia Katibu apendavyo. Katibu Naye alikua anataka angalau Siku Moja Moja.

Kwa hiyo acha inyeshe Ili panapovuja paonekane.
 
Si kwa Masanja.Masanja ana roho mzuri.Angemuachia huyo marehemu mke.
Hapo Masanja anatakiwa amuoe na huyo Mjane Wa Marehemu Aishi Naye. Huyo Mjane Atakua mtiifu sana Kwa Masanja.

Hata Daudi alimuoa MKE Wa Uría Baada ya kifo chake.
Na visa vingi tu ambavyo wajane waliolewa na Watumishi Baada ya matukio Fulani.

Masanja amuoe huyo Mjane Ili Maisha yaendelee. Na MKE Wa masanja awe mpole mana Hata yeye alikua anajigawa Kwa kushare Wanaume wawili. Sasa ni zamu yake kuona wakishea Mwanaume na mwenzake.
 
Hakuna kanuni ya kumtuliza mwnamke hawa watu mara nyingi huwa wanapagawa zaidi na kile ambacho mwanaume wake hana na ukweli ni kwamba hakuna binadamu mwenye kila kitu.. ukiwa na kazi utagongewa na jobless ukiwa jobless utagongewa na mwenye kazi, ukiwa mfupi utagongewa na mrefu ukiwa mrefu utagongewa na mfupi, ukiwa na pesa utagongewa na masikini ukiwa masikini utagongewa na mwenye pesa, ukiwa maarufu utagongewa na ambae sio maarufu usipokua maarufu utagongewa na mtu maarufu, ukiwa na kitambi utagongewa na mwenye six pscks ukiwa na six packs utagongewa na mwenye kitambi
Sheria Kali tu Ndiyo Jibu Ili Kila MTU aheshimu ndo ya mwenzake. Lakini Kutoa uhusuru kama Sheria zetu za Ndoa zilivyo vilio vitaongezeka Tanzania Kila kukicha mana mitandao Kwa Sasa inawaumbua wazinifu kama inavyowaumbua Wahalifu WENGINE.
Hata Adamu kama palikua na Sheria Kali inayomkataza Hawa kuanzisha mahusiano na Shetani basi ingekua rahisi kuepuka ánguko Lakini Hawa alikua huru kuanzisha urafiki na kuanza kuchati na shetani matokeo yake akakubali Mawazo na ushawishi Wa shetani
 
Hawajui hata kudanganya?
Huo ujumbe umekutwa kwenye simu ya Marehemu alikua amemtumia MKE Wa Masanja na huenda Mjane Wa Marehemu Naye ameniona mana mume amekufa na kuacha simu. Unategemea MKE wa Marehemu ataona simu yake asiipekue. Lakini pia aliwatumia na marafiki zake Wa karibu Ili wajue chanzo Cha yeye kujinyonga.
 
Masikini masanja watu wanajimegea tu mke wake kama pombe ya ngomani
 
Hawezi kuwa MKE Wa MTU mwenye amani wakati kasababisha mwanamke mwenzake Kawa Mjane Ndani ya ndoa ya muda mfupi.
Unafiki wake Kwa Mumewe lazima uwe pigo kwake mwanyewe.
Haya mambo ya Ndoa yasipochukuliwa Kwa umakini Yanaleta majanga Nakubwa sana kwenye jamii.
Huvi viungo viñapotumika TIFAUTI na taratibu viña majuto makubwa na Hata magonjwa au huzuni Kubwa .
Hawa alipokiuka utaratibu Wa kusikiliza maagizo yaliyotoka Kwa Mungu kupitia Adam laana iliingia Duniani . Mwanamke mwenye Busara anailinda ndoa yake.

MKE Wa masanja Hana Busara.
Na masanja Hana nguvu Tena mbele ya mwanamke Aliyekua anagawa penzi Huku akijifanya anampenda

Masanja Kwanza Kila akitafakari atawaza kuwa kwani alikosa nini? Jibu la haraka ni kwamba hamridhishi kitandani . Sasa nguvu za kiume zitatoka wapi? Ni Bora aachane Naye au atafute mwanamke Mwingine aoe Vinginevyo atapungukiwa na nguvu za kiume akiwa Bado kijana mdogo Kwa stress.
Mana MTU wanakaa pamoja na kuonyesha mapenzi ya Kila aina Halafu anatafuta Mwanaume Mwingine Wa kumsugua kisawasawa inaonyesha masanja hamfikishi ila alikua anamwana masanja kama ATM machine.

Unafi Wa wanawake ni Kitu kibaya sana.
Je, huyo mwanamke ana WATOTO na Masanja au ndio Wa Mwendazake.

Na Wanaume wajiepushe na wake za watu Kwani wanasababisha vilio na matatizo kwenye familia za WENGINE.

Hakuna Tena furaha kwenye ndoa ya Masanja. Masanja alimwamini sana MKE wake. Bora Angekua Yuko bize na mambo yake na kuwa MBALI na Mkewe kidogo angeona ule mwanya Wa Kuwa MBALI ndio uliomponza. Lakini watu wako beneti halafu anatoka na Mtumishi wao. Ni pigo kubwa Kwa masanja na Kanisa lake Kwa ujumla.
Mama mchungaji Hana ushuhuda Tena Zaidí ya maigizo.
Mpaka muda huu huyo mwanamke kashalia machozi pipa na kutiatia huruma ili asamehewe!! Wanawake wanajua kucheza na psychology ya mwanaume
 
Pictures Za Katibu Wa Kanisa La Feel Free Church
Ndiyo JF Imeshindwa Kuzipata
 
Kwa uchafu huu makanisani, kweli kabisa Kuna baadhi ya makanisa yapo kibiashara! Aibu sana hii
 
Dawa ya utajiri kwa wanaume (ndago) sharti ni mkeo kupelekewa moto na mtu mwingine itawaumiza wanaume wengi🤣
 
Ndoa ilikuwa tayar masanja pesa anayo time na mke hana kutwa kutafuta pesa wacha wamsaidie kumpakulia mkewe
Ilo ndiyo tatizo.

Wanaume tukishamzalisha mwanamke tunajiona tumemaliza kila kitu ktk ndoa.

Watapelekewa moto sana hata wakiwa wamezalishwa watoto 7
 
Manara kakazia vijana tutafute pesa.
Shida ya kosho sio pesa ni penzi la Monica ambalo alishawahi kulipa pasipo kuwa na pesa na akafurahia penzi lake akawa anachitiwa mwenye pesa na kupewa yeye sio lazima sote tuwe na pesa mahitaji yanatofautiana
 
Kwani yee ndo mtu wa kuachwa

Anashindwa akomae kutafta pesa analilia mademu
demu ameolewa mda sana anashindwa ku move on!
Kisha akishaipata hiyo pesa afanyie nini na yeye shida yake ni Monika ambae alishawahi kumnyandua akiwa hata hana pesa. Kuna watu wanapesa lakini hawapati hitajiobla moyo wao. Pesa sio ndio kila kitu
 
Back
Top Bottom