Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Huo ujumbe umekutwa kwenye simu ya Marehemu alikua amemtumia MKE Wa Masanja na huenda Mjane Wa Marehemu Naye ameniona mana mume amekufa na kuacha simu. Unategemea MKE wa Marehemu ataona simu yake asiipekue. Lakini pia aliwatumia na marafiki zake Wa karibu Ili wajue chanzo Cha yeye kujinyonga.
Police siyo wajinga watapeleleza had call zao walizokuwa wanawasiliana kwa njia ya simu, mambo ni mengi mkuu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Huo sio upendo ni uteja. Uteja kwenye mapenzi ni ile ya siwezi ishi bila wewe, huu ni upumbavu wa watoto ambao wapo kwenye maturity stage. Yaani saikolojia yake Ili ibalance anahitaji akamalishwe na mtu mwingine. Kiwango cha juu Sana cha upumbavu.
 
Shetani wala Mungu apokei mtu aliyejinyonga uitwa vibudu ( REJECT ) uendi kuzimu kwa shetani we ni direct jehanamu.
 
Mkuu tatizo kubwa haya mahusiana ya siku hizi yapo katika mfumo ambao Mwenyezi Mungu hajapanga kabisa na hapa ndio shetani anajichukulia maksi kabisa...
Umenena point kubwa sana vijana wa sasaiv wanampenda mtu kuliko wanavyompenda Mungu
 
Kwani mmejuaje kama ndo Monica huyu anayezungumziwa???

Kuna sehem kamtaja Monica wa Masanja?
Mkuu,unaambiwa hiyo marehemu aliandika huo ujumbe akamtumia WhatsApp mke wa masanja.na hiyo marehemu alikua na mke pia.so mke ndo alieweza kufungua simu ya mumewe anjue nini kimempata ndo akakutana na hayo..
 
Hapana Mkuu unajua hii kupigiwa au kupiga siyo kwamba imeanza leo hata zamani haya mambo yalikuapo sana tu, sema wazee wetu walikua waelewa sana kwenda mpaka watoto mkstambua itakua huyo mama hana adabu sana sema kwasasa ni hizi simu zinaharibu zaidi maana kila kitu ni simu hivyo ukitaka kuumia fatilia sana,, lakini nashukuru mke wangu aliamua kukaa kwenye mstari na ilibidi yule kijana amtukane sana maana kitu cha kuchukua picha ya mtu na kuposti bila ridhaa yake ni udhalilishaji mkubwa mno, mbaya zaidi ni mke wa mtu hapa ningeamua kufanya ubaya nadhani hata huyu kijana asingeweza kujua ni nani kamfanyia, maana nilijua nikimfanyia hivi huyu moja kwa moja na mwanamke ningefanya na zaidi mie niliangalia upande mwingine wa sarafu kwamba hivi mimi sijawahi fanya hivyo nikajiona nimefanya sana tu, ndio maana nikaamua kuachana na maamuzi mabaya zaidi ya kumkanya. Lakini sijui vijana tunaelekea wapi kwangu mimi hata iweje kama mwanamke wa mtu nikiona anataka kuzidi lazima nimwambie ache na zaidi huwasisitiza kuheshimu waume zao haijalishi kuna nini kwangu na sikubaliani na mwanamke wa mtu kunipenda... Hivyo ukiamua kujisimamia kwa hivyo utakua mshauri mkuu wa mke wa mtu huku ukiwa unatembea nae tena vizuri tu.
Sahihi kabisa, huyo kijana hakuwa mstaarabu ukishashtukiwa acha haraka tena ukishaonywa

Kuna jamaa amewahi kugundua napita na mkewe, alivyonionya nikafuta namba na kunyamaza milele sijawahi kuzungumza tena na yule mwanamke na sitaki.

Ukipata bahati ya kuonywa ni Mungu anakupa nafasi nyingine, kuendelea kukomalia basi lipo unalotafuta
 
Nimeiona huko Twitter, inasemekana Katibu wa Kanisa la Mchungaji Masanja amejiua na kuacha waraka mrefu unaoeleza kuwa, alikuwa na mahusiano na mke wa Mchungaji wake Masanja, na kwamba penzi hilo limeelekea kufa, hivyo Katibu ameshindwa kuvumilia.
Siri imepichuka. Tungojee ya Mchungaji kama atasamehe sabini mara saba.
 
Cha msingi masanja aendelee tu kua na mke wake , maana aliyekua anamgongea ameshajiua .
Ishu ni huyo Monica Kama amepata mwingine Wa kumkuna
 
Back
Top Bottom