Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaha qmmmqNatamani utuekee na kapicha ukiwa unakuna nazi
Hpn sio sahih kubaki hvyo wanawake wote hawako hvyo ,tatizo unaoa wanawake wenye majina makubwa na mastaa wa hapa mjini ,kijana toka nenda Kijiji kwenu au mkoani huko kaibue mke wako akija kunadilika mpe red cards Kisha utamrejeaa tenaAlafu anatokea Bwege ananiambia nioe,
Wakuoa nitakuwa mimi Bana.
Sitaki linikute jambo kama la Masanja
Najua,kupika kufua kuosha vyombo etc.View attachment 2381717
jamaa yuko vizuri, naona mixer mpaka hoho dadekiDah qmmk unapika hadi njegere?
Babu usimshauri hvyo bhan ,[emoji23][emoji23] kwani wew sas s unaishi na bibPiga nyeto maisha yasonge mbele.
Umemind mlamuwaWewe unaetusema wapare acha ujuha. Ukute hizo nyama unakula 2 kwa wiki. Wapare wamekuzidi kila kitu.
Naishi na bibi yako lakini nilipiga nyeto enzi zangu kupata demu ilikuwa kazi ngumu kuliko sasa hivi kupata milioni 10.Babu usimshauri hvyo bhan ,[emoji23][emoji23] kwani wew sas s unaishi na bib
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ahahahaha yeye ndo aolewe km hataki kuoaWewe unafaa kuwekwa ndani asee sio kwa sotojo hilo
😂😂😂we utakuwa Mpare! yaan nlivoona hakuna hata kanyama nikajua tu unakotokea
😂😂😂🙌mwanaume unavaaje shanga utaolewa
Hapo kwenye Avatar n ww ? ..Hpn sio sahih kubaki hvyo wanawake wote hawako hvyo ,tatizo unaoa wanawake wenye majina makubwa na mastaa wa hapa mjini ,kijana toka nenda Kijiji kwenu au mkoani huko kaibue mke wako akija kunadilika mpe red cards Kisha utamrejeaa tena
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hayana formula mkuuVijana wa miaka hii ni legelege sana. Kama unaogopa kuoa unataka uolewe?
Umemind mlamuwa