Ujumbe wa Lissu baada ya kuzuiwa kufanya mkutano wa hadhara Tanga, atishiwa kuvunjwa mguu mmoja uliobaki

Ujumbe wa Lissu baada ya kuzuiwa kufanya mkutano wa hadhara Tanga, atishiwa kuvunjwa mguu mmoja uliobaki

Bob Manson

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
4,158
Reaction score
7,787
20240921_111932.jpg


"OCD wa Tanga mjini nimemwambia Taarifa yetu ya Mikutano ya Hadhara tuliyowapa ina mikutano kuanzia Tar 10 hadi 24 Sep. Nikamwambia sisi tutaendelea na mikutano yetu 21 na 22 kwa kuwa HAIJAZUIWA. Jibu lake kwangu akaniambia wewe nitahakikisha namaliza huo mguu uliobaki.

"Nimemwambia wacha mguu, njoo uchukue na roho yangu mimi niko tayari kulipa gharama."


Source: Godbles Lema, katika ukurasa wa X

Pia soma:
Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
 
View attachment 3101869


Source: Godbles Lema, katika ukurasa wa X
Kwa vitisho hivyo wanavyotoa, bado Mahakama zinasema hazina ushahidi wa kwamba polisi wanahusika na hayo matukio.
Ukikaidi utapigwa tu....na mimi nasema apigwe tu
Better were colonial days
"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, a former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.
 
"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, a former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.
Although it is not necessary for us to come to that tragic point, there is no solution if things continue to worsen.
 
Back
Top Bottom