Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Hatuna serikali ya wwnanchi
Tuna wahuni kwenye nafasi za juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuna serikali ya wwnanchi
Dhalim naye aliua sana wala hasingiziwiJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Safi sana tena ningekuwa mi FFU basi ningeondoka na kiuno chake muhuni kabisa
Huyu mlemavu, nadhani akili yake pia imelemaa, ye amezuiwa kufanya
Ni kweli anaondoka lakini wanaomuondoa ni maccm wenzake, huu mpango umesukwa kiuandamizi sana na ameingia mwenyewe tena mzima mzima kwenye mfumo. Chadema watatumika tu kukamilisha lakini mikakati yote imesukwa huko huko na masikini hata nyie wapambe na chawa wake mnamshangilia mkiamini wanaosulubiwa ni Chadema kumbe mtu wenu katupiwa kitanzi akakidaka na kujivisha mwenyewe shingoni bado kuvuta kamba tu. Hatimaye unabii wa JK unaenda kutimia kwani mambo yanaenda kuharibika sana kuanzia J3.Wewe ndo uliwaingiza mkenge wenzako na kuja na slogan ya Samia Must Go?
Uma❎Hiyo sms haikuwa rasmi au mahususi kwa ajili ya kusomwa na uma, bali alituma kwa mtu binafsi.
Bonyeza alama ya reli kupata vichekesho zaidi kama hivi.Ni kweli anaondoka lakini wanaomuondoa ni maccm wenzake, huu mpango umesukwa kiuandamizi sana na ameingia mwenyewe tena mzima mzima kwenye mfumo. Chadema watatumika tu kukamilisha lakini mikakati yote imesukwa huko huko na masikini hata nyie wapambe na chawa wake mnamshangilia mkiamini wanaosulubiwa ni Chadema kumbe mtu wenu katupiwa kitanzi akakidaka na kujivisha mwenyewe shingoni bado kuvuta kamba tu. Hatimaye unabii wa JK unaenda kutimia kwani mambo yanaenda kuharibika sana kuanzia J3.
Bonyeza kwenye tundu yako ya haja kubwa.Bonyeza alama ya reli kupata vichekesho zaidi kama hivi.
Chenchemela
Hayo tumeanza kuyasikia zamani sana. Toka Mbowe alipobwagwa kwa kura 80% na Kikwete.Ni kweli anaondoka lakini wanaomuondoa ni maccm wenzake, huu mpango umesukwa kiuandamizi sana na ameingia mwenyewe tena mzima mzima kwenye mfumo. Chadema watatumika tu kukamilisha lakini mikakati yote imesukwa huko huko na masikini hata nyie wapambe na chawa wake mnamshangilia mkiamini wanaosulubiwa ni Chadema kumbe mtu wenu katupiwa kitanzi akakidaka na kujivisha mwenyewe shingoni bado kuvuta kamba tu. Hatimaye unabii wa JK unaenda kutimia kwani mambo yanaenda kuharibika sana kuanzia J3.
Sawa ajuza, ila mimi nasimama na unabii wa JK. Mambo yameshaharibika sana.Hayo tumeanza kuyasikia zamani sana. Toka Mbowe alipobwagwa kwa kura 80% na Kikwete.
Wahuni na wauwaji, alafu vichwani ni weupe kabisa, hata mimi nikisimama nao kwenye mdahalo nawakalisha.Hatuna serikali ya wwnanchi
Tuna wahuni kwenye nafasi za juu
For sureBetter were colonial days
Bila shaka huyo/hao wapuuzi ni Mahakama zetuHalafu kuna mpuuzi anasema polisi hawahusiki na mauaji
Haki gani ambayo wewe unaijua? Kuchukua nchi kwa kutegemea Polisi?Haki gani mnaitaka. Kuchukua nchi bila kupigiwa kura ndo haki
Wote tuBila shaka huyo/hao wapuuzi ni Mahakama zetu
Over my dead body. Samia atawavunja viuno. Urais hauchukuliwi hivyoHaki gani ambayo wewe unaijua? Kuchukua nchi kwa kutegemea Polisi?
Kwahiyo unakubali kwamba Sa100 ndyo anavunja na kuuwa watu?Over my dead body. Samia atawavunja viuno. Urais hauchukuliwi hivyo