Ujumbe wa Netanyahu kwenda kwa Rais Macron wa Ufaransa

Ujumbe wa Netanyahu kwenda kwa Rais Macron wa Ufaransa

Hii naona Sasa akili Zinamjia Netanyau, kama kweli Western countries wameanza kampeni asipewe silaha, maana yake wamemchoka.

Na nchi za West zinalumiwa na raia wao jamaa anaua Raia badala ya kupigana na anaowaita magaidi.

Juzi tumeona magaidi hawajaua raia hata mmoja badala yake wamepiga military bases, wameharibu miundombinu ya kijeshi. Netanyau anapiga maeneo ya raia na kuua wanawake na watoto, hapo gaidi ni yupi? Kwa nini wasimnyime silaha?

Suala La palestina ameambiwa two state solution hataki anataka makombora auwe wapalestina, kwa nini wasimnyime silaha?
Israel kaweka mahandaki Kwa ajili ya raia ila hao magaid wanachochea vita hlf wao ndo wanajificha kwenye mahandaki kisha raia wananakia juu kukutana na makombora
 
We ni fwala Netanyahu aombe silaha zipi wakati wanaopigana ni wao wanatengeneza hizo silaha USA.
Niliweka bandiko hapa siku
waisrael wamepandishwa ndege Km dcm za mbagala Toka US baada tu ya tar 7.
Kwenda kufagia Hamas.
Na nilisema jamaa wanaenda sio Gaza tu watapita mpk kwa wafadhili wao.
Kwa taarifa yako walianza na hezbollar kabla hata ya kwenda Gaza kufagia.
We unajua nini kobazi wewe wa maji machafu.
Kaa kimya
We jamaa ni mlevi ama fala!?
Kwahiyo wewe na Macron nani ana akili na ana ufahamu juu ya Israel!?
Kwahiyo Macron aliposema Israel wapewe katazo la kupewa silaha yeye ni fala!?
Umewahi kufika Tel Aviv hata siku moja!?
Yani unambishia Macron ambaye amefika Tel Aviv mara kedekede kuhusu Israel kuomba silaha!?
Wewe punguani ama majinuni ama pang'ang'a!?
Hujielewi wewe.
 
Kwa hiyo waliobakwa na kuuwawa na magaidi Hamas ni wanyama wale?
Ushetani umekujaa kwenye roho yako mwana wa Ibilisi mtupu. Ungezaliwa M.E ungekuwa full gaidi wewe na zamani ungekuwa ushawahishwa kuzimu kunywa mito ya pombe.
Israel ilipoenda ICJ waliambiwa walete ushahidi wakafeli.
Unaweza ukaleta ushahidi wa unachosema ilhali Israel wameshindwa??
 
Israel kaweka mahandaki Kwa ajili ya raia ila hao magaid wanachochea vita hlf wao ndo wanajificha kwenye mahandaki kisha raia wananakia juu kukutana na makombora
Mkuu raia Wala hapaswi kuingia kwenye handaki maana yeye sio sehemu ya vita Wala sio chombo Cha vita.

Vita hupiganwa kati ya jeshi na jeshi raia hapaswi kuguswa ndio Sheria za kimataifa zitakavyo. Mahandaki mengi yalijengwa jujikinga na radio active kukiwa na boom nyuklia au lenye gas ya simu. Maana simu husambaa Kila mahali na huua Kila anayekutana nayo hivyo kuwakinga raia yalijengwa mahandaki sio Israel TU Bali nchi nyingi hasa zenye umiliki wa nyuklia.
 
Israel ilipoenda ICJ waliambiwa walete ushahidi wakafeli.
Unaweza ukaleta ushahidi wa unachosema ilhali Israel wameshindwa??
Hayo ni maneno yenu ya kila siku team kobaaz migaidi imeua mpaka watanzania wasio na hatia
 
Huyo anagombana hadi na viatu vyake sio mtu mzuri kabisa

Kachanganyikiwa huyu tayari anagombana na kila mtu, mara katibu mkuu wa united nations sasa hivi macron, huyu ni chizi ,hata waziri wake wa vita alijiuzulu baada ya kugundua jamaa ni kichaa na muongo
Na waziri wa ulinzi sasahivi hapatani nae kwa kuwa wote wamemshtukia huyu ni kichaa anatakiwa adhibitiwe
 
We jamaa ni mlevi ama fala!?
Kwahiyo wewe na Macron nani ana akili na ana ufahamu juu ya Israel!?
Kwahiyo Macron aliposema Israel wapewe katazo la kupewa silaha yeye ni fala!?
Umewahi kufika Tel Aviv hata siku moja!?
Yani unambishia Macron ambaye amefika Tel Aviv mara kedekede kuhusu Israel kuomba silaha!?
Wewe punguani ama majinuni ama pang'ang'a!?
Hujielewi wewe.
Kelele we kima shoga,wakazi wa mbagala huwa mna shida sana ,kila kitu mnaleta ubishi wa simba na yanga 🐒💩
 
We jamaa HUKUWAHI KUONGEA POINT.HUWA UNAHARISHA MASHUDU TU HUMU NDANI.
Nikupe mfano mmoja mdogo sana.
jana Israel imetandikwa mpakani na Lebanon na Hizbollah,nikategemea Israel itatuma ndege zilipue mpakani na Lebanon wao wametuma ndege zilipue Beirut.
Kwanini waache kushambulia mipakani ambako hizbollah wapo waende kushambulia raia!?
Hii inajulisha Israel akizidiwa vita hushambulia raia ili kumtia hofu adui.
Gaza,Israel walitoa evacuation order raia waende rafah border,na mahandaki ya Hamas yanaishia Central Israel,wakawaacha Hamas North and Central Israel wakaenda kulipua ambako wanasema ndio salama raia wahamie.
Walilipua makazi ya French official wakamuua humo ndani,walipiga risasi sniper wanawake wanne kanisani,walilipua gari la wamarekani wanne walioenda kutoa msaada wa chakula Gaza.
Je humo kulikua na magaidi kama unavyodai!
?

Swali langu kuu ni moja tu,HIZBOLLAH JANA KAMA SIO JUZI WAMEPIGA KWA MIGUU KIRYAT SHMONA,JANA HIYO HIYO ISRAEL IKAENDA KULIPUA BEIRUT,JE WEWE UNAONA MATUMIZI MAZURI YA AKILI!??
Kama hamjui jambo tulieni,achaga kubwabwaja.
Haya france kashinda

View: https://x.com/RadioGenoa/status/1842929306995175654?t=bAFWcQCtun2nUiZ8gD1Swg&s=19
 
Kwahiyo wakiweka vikwazo maana yake apigwe na maadui zake
Ujue hata Nelson Mandela aliitwa gaidi na makaburu na waisrael ndo walikua wasambazaji silaha ndo mpk leo South africa na muisraeli haziendi sijui wewe mgalatia kama unalijua hili
 
Back
Top Bottom