Ujumbe wa Sakayo

Ujumbe wa Sakayo

Status
Not open for further replies.
Daah hata sijui niandike vipi kukuelezea naandika nafuta katika maisha kuna mazingira unaweza kukutana na mtu unajiuliza alikua wapi siku zote.

Naishkuru JF kwa kunipa rafiki aliye mwema kwangu nakupenda sakayo wangu Mungu azidi kukuweka una roho ya pekee pale ninapokusumbua wala hujal kabisa nikivurugwa na stress zangu lazima nikukimbilie kama nalia tunalia wote kama nikicheka tunacheka wote.

Mungu azidi kukutunza nije kucheza kwaito yako [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sakayo wa Transcend, shunie anakupenda munooooo [emoji8]
Wow! Nice message.
 
*kwa wale wenye maduka ya vifaa vya simu na computer*


Tunauza vifaa aina zote duniani kwa bei ya jumla,

Mfano;
vga
Hdmi
Mouse
Keybord
Sound card
Usb cable aina zote
Game controller
Speakers
Monitor
Memory card
Flash disk
Adapter za laptop OG
Adapter za volt12/9 kwa ajili ya ving'amuz

AU KAMA UNA CHOCHOTE UNACHOHITAJI NJOO INBOX UTAJIPATIA KWA BEI RAHISI.
 
Daah hata sijui niandike vipi kukuelezea naandika nafuta katika maisha kuna mazingira unaweza kukutana na mtu unajiuliza alikua wapi siku zote.

Naishkuru JF kwa kunipa rafiki aliye mwema kwangu nakupenda sakayo wangu Mungu azidi kukuweka una roho ya pekee pale ninapokusumbua wala hujal kabisa nikivurugwa na stress zangu lazima nikukimbilie kama nalia tunalia wote kama nikicheka tunacheka wote.

Mungu azidi kukutunza nije kucheza kwaito yako [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sakayo wa Transcend, shunie anakupenda munooooo [emoji8]
Jaza ujazwe.
Woooooowwww
Sijui nisemeje mamy wangu, mdogo wangu wa dar, rafiki na mtoto wangu wa kwanza...... Najikuta tu machozi yanitoka mieee!!!!

Shunie wangu, Kivuruge wa Lee na shem ake T.... Nakupenda mpaka najionea wivu, sijajuta kukufamu wewe jamani. Rafiki yako ni rafiki yangu and I swear adui yako ni adui yangu namba moja....

Mungu akutunze mdogo wangu, najua kwaito utaicheza mpaka ulale ila tutaanza kwa Daby...

Shunie nakupenda saaana mpaka nashindwa kuelezea!!!!! Mungu mtunze pacha wanguu!!!!
 
*kwa wale wenye maduka ya vifaa vya simu na computer*


Tunauza vifaa aina zote duniani kwa bei ya jumla,

Mfano;
vga
Hdmi
Mouse
Keybord
Sound card
Usb cable aina zote
Game controller
Speakers
Monitor
Memory card
Flash disk
Adapter za laptop OG
Adapter za volt12/9 kwa ajili ya ving'amuz

AU KAMA UNA CHOCHOTE UNACHOHITAJI NJOO INBOX UTAJIPATIA KWA BEI RAHISI.
Nenda jukwa la matangazo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom