Ujumbe wa Tibor Nagy kuja Tanzania kwa namna Serikali inavyolichukulia janga la COVID -19

Ujumbe wa Tibor Nagy kuja Tanzania kwa namna Serikali inavyolichukulia janga la COVID -19

ilikuwa ni rahisi kwa mimi kupotosha kwa kuwa sina wala sitathubutu kufatilia taarifa sahihi za mashoga ni zipi.

nimeitaja marekani kama kitovu kwa kuwa ipo mstari wa mbele kwenye kupigania ushoga duniani.

alafu na wewe unamapenzi na mashoga kiasi gani mpaka kujua mitandao yao ya habari ?
mi bado namashaka makubwa na wewe!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata waziri wako wa mambo ya nje anajua.. infact rais wako anajua.
Mtu yoyote aliesoma international relation au mwenye interest na international relation anajua.
Ni vitu viko wazi.. sio kwamba vimefichwa.
Kama unajua unadanganya why una keep kudanganya?
Unadhan wote waliopo hapa ni watu wa kupokea tu bila kufikiria?
Unadhani ni wazee ndio ?
Humu ndani kuna wasomi wa kada mbali mbali so kuwa makin next time unaandika comment. Si wote ni watoto .
Halaf uongo haulipi bro.
 
Hata waziri wako wa mambo ya nje anajua.. infact rais wako anajua.
Mtu yoyote aliesoma international relation au mwenye interest na international relation anajua.
Ni vitu viko wazi.. sio kwamba vimefichwa.
Kama unajua unadanganya why una keep kudanganya?
Unadhan wote waliopo hapa ni watu wa kupokea tu bila kufikiria?
Unadhani ni wazee ndio ?
Humu ndani kuna wasomi wa kada mbali mbali so kuwa makin next time unaandika comment. Si wote ni watoto .
Halaf uongo haulipi bro.
si nimeshakupa ushindi.
nimekupa ushindi ili yaishe mimi sioni sawa kulumbana na mtu kama wewe ambae nishakuwa na wasiwasi na wewe kwenye ushoga.
umenishinda bwanamkubwa nimekubali yaishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom