Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
huyu jamaa si ni mgogo ,lakini? ??
Ndiyo ana asili ya kulala popote (mgogo) kwani iko ndani ya damu yake. Usikute kisha jihalilishia kulala vituo vya Mwendo Kasi hapa mjini na kuita Bongo tambarare. Le Mutuz bwana, pale Kinondoni makaburini kajipangia sehemu ya kulala mchana akitoka Break Point....si chumba cha kulala, yaani ana kiwanja pale makaburini anapumzikia mchana huku akichat na mademu wasiojitambua. Mi nafikiri familia yake walishamchoka na ndiyo maana hawajisumbui naye.