Ujumbe wa wazi kwa Lemutuz ni hiari yako umeze au uteme

Ujumbe wa wazi kwa Lemutuz ni hiari yako umeze au uteme

Status
Not open for further replies.
Sio rahisi kwa nafasi ya baba yake tangu enzi za mwalimu its obvious huyu bwana hajakulia maisha ya tabaka la kawaida so hakuna ambacho aliruka.
Huyu jamaa amesota zaidi ya unavyodhan. Angalia hata mazingira aliyokua anaishi mama yake ndio utapata jibu kwan Mzee aliwatelekeza.
 
Sasa nishamjua bibi anayeliwa na babu le mut

6444.jpg

Jisikitikie kwa kujaa wivu juu yake na kuandika uchafu uliokujaa na uongo.
 
Mwenzio anapiga hela ww unakalia fitina na kufatilia maisha ya watu haya na ww lete ushahidi mwenzio kaweka mjengo ofisi picha tumeona na ww tu kaka mkubwa Le Mutuz achana nae huyo mtt kula kulala piga kazi mkubwa
 
18622328_759355634246837_3148421042312220714_n.jpg


- HUYU ni my babe le fiancee so relax hahahahahaa maisha yangu sawa ila angalia yako kama yapo sawa hahahahaha maana wanasema mpumbavu huwa haoni zaidi umbali wa pua yake tu hahahahahahahahahhaa eti na wewe una mbebezz rangi ya mtume super mtindiz kama huyu? hahahaha usiombee kijana kupata mbebezz kama huyu unakuwa unaeleea mbinguni mbinguni kwa furaha hadi rohoni hahahahahaha U know

le Mutuz
mkuu mbona kila siku una wachumba wapya kwa nini kila siku wanakuacha? kuanzia yule wa chuo cha ESAMI arusha, mara msomali yaani wanakuchun
 
Wengine humu uyo dingi yenu kabisa mtu mzima uyo mjue fanyeni kumheshimu binadamu hakosi mapungufu
5d2bc22cc04619ff9eb61671ecc5b4eb.jpg
 
Wengine humu uyo dingi yenu kabisa mtu mzima uyo mjue fanyeni kumheshimu binadamu hakosi mapungufu
5d2bc22cc04619ff9eb61671ecc5b4eb.jpg
Daah, anatafuta mwaka wa 57, umri wa kustaafu!
Shikamoo Jamaa

Sent from my KWICHIKWICHI using JamiiForums mobile app
 
lebebez achukua mifano kwa watoto wa dogo wanajua maisha ni nyumba
 

Attachments

  • nyumba ya jux.jpg
    nyumba ya jux.jpg
    41.8 KB · Views: 77
  • nyumba ya navy kenzo.jpg
    nyumba ya navy kenzo.jpg
    7.8 KB · Views: 86
  • nyumba ya ommy dimpoz.jpg
    nyumba ya ommy dimpoz.jpg
    20.7 KB · Views: 118
  • nyumba ya raymond wbc.jpg
    nyumba ya raymond wbc.jpg
    36.4 KB · Views: 86
Kwako Lemutuz
Unajiita sijui mzee wa mbebez, sijui le mbebez haya majina kiukweli hayaendani na wewe. Umri ulokua nao sio umri wa kuchanua na kula bata na vitoto vidogo ni umri wa kukaa nyumbani na kulea wajukuu

Kwa umri wako woteee kweli hivi unaishi maisha ya kulala hotelini?
Ni aibu gani hii jamani? Kwanini usiuze gari ujenge hata kajumba kaa room moja?
Huoni umri umekata ringi? Ni ushauri tu huo ndugu yangu lemutuz. Hizo sio zama zako za kukaa instagram kushindana na watoto kama kina mange la! huko ni kujitafutia matatizo bure

Hizi ni zama zako za kukaa na family yako kulea wajukuu.na watoto,,,,,over, hakuna kingine. Hivi lemutuz huna marafiki?Kama unao kwanini hawakushauri vizuri?
Kwanini unaiaibisha family yenu?

Hizo pesa za bata zikisha na kununua petrol ya gari utakua mgeni wa nani?
Kwanini hvi lakini? Jifunze kubadilika mange c type yako vitoto vya insta sio saizi yako ulipaswa ukae chini ulee familia na wajukuu maisha unayoishi sio level yako unayoyafanya sasa hivi ulipaswa kufanya ujanani sio sasa hivi

NI USHAURI TU
OVER,,,,,,,,,,,,,,
Bora umesema wewe, ningesema mm asingenielewa. Le Mutuz kaa chini ulee wajukuuzo, usihangaike na vicheche akina Lulu, et al...umri umekutypa mkono.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Daaah ...masikini Le Mutuz...uliwafanya nini watu

Ukiwa na damu ya Le Mutuz halafu huna hela unaweza kujinyonga...yaani huku kuchukiwa sababu ni nini jamani

carnte himself
 
Mkuu kama huu ushauri ni mzuri lakini lengo la kuuleta jukwaani ni kutaka watu wamjadili huyu jamaa mabaya yake. Kama lengo lako ni hilo to me you are very wrong.
Sidhani kama unaweza kumchagulia mtu maisha ya kuishi ambaye hakuhusu kivyovyote.
Wengi wanacomment sio kwa lengo la kumsaidia kimawazo hapana ni just for mockery tu.

Au umemisi zile Hahaa....you knw...am hambodiii.... King of all s.media....
Kwa nini mnafuatilia maisha ya mtu? Mwacheni afanye kile apendacho, ila usimuige jali yako na tafuta maisha yako
 
Kwako Lemutuz
Unajiita sijui mzee wa mbebez, sijui le mbebez haya majina kiukweli hayaendani na wewe. Umri ulokua nao sio umri wa kuchanua na kula bata na vitoto vidogo ni umri wa kukaa nyumbani na kulea wajukuu

Kwa umri wako woteee kweli hivi unaishi maisha ya kulala hotelini?
Ni aibu gani hii jamani? Kwanini usiuze gari ujenge hata kajumba kaa room moja?
Huoni umri umekata ringi? Ni ushauri tu huo ndugu yangu lemutuz. Hizo sio zama zako za kukaa instagram kushindana na watoto kama kina mange la! huko ni kujitafutia matatizo bure

Hizi ni zama zako za kukaa na family yako kulea wajukuu.na watoto,,,,,over, hakuna kingine. Hivi lemutuz huna marafiki?Kama unao kwanini hawakushauri vizuri?
Kwanini unaiaibisha family yenu?

Hizo pesa za bata zikisha na kununua petrol ya gari utakua mgeni wa nani?
Kwanini hvi lakini? Jifunze kubadilika mange c type yako vitoto vya insta sio saizi yako ulipaswa ukae chini ulee familia na wajukuu maisha unayoishi sio level yako unayoyafanya sasa hivi ulipaswa kufanya ujanani sio sasa hivi

NI USHAURI TU
OVER,,,,,,,,,,,,,,
Duuuh mzee anazingua
 
Kwako Lemutuz
Unajiita sijui mzee wa mbebez, sijui le mbebez haya majina kiukweli hayaendani na wewe. Umri ulokua nao sio umri wa kuchanua na kula bata na vitoto vidogo ni umri wa kukaa nyumbani na kulea wajukuu

Kwa umri wako woteee kweli hivi unaishi maisha ya kulala hotelini?
Ni aibu gani hii jamani? Kwanini usiuze gari ujenge hata kajumba kaa room moja?
Huoni umri umekata ringi? Ni ushauri tu huo ndugu yangu lemutuz. Hizo sio zama zako za kukaa instagram kushindana na watoto kama kina mange la! huko ni kujitafutia matatizo bure

Hizi ni zama zako za kukaa na family yako kulea wajukuu.na watoto,,,,,over, hakuna kingine. Hivi lemutuz huna marafiki?Kama unao kwanini hawakushauri vizuri?
Kwanini unaiaibisha family yenu?

Hizo pesa za bata zikisha na kununua petrol ya gari utakua mgeni wa nani?
Kwanini hvi lakini? Jifunze kubadilika mange c type yako vitoto vya insta sio saizi yako ulipaswa ukae chini ulee familia na wajukuu maisha unayoishi sio level yako unayoyafanya sasa hivi ulipaswa kufanya ujanani sio sasa hivi

NI USHAURI TU
OVER,,,,,,,,,,,,,,
Wazo la kwanza kunijia ni labda lemutuz kapiga picha na mwenzi wako akaipost insta. Ikakuumiza
 
Ashapita umri wa kustaafu....bado anakula bata na visichana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom