Ujumbe wa wazi kwa Lemutuz ni hiari yako umeze au uteme

Status
Not open for further replies.
huyu jamaa si ni mgogo ,lakini? ??


Ndiyo ana asili ya kulala popote (mgogo) kwani iko ndani ya damu yake. Usikute kisha jihalilishia kulala vituo vya Mwendo Kasi hapa mjini na kuita Bongo tambarare. Le Mutuz bwana, pale Kinondoni makaburini kajipangia sehemu ya kulala mchana akitoka Break Point....si chumba cha kulala, yaani ana kiwanja pale makaburini anapumzikia mchana huku akichat na mademu wasiojitambua. Mi nafikiri familia yake walishamchoka na ndiyo maana hawajisumbui naye.
 
- hapana ni nyuma ya vigae sio ya mabati, halafu siitaki tena ndio maana nataka kuiuza maana siwezi kwenda kuishi huko, nataka one day nihamie Mbweni so wala sio ishu sana, na mnunuzi nimeshapata so usijali sana

le Mutuz
Bora makonda aanze kuwafunga wanaolala hotelin na guest kama umeuza na hlo banda lako bac umekua yahaya rasimi
 
Inasemekana huyu mtu kasomea saikolojia ya bianadamu ila kwa sie tulio na uelewa wa binadamu na elimu dunia tunaona yeye ndiye mwenye matatizo ya kisaokolojia. Kwa nini serikali isimkamate wampeleke kwa nduguze Dom, anaitia haibu sana familia yake.





- ni kweli mkuu nawatia aibu sana familia yangu kwa kuandika kitabu kama hiki na Makamu wa Rais kukubali kukutana na mimi ili nimkabidhi hiki kitabu kweli ninawatia aibu sana hahahahahahaha

le Mutuz
 
Le mbebez[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
- hahahahahaha Miss Kitongoji love U mingizz umeona hawaniwezi hawa mburulazzzzz hahahahahah ngoja nitoke ofisini now niwahi Batamnnnn

le Mutuz
Yani nimekupenda bure le mbebez naona wote wamesepa enjoy mwaya life is too short [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kwa hali ilivyo sasa unapata wapi muda wa kufuatilia maisha ya mtu?, komaa utengeneze hela zako na wewe ukale bata/kuishi hotelini, huku kufuatilia maisha ya mtu sio kabisa, nani wewe anafuatilia maisha yako buana?
 
huu uzi umenifanya nijisikie aibu.

How old is this old man ??

Hakuna wa kumuokoa na hizi aibu !!!

Ni mkweli lakini ana upungufu wa akili nadhani......
 
Kuna ambayo naiona,sio Ka kibamia kako. Angalia kwenye zile chats zako utaona,ulisema una 4.5 au umesahau nikuletee zile convo zilizoletwa??
Kila nakushauri,acha ushoga kaka,sio tabia nzuri.
Naona mnaligi ila huyo bwana anastress unaanzaje mtongoza mwanaume mwenzako halafu unalilia. Tukamreport aende jela miaka 30
 
Lemutuz kweli wewe kiboko toka nijiunge jf,kila mwaka unatungiwa Uzi lakini hauna papara.Unasubiri page ya 10 kuja kuwapa kubwa zao.
 
- hapana najenga mpya Mbweni hiyo nataka kuiuza kwa sababu ni nyumba yangu sio yako wala unaowasema sio yao mwenye hati ni mimi ni yangu hahahahahahahahaha

le Mutuz
Kuna kipindi ulisema kuwa ile nyumba yenye mgogoro unaiuza na ushapata mteja, leo unasema kuwa unataka kuiuza tena, inamaana yule mteja wa kipindi kile aliingiachaka?
 
Kuna kipindi ulisema kuwa ile nyumba yenye mgogoro unaiuza na ushapata mteja, leo unasema kuwa unataka kuiuza tena, inamaana yule mteja wa kipindi kile aliingiachaka?

Ivi huyu jamaa ana miaka mingapi??

Sometimes huwa namuonaga kama zimepungua kidogo kichwani au kuna kafuse kameungua
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…