Huyu jamaa amesota zaidi ya unavyodhan. Angalia hata mazingira aliyokua anaishi mama yake ndio utapata jibu kwan Mzee aliwatelekeza.Sio rahisi kwa nafasi ya baba yake tangu enzi za mwalimu its obvious huyu bwana hajakulia maisha ya tabaka la kawaida so hakuna ambacho aliruka.
Sasa nishamjua bibi anayeliwa na babu le mut
mkuu mbona kila siku una wachumba wapya kwa nini kila siku wanakuacha? kuanzia yule wa chuo cha ESAMI arusha, mara msomali yaani wanakuchun
- HUYU ni my babe le fiancee so relax hahahahahaa maisha yangu sawa ila angalia yako kama yapo sawa hahahahaha maana wanasema mpumbavu huwa haoni zaidi umbali wa pua yake tu hahahahahahahahahhaa eti na wewe una mbebezz rangi ya mtume super mtindiz kama huyu? hahahaha usiombee kijana kupata mbebezz kama huyu unakuwa unaeleea mbinguni mbinguni kwa furaha hadi rohoni hahahahahaha U know
le Mutuz
Daah, anatafuta mwaka wa 57, umri wa kustaafu!Wengine humu uyo dingi yenu kabisa mtu mzima uyo mjue fanyeni kumheshimu binadamu hakosi mapungufu
Boss atakua lini kama ana 57Le mutuz kubwa jinga tu, akikua ataacha!!!!
Bora umesema wewe, ningesema mm asingenielewa. Le Mutuz kaa chini ulee wajukuuzo, usihangaike na vicheche akina Lulu, et al...umri umekutypa mkono.Kwako Lemutuz
Unajiita sijui mzee wa mbebez, sijui le mbebez haya majina kiukweli hayaendani na wewe. Umri ulokua nao sio umri wa kuchanua na kula bata na vitoto vidogo ni umri wa kukaa nyumbani na kulea wajukuu
Kwa umri wako woteee kweli hivi unaishi maisha ya kulala hotelini?
Ni aibu gani hii jamani? Kwanini usiuze gari ujenge hata kajumba kaa room moja?
Huoni umri umekata ringi? Ni ushauri tu huo ndugu yangu lemutuz. Hizo sio zama zako za kukaa instagram kushindana na watoto kama kina mange la! huko ni kujitafutia matatizo bure
Hizi ni zama zako za kukaa na family yako kulea wajukuu.na watoto,,,,,over, hakuna kingine. Hivi lemutuz huna marafiki?Kama unao kwanini hawakushauri vizuri?
Kwanini unaiaibisha family yenu?
Hizo pesa za bata zikisha na kununua petrol ya gari utakua mgeni wa nani?
Kwanini hvi lakini? Jifunze kubadilika mange c type yako vitoto vya insta sio saizi yako ulipaswa ukae chini ulee familia na wajukuu maisha unayoishi sio level yako unayoyafanya sasa hivi ulipaswa kufanya ujanani sio sasa hivi
NI USHAURI TU
OVER,,,,,,,,,,,,,,
Kwa nini mnafuatilia maisha ya mtu? Mwacheni afanye kile apendacho, ila usimuige jali yako na tafuta maisha yakoMkuu kama huu ushauri ni mzuri lakini lengo la kuuleta jukwaani ni kutaka watu wamjadili huyu jamaa mabaya yake. Kama lengo lako ni hilo to me you are very wrong.
Sidhani kama unaweza kumchagulia mtu maisha ya kuishi ambaye hakuhusu kivyovyote.
Wengi wanacomment sio kwa lengo la kumsaidia kimawazo hapana ni just for mockery tu.
Au umemisi zile Hahaa....you knw...am hambodiii.... King of all s.media....
Duuuh mzee anazinguaKwako Lemutuz
Unajiita sijui mzee wa mbebez, sijui le mbebez haya majina kiukweli hayaendani na wewe. Umri ulokua nao sio umri wa kuchanua na kula bata na vitoto vidogo ni umri wa kukaa nyumbani na kulea wajukuu
Kwa umri wako woteee kweli hivi unaishi maisha ya kulala hotelini?
Ni aibu gani hii jamani? Kwanini usiuze gari ujenge hata kajumba kaa room moja?
Huoni umri umekata ringi? Ni ushauri tu huo ndugu yangu lemutuz. Hizo sio zama zako za kukaa instagram kushindana na watoto kama kina mange la! huko ni kujitafutia matatizo bure
Hizi ni zama zako za kukaa na family yako kulea wajukuu.na watoto,,,,,over, hakuna kingine. Hivi lemutuz huna marafiki?Kama unao kwanini hawakushauri vizuri?
Kwanini unaiaibisha family yenu?
Hizo pesa za bata zikisha na kununua petrol ya gari utakua mgeni wa nani?
Kwanini hvi lakini? Jifunze kubadilika mange c type yako vitoto vya insta sio saizi yako ulipaswa ukae chini ulee familia na wajukuu maisha unayoishi sio level yako unayoyafanya sasa hivi ulipaswa kufanya ujanani sio sasa hivi
NI USHAURI TU
OVER,,,,,,,,,,,,,,
Wazo la kwanza kunijia ni labda lemutuz kapiga picha na mwenzi wako akaipost insta. IkakuumizaKwako Lemutuz
Unajiita sijui mzee wa mbebez, sijui le mbebez haya majina kiukweli hayaendani na wewe. Umri ulokua nao sio umri wa kuchanua na kula bata na vitoto vidogo ni umri wa kukaa nyumbani na kulea wajukuu
Kwa umri wako woteee kweli hivi unaishi maisha ya kulala hotelini?
Ni aibu gani hii jamani? Kwanini usiuze gari ujenge hata kajumba kaa room moja?
Huoni umri umekata ringi? Ni ushauri tu huo ndugu yangu lemutuz. Hizo sio zama zako za kukaa instagram kushindana na watoto kama kina mange la! huko ni kujitafutia matatizo bure
Hizi ni zama zako za kukaa na family yako kulea wajukuu.na watoto,,,,,over, hakuna kingine. Hivi lemutuz huna marafiki?Kama unao kwanini hawakushauri vizuri?
Kwanini unaiaibisha family yenu?
Hizo pesa za bata zikisha na kununua petrol ya gari utakua mgeni wa nani?
Kwanini hvi lakini? Jifunze kubadilika mange c type yako vitoto vya insta sio saizi yako ulipaswa ukae chini ulee familia na wajukuu maisha unayoishi sio level yako unayoyafanya sasa hivi ulipaswa kufanya ujanani sio sasa hivi
NI USHAURI TU
OVER,,,,,,,,,,,,,,