Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,371
naona unamtetea lembulalazAfu hapo uliposema asishindane na watoto wa instagram kama mange ngoja nikusahishe mtoa mada...Mange yule ni 40 sio mtoto tena yule ..Ni mzee mwenzake😀😀 ambaye maisha yamemchapa kiasi kwamba kaona aanzishe app achangiwe michango na wabongo....Na nnasema wabongi tunapenda udaku wa bure tu hatupendi kuchanganywa na oesa kabisa...Ona wema akivyosema atakuwa anapost kila kitu kwenye app yake ya kulipia...Mbona alirudi mwenyewe kuendelea kupost insta baada ya kuona zari kashampita followers
inamaana anatembea na poti la kunyea kwa gari yake?
check utumbo uloandika nyokooooo et nimuonee wivu yule nyokoooYote uliyoandika no wivu tu na pia yanasababishwa na bifu kama la kibinafsi juu yake.
Yaani kabisa umekaa wewe sijui mtu mzima ukaandika. Ungekuwa na ubavu ungeandika na majina yako kabisa ila kwa ID ya humu ni umejaa wivuuuuuuuuuuuuuu...unatamani uwe yeye.
Anawanyoosha haswaaaaaa na maisha yake ya iuwa na furaha na akili kubwaz... ha ha ha haaaaa
Upupwu grade A****
Haya tafuta njia ya kulipa voch uliyokopa kwenye mtandao wako sasa hivi...big alosto.
hahaaNilichogundua kwa Le MbabaZZZ, ni kwamba amezeeka mwili toka akijawa Super Young, u know!
kwa umri wake ni kuwakupga pcha na vtoto au kulea family?Huna interest nae afu unamuanzishia uzi? Nchi hii ina watu 50Mil hivi, utawafuatilia wangapi kwa sababu za kishamba kama hizo?
hahahaaa hata akiwa wa trump akifanya umavi atapewa tuKijana tafuta pesa uendeshe family yako.
Unayemsema ni mtoto wa makamu wa kwanza wa Rais mstaafu na waziri mkuu
mstaafu....Pia Baba yake alikuwa mbunge wa Mtera kwa miongo kadhaa.
Mama yake mdogo ni waziri mstaafu, mkuu wa mkoa wa zamani, Pia ni mbunge mpaka sasa.
Yeye Le Mutuz anakula pension kama mwanafamilia....
Unampangia sijui akauze gari...aaargh.
Hata kama ana umri gani maisha ni yake since hana complain.
Tuchape kazi tuache ya watu.
kwa kwel ndo.maana nampenda mange anampaga makavu huyu kibabu gagulaChizi uyu huwa ananiboa sana akiwa hotelini mezani atapiga ata biskuti ndio msosi ili umuone tu yupo hotelini....Mange ananikoshaga sana anavyomchanaga
check utumbo uloandika nyokooooo et nimuonee wivu yule nyokooo
Kwanza ana nn ambacho sina?
Ukimalza kumtetea usimamishe hicho kiharage chako ukojoe ukalale
Hii chain ina umri wa binti mwenye mtoto
Duuuh hatari sana mite aje hapaAlivyoacha udereva akawa mpishi kwenye meli ya mgiriki watu wamekula utumbo sana baharini.
Hili licheni hajalivua hapo shingoni tangu mwaka 1990 hadi limemuwekea kutu kwenye shingo[emoji23][emoji23][emoji23]Hii chain ina umri wa binti mwenye mtoto
Mzee Malecela amekula Hasara walahhiNaamini mzee Malecela anajuta sana kuwa na toto la sampuli hii