Ujumbe wa wazi kwa Lemutuz ni hiari yako umeze au uteme

Ujumbe wa wazi kwa Lemutuz ni hiari yako umeze au uteme

Status
Not open for further replies.
Hili zee ni kuwadi na dalali la Malaya wa mujini...soo ukiona picha kapiga na mabebeez ujuwe wako sokoni.
But inasikitisha kwa umri wake kuwa dalali wa vimalaya vya mjini. ..kwann hata asiwe dalali wa viwanja mashamba magari au hata majumba. Pole sana mzee malechela.
 
Afu hapo uliposema asishindane na watoto wa instagram kama mange ngoja nikusahishe mtoa mada...Mange yule ni 40 sio mtoto tena yule ..Ni mzee mwenzake😀😀 ambaye maisha yamemchapa kiasi kwamba kaona aanzishe app achangiwe michango na wabongo....Na nnasema wabongi tunapenda udaku wa bure tu hatupendi kuchanganywa na oesa kabisa...Ona wema akivyosema atakuwa anapost kila kitu kwenye app yake ya kulipia...Mbona alirudi mwenyewe kuendelea kupost insta baada ya kuona zari kashampita followers
naona unamtetea lembulalaz
 
Yote uliyoandika no wivu tu na pia yanasababishwa na bifu kama la kibinafsi juu yake.

Yaani kabisa umekaa wewe sijui mtu mzima ukaandika. Ungekuwa na ubavu ungeandika na majina yako kabisa ila kwa ID ya humu ni umejaa wivuuuuuuuuuuuuuu...unatamani uwe yeye.


Anawanyoosha haswaaaaaa na maisha yake ya iuwa na furaha na akili kubwaz... ha ha ha haaaaa

Upupwu grade A****

Haya tafuta njia ya kulipa voch uliyokopa kwenye mtandao wako sasa hivi...big alosto.
check utumbo uloandika nyokooooo et nimuonee wivu yule nyokooo
Kwanza ana nn ambacho sina?
Ukimalza kumtetea usimamishe hicho kiharage chako ukojoe ukalale
 
Huna interest nae afu unamuanzishia uzi? Nchi hii ina watu 50Mil hivi, utawafuatilia wangapi kwa sababu za kishamba kama hizo?
kwa umri wake ni kuwakupga pcha na vtoto au kulea family?
 
Ndio maana anajipendekeze kwa bashite na wauza ngada apate za kulala hotelin... zee mzima linashindana na watoto insta
 
Kijana tafuta pesa uendeshe family yako.
Unayemsema ni mtoto wa makamu wa kwanza wa Rais mstaafu na waziri mkuu
mstaafu....Pia Baba yake alikuwa mbunge wa Mtera kwa miongo kadhaa.
Mama yake mdogo ni waziri mstaafu, mkuu wa mkoa wa zamani, Pia ni mbunge mpaka sasa.
Yeye Le Mutuz anakula pension kama mwanafamilia....
Unampangia sijui akauze gari...aaargh.

Hata kama ana umri gani maisha ni yake since hana complain.

Tuchape kazi tuache ya watu.
hahahaaa hata akiwa wa trump akifanya umavi atapewa tu
 
Chizi uyu huwa ananiboa sana akiwa hotelini mezani atapiga ata biskuti ndio msosi ili umuone tu yupo hotelini....Mange ananikoshaga sana anavyomchanaga
kwa kwel ndo.maana nampenda mange anampaga makavu huyu kibabu gagula
 
check utumbo uloandika nyokooooo et nimuonee wivu yule nyokooo
Kwanza ana nn ambacho sina?
Ukimalza kumtetea usimamishe hicho kiharage chako ukojoe ukalale

Wewe jana juzi umetamba kurudi na ID mpya ulasemwaaa weew juu ya yale hadi ukabadili avatar. Kila mara ID zako zinafungiwa.

Eeeeeh

Wanaotakiwa kuwama wivu hivi nikaelewa koaina fulani ni wanawake haswaaaaa
 
Kweli kabisa lile babu Sijui linajiona bado toto maskin mtu ana miaka 60 hata baba yng mdg lkn kutwa kushinda istagram
 
Duniani kuna vitu usipovifanya ukiwa kijana,au usipokuw na uwez wa kuvifanya ukiwa huwez kumudu au upo bush,ivyo ukija mjini lazima utavifanya hata umri ukienda,sio kosa lake tatizo ni kuzaliwa kijijini na badae kuja mjini umri ukiwa umesogea
 
Mtesema sana. bata batani tu.
Wadau-wa-kipindi-cha-Harusi-Jacky-Mzindakaya-William-Malecela-na-friend-wakipozi.jpg

Na kweli...

upload_2017-5-25_19-16-25.jpeg





Ila sasa....

Mama Mzazi....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom