Ujumbe wangu kwenu mnao hate me kumsapoti Diamond humu ndani

Daa saivi hata mie waniboa,huyo dimondo anakulipa nn lakini?
 
Usijali sana lakini nimependa ulivyo copy and paste haya maneno kutoka sehemu fulani!

Daaa una mapenzi sana na diomond, usitegemee mtu apendwe na kila mtu!

 
Hivi nani mkali wa kuimba kati ya Diamond na Barnaba?
 
Hivi nani mkali wa kuimba kati ya Diamond na Barnaba?

Barnaba ni mkali ila hana sura ya biashara, ni kama Messi na Beckham.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

hivi wewe haumckii ali kiba.?uko dunia gan.?
 
Jinsia yako na wewe ni ipi?




Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Negro please.....embu msifie na Ben paul basi ...maana wapenda mziki w abongo wnajua dogo anaweza..kha
 
Barnaba ni mkali ila hana sura ya biashara, ni kama Messi na Beckham.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

wewe unasura ya nini.?
 
Ninasura ya kupambana na wanachama wa CHADEMA kama wewe.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Viazi kama wewe huwa hamjifichi,unaleta siasa mpaka huku?
 
Viazi kama wewe huwa hamjifichi,unaleta siasa mpaka huku?

LOL!
idawa huwa ananizingua na ndiyo maana nikamjibu "utumbo". Hajawahi kuniQuote akaandika kitu cha maana.

Na wewe ungekuwa unanizingua, obviously hata wewe ningekujibu "utumbo".

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
LOL!
idawa huwa ananizingua na ndiyo maana nikamjibu "utumbo". Hajawahi kuniQuote akaandika kitu cha maana.

Na wewe ungekuwa unanizingua, obviously hata wewe ningekujibu "utumbo".

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

mimi nilikua nakuona Sumu kumbe we kiazi tu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…