Akili zako zinakutosha mwenyewe. Soma uelewe. Umeambiwa ni Uingereza, sasa JMT na CCM inaingiaje?... ni mbunge wa wapi huyo? JMT au? Chama gani? CCM au?
Hawamtendei Haki kwani nani ambae haangalii hizi sites za ngono , au kwa sababu huyo kashikwa bahati mbaya? This world is not fair aiseRaia wanataka afukuzwe bungeni kabisa.
... hiyo habari kuanzia heading hadi contents imefanyiwa editing several times. Maneno UK na Uingereza hayakuwepo kwenye release ya awali. Pamoja na ujinga wangu sijafikia kiwango cha ujinga cha kutokuelewa endapo habari ingekuwa clear to that extent.Akili zako zinakutosha mwenyewe. Soma uelewe. Umeambiwa ni Uingereza, sasa JMT na CCM inaingiaje?
Twitter inekua webs ya Ngono.Acha achekintu Hakuna nmna hata mm leo nimezama Twitter kucheka update mpya na mibinuko ya kungonoka naweka link hapa mkimnoe huko