UK na US waanza kupoteza askari Ukraine wakati Urusi ikikazia kutumia Nyuklia

UK na US waanza kupoteza askari Ukraine wakati Urusi ikikazia kutumia Nyuklia

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Msemaji mkuu wa chombo cha habari cha Urusi RT bi Margarita Simonyan, amesema wakati mataifa ya Nato yakitafuta kuishinda Urusi katika vita lakini wajue kuwa Urusi haitakuwa na njia nyengine isipokuwa kuangamiza sehemu iliyobaki ya Ukraine kwa sialaha za nyuklia.

Wakati huo huo Marekani na Uiengereza tayari zimepoteza askari mmoja mmoja katika vita hivyo waliokuwa wakipigana kwa siri upande wa Ukraine.

1651213987249.png

Willy Joseph Cancel kutoka Marekani.

1651214142959.png

Scott Sibley kutoka UK.
 
Msemaji mkuu wa chombo cha habari cha Urusi RT bi Margarita Simonyan, amesema wakati mataifa ya Nato yakitafuta kuishinda Urusi katika vita lakini wajue kuwa Urusi haitakuwa na njia nyengine isipokuwa kuangamiza sehemu iliyobaki ya Ukraine kwa sialaha za nyuklia. Wakati huo huo Marekani na Uiengerza tayari zimepoteza askari mmoja mmoja katika vita hivyo waliokuwa wakipigana kwa siri upande wa Ukraine.
View attachment 2204499
Willy Joseph Cancel kutoka Marekani.
View attachment 2204505


Scott Sibley kutoka UK.

Yeye akiangamiza kwa Nyuklia ndio atakuwa salama??
 
Umeongea utafikir ni rahisi UK au USA kupeleka jeshi Ukraine, kuna makubaliano ya kimataifa ya kusaidiana indirect, baina ya nchi kwa nchi lakini pia hutegemeana na mahusiano ya nchi hizo kama zikiafikiana ,hao ni wanajeshi wa kujitolea,kama NATO ikiingia direct ,Uruss mda huu ungeona magofu na wakimbizi ,sasa hivi wanamlia timings ajichanganye waingie direct, mzee Putin ndio mwisho wake utakumbuka nayosema
 
Umeongea utafikir ni rahisi UK au USA kupeleka jeshi Ukraine, kuna makubaliano ya kimataifa ya kusaidiana indirect, baina ya nchi kwa nchi lakini pia hutegemeana na mahusiano ya nchi hizo kama zikiafikiana ,hao ni wanajeshi wa kujitolea,kama NATO ikiingia direct ,Uruss mda huu ungeona magofu na wakimbizi ,sasa hivi wanamlia timings ajichanganye waingie direct, mzee Putin ndio mwisho wake utakumbuka nayosema
Wanamlia timing mkuu .alijichanganya Putin wanamuua kabisa na kumzika kwenye kina kirefu baharini mkuu.
 
Kumsaidia Ukraine kuna ubaya gani? Sio wao waliomsaidia Vietnam miaka ya nyuma? Sio wao waliowasaidia Syria na mpaka sasa wanawasaidia? Sasa Ukraine akisaidiwa povu la nini?
Una taarifa zaidi za Urusi ilimsaidia Vietnam.Tunavyojua wale wababe walitumia zaidi silaha za jadi na kujitoa muhanga.Kama ni kweli na walifanya kwa siri si neno.Hii ya Biden na Boris ndio inakirihisha sana na wanatangaza kwa umma
 
Una taarifa zaidi za Urusi ilimsaidia Vietnam.Tunavyojua wale wababe walitumia zaidi silaha za jadi na kujitoa muhanga.Kama ni kweli na walifanya kwa siri si neno.Hii ya Biden na Boris ndio inakirihisha sana na wanatangaza kwa umma
Marekani haiwezi kuisaidia Ukraine kwa Siri kamwe. Rais wa Marekani Hana Mamlaka ya kupeleka hata $ 1 ya Serikali nje ya Nchi bila idhini ya Bunge la Congress kamwe. Kwahiyo wewe unayetaka Biden atume msaada wa $ 33B Huko Ukraine kisiri Siri haiwezekani,Lazima Aliombe Bunge la Congress liidhinishe pesa Hizo, akishazipata pesa,Makampuni ya Marekani ya Kutengeneza Siraha nchini Marekani huchukua Mkataba wa Kutoa Store Silaha,Bunge la Senate linaidhinisha Silaha Hizo kwenda nje ya Marekani. Hakuna Shortcut ya Biden kutuma Silaha Ukraine zaidi ya hiyo Process.

$ 33B za Msaada wa kijeshi kwa Ukraine ni pesa Nyingi Sana,Hiyo ni Sawa na Nusu ya bajeti ya Urusi kwa Mwaka,Haiwezi kupelekwa kwa Siri.
 
Msemaji mkuu wa chombo cha habari cha Urusi RT bi Margarita Simonyan, amesema wakati mataifa ya Nato yakitafuta kuishinda Urusi katika vita lakini wajue kuwa Urusi haitakuwa na njia nyengine isipokuwa kuangamiza sehemu iliyobaki ya Ukraine kwa sialaha za nyuklia.

Wakati huo huo Marekani na Uiengereza tayari zimepoteza askari mmoja mmoja katika vita hivyo waliokuwa wakipigana kwa siri upande wa Ukraine.

View attachment 2204499
Willy Joseph Cancel kutoka Marekani.

View attachment 2204505
Scott Sibley kutoka UK.
Hawa siyo askari wa siri bali walikuwa wameishaacha jeshi wapo uraiani. Waliamua kujitolea kupigana kama individual not as US and UK secret army.

Bado wapo askari kibao wakujitolea ambao wapo Ukraine. Wapo watu wameaga familia zao na wameenda kutoa misaada ya kujitolea kusaidia wakimbizi waliotoka Ukraine.
Tafadhari soma vizuri riport kabla ya kuituma humu.
 
We br we'we Vietnam walitumia silaha za jadi na kujitoa mhanga? Inawezekana Ni kweli lakini... Vietnam walipata cutting edge technology ya silaha za Soviet Russia kuanzia AK 47, ndege Vita Mig 21 na airdefences za kutisha..
Kikubwa zaidi Ni air defences zilizoua ndegevita za kimarekani 5000±
 
Marekani haiwezi kuisaidia Ukraine kwa Siri kamwe. Rais wa Marekani Hana Mamlaka ya kupeleka hata $ 1 ya Serikali nje ya Nchi bila idhini ya Bunge la Congress kamwe. Kwahiyo wewe unayetaka Biden atume msaada wa $ 33B Huko Ukraine kisiri Siri haiwezekani,Lazima Aliombe Bunge la Congress liidhinishe pesa Hizo, akishazipata pesa,Makampuni ya Marekani ya Kutengeneza Siraha nchini Marekani huchukua Mkataba wa Kutoa Store Silaha,Bunge la Senate linaidhinisha Silaha Hizo kwenda nje ya Marekani. Hakuna Shortcut ya Biden kutuma Silaha Ukraine zaidi ya hiyo Process.

$ 33B za Msaada wa kijeshi kwa Ukraine ni pesa Nyingi Sana,Hiyo ni Sawa na Nusu ya bajeti ya Urusi kwa Mwaka,Haiwezi kupelekwa kwa Siri.
Kwa bepari hakunaga neno linalo itwa bure bali hiyo ni mikopo.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom