UK na US waanza kupoteza askari Ukraine wakati Urusi ikikazia kutumia Nyuklia

UK na US waanza kupoteza askari Ukraine wakati Urusi ikikazia kutumia Nyuklia

Umeongea utafikir ni rahisi UK au USA kupeleka jeshi Ukraine, kuna makubaliano ya kimataifa ya kusaidiana indirect, baina ya nchi kwa nchi lakini pia hutegemeana na mahusiano ya nchi hizo kama zikiafikiana ,hao ni wanajeshi wa kujitolea,kama NATO ikiingia direct ,Uruss mda huu ungeona magofu na wakimbizi ,sasa hivi wanamlia timings ajichanganye waingie direct, mzee Putin ndio mwisho wake utakumbuka nayosema
Jamaa una mapenzi na USA na NATO mpaka basi. Wewe unafikiri Russia ni mwepesi sana. Na ujue mpaka sasa indirect urusi anapigana na mataifa mengi yenye nguvu ndani ya NATO.
Unakumbuka ni kwa nini USA alipotumia bomu la Nyukilia kule Japani vita iliisha!!
 
Jamaa una mapenzi na USA na NATO mpaka basi. Wewe unafikiri Russia ni mwepesi sana. Na ujue mpaka sasa indirect urusi anapigana na mataifa mengi yenye nguvu ndani ya NATO.
Unakumbuka ni kwa nini USA alipotumia bomu la Nyukilia kule Japani vita iliisha!!
Anapigana nao kivip mkuu,kuna ndege ,manowari,askari,meli,umeona zinafanya mashambuluzi,kumbuka hapo silaha alizopewa Ukraine ni silaha nyepesinyepesi,sasa hivi wanampa nzito.sasa nyepesi zenyewe mrusi kajamba,nzito sijui itakuaje
 
Anapigana nao kivip mkuu,kuna ndege ,manowari,askari,meli,umeona zinafanya mashambuluzi,kumbuka hapo silaha alizopewa Ukraine ni silaha nyepesinyepesi,sasa hivi wanampa nzito.sasa nyepesi zenyewe mrusi kajamba,nzito sijui itakuaje
Mkuu hakika vita si kitu cha kushangilia na Mungu asaidie hili liishe mapema.

Nacho amini hao NATO na Marekani wanaujua uwezo wa Russia katika Technology na Uwanja wa vita na kwamba ni taifa lenye nguvu ya juu sana kivita.

Ona hata jinsi ambavyo NATO wanahaha, hakuna official statement ya NATO kujibu mapigo ya Russia as a union.

Kwa hiyo ni vita ya wababe wa Vita Duniani. Kwa vyovyote vile tofauti na njia ya diplomasia basi madhara ya vita hii yatakua makubwa sana Duniani bila kujarisha nani atashinda
 
Hawa siyo askari wa siri bali walikuwa wameishaacha jeshi wapo uraiani. Waliamua kujitolea kupigana kama individual not as US and UK secret army.

Bado wapo askari kibao wakujitolea ambao wapo Ukraine. Wapo watu wameaga familia zao na wameenda kutoa misaada ya kujitolea kusaidia wakimbizi waliotoka Ukraine.
Tafadhari soma vizuri riport kabla ya kuituma humu.
Hao waliokufa yawezekana hawakutumwa moja kwa moja na serikali zao lakini bado ni wapiganaji na walipoondoka waliaga majumbani kwao na bila shaka serikali walipoondoka na paspoti zao walijua,Kwa kuwaachia kwenda huko kupigana ni kuwa wameridhia hivyo.
 
Mkuu hakika vita si kitu cha kushangilia na Mungu asaidie hili liishe mapema.

Nacho amini hao NATO na Marekani wanaujua uwezo wa Russia katika Technology na Uwanja wa vita na kwamba ni taifa lenye nguvu ya juu sana kivita.

Ona hata jinsi ambavyo NATO wanahaha, hakuna official statement ya NATO kujibu mapigo ya Russia as a union.

Kwa hiyo ni vita ya wababe wa Vita Duniani. Kwa vyovyote vile tofauti na njia ya diplomasia basi madhara ya vita hii yatakua makubwa sana Duniani bila kujarisha nani atashinda

Wanachohofia ni zile nukes alonazo
 
Wanachohofia ni zile nukes alonazo
@KweliKwanza*

Sasa mkuu kama ni nyukilia, mbona tofauti ya jumla ya nuclear heads za NATO na USA ni kiduchu sana!! Na kimahesabu ina maana Russia atatumia Nuclear zake versus Many countries (Ukrain$NATO) wakati NATO watatumia kumlenga Russia tu. Huoni kimahesabu NATO wanayo faida zidi ya Russia? Mimi naamini yawezekana Russia ni Superpower over the world. Na kwa nini hao NATO wameshindwa kukubali ombi la siku nyingi la ukrain kujiunga na NATO? Si angekuwa Mwanachama ili apate full access za NATO?
 
Back
Top Bottom