Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Transparent Investigation
Hapa mutu anakwenda kuvuliwa nguo hadharani....Dunia ni kijiji MMEKWISHAA
Hapa mutu anakwenda kuvuliwa nguo hadharani....Dunia ni kijiji MMEKWISHAA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu. Namwona Robert A anapiga jaramba.Mungu aepushe. Zimbabwe imhusu Mafulugi na genge lake la wezi wa kura.
Ngoja spana zianze ndo utajua uchaguzi ulikwa wa haki ama la!Tanzania ni dola huru,na uchaguzi ulikuwa wa huru na haki.msitake kutafuta huruma za kipuuzi.
Zipi hizo? Unaijua Tanzania?Ngoja spana zianze ndo utajua uchaguzi ulikwa wa haki ama la!
Ukimbona Robert Amsterdam amevimba ghalfa kama panyabuku.Hawa waliompa Lissu pesa? Ili ushoga uwe halali!
Tuna Nini sisi zaidi ya umasikini?Zipi hizo? Unaijua Tanzania?
😂😂😂Na njaa hii...?pre-filled ballot boxes
Nitawashangaa sana viongozi wa dini wakishiriki kalamu ya kuhalalisha UFOYOMONDO uliofanyika
Kuna ya rafiki yangu alianzia milion 100 akashuka 80 akashuka tena 60 bado tu mwaka umeisha hakuna mnunuzi. Anadaiwa bank deni linakua limefika 30m. Sasa anesema akipata 50m anauza. Napo bado.Nyumba zitauzwa milioni 5 na hakutakuwa na mnunuzi
Sahau hayo, mambo yamebadilika sana si kama uwazavyo.Ndugu wahisani shikirieni hapo Hapo tuko pamoja na Nyie. Watu wawajibishwe plus Muweke MASHARTI Watake wasitake 2025 Tuingie Tukiwa na katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na matokeo ya Uraisi kupingwa mahakamani.
Shekhe ubwabwa alikuwa Dodoma akiambatana na yule askofu ambaye ni mbunge batili mekenua meno kama yote.pre-filled ballot boxes
Nitawashangaa sana viongozi wa dini wakishiriki kalamu ya kuhalalisha UFOYOMONDO uliofanyika
Kuna watu walinunua viwanja milioni 30 wameshindwa kujenga. Wakitaka kuviuza bei inachezea milioni 8. Nadhani mwakani bei itachezea milioni 1. Huyu jiwe Mungu anamuona.Kuna ya rafiki yangu alianzia milion 100 akashuka 80 akashuka tena 60 bado tu mwaka umeisha hakuna mnunuzi. Anadaiwa bank deni linakua limefika 30m. Sasa anesema akipata 50m anauza. Napo bado.
Ni aibu kubwa sana. Mtu unapora mchana kweupe mpaka kila mtu anajua! Huyu jmaa sijui kama akili zake ziko sawa!Aibu sana kwa Pombe.
Ana utoto mwingi sana
Kuna ya rafiki yangu alianzia milion 100 akashuka 80 akashuka tena 60 bado tu mwaka umeisha hakuna mnunuzi. Anadaiwa bank deni linakua limefika 30m. Sasa anesema akipata 50m anauza. Napo bado.
Kila siku wazungu inabidi siku watuogope sana wana tamko na sisi tunatamka tunasonga mbeleUK statement following the Presidential Elections in Tanzania on 28 October 2020.
Foreign, Commonwealth & Development Office
Following the Presidential Elections in Tanzania on 28 October 2020, Minister for Africa, James Duddridge, has made a statement.
Minister for Africa, James Duddridge said:
Published 1 November 2020
Mirija ya ulaji imekatwa. Mtakula wa chuya safari hii.Aibu sana kwa Pombe.
Ana utoto mwingi sana