UK statement following the Presidential Elections in Tanzania

UK statement following the Presidential Elections in Tanzania

Mungu aepushe. Zimbabwe imhusu Mafulugi na genge lake la wezi wa kura.
Mseven kafanywa nini ?Kenyata kafanywa nini?Tanzania ni nchi huru tusiikanyage katiba kisa misaada kasome Katiba ya JMT ibara ya 28 kifungu cha 39 (1)a -f na 40 na sheria ya Jeshi la polisi ndipo ushangilie.

Wanachofanya hao wanaoratibu hizi harakati kumuhusu Amir Jeshi na Rais wa JMT ni UHAINI adhabu yake ni kifo sasa maandamane kesi ikudondokee.

Ninavyojua CHADEMA hawajaomba kibali na hata kama wangeomba wasingepewa.

Demokrasia sio lazima akina Mbowe na jopo lake washinde.
 
Ushahidi wenyewe nakala za waandishi wakikenya, wakati wasimamizi rasmi wameridhika.

Lissu anadai hao wasimamizi awakutembelea vituo vyote elfu 80 bali vichache visivyodhidi 200 someone needs to tell thats how random sampling is done who goes to all the voting stations. Kuna wakati anaropoka mpaka anaonekana juha asiejua lolote mbele ya dunia.

Ukisoma magazeti yote ya nje waandishi wanaolaumu mchakato wa uchaguzi ndani ya Tanzania asili yao ni wakenya sijui wanawashwa na mdudu gani wakiongozwa na Zuhura Yunus wa BBC.
 
Hivi kwann watanzania tunakua wajinga kwa kuzipa vipaumbele kauli za hao watu wa mataifa ya ulaya na marekani? Ni lini tanzania iliwahi kuingilia maswala yao au wao ni malaika? Tuache ulimbukeni nchi yetu ilipata uhuru mwaka 1961.
Wizi wowote huwa haufurahiwi duniani kote. Uhuru gani unao sema
 
pre-filled ballot boxes

Nitawashangaa sana viongozi wa dini wakishiriki kalamu ya kuhalalisha UFOYOMONDO uliofanyika
what is wrong is wrong no matter how many people see that is right. Hata kama dunia nzima itasema nibaki peke yangu,ukweli utabaki milele kuna feki zimeingizwa
 
Transparent Investigation

Hapa mutu anakwenda kuvuliwa nguo hadharani....Dunia ni kijiji MMEKWISHAA
Hata mfanyaje ndo mshashindwa, mlitamba saana hapa jf eti mwaka huu ..., aibu imewepata. Na endeleeni kuwajaza ujinga hao wanasiasa wenu uchwara waendelee kufanya sanaa, sisi wananchi tunawacheki tu. Bunge wataliona kwenye TV tu.
 
Kuna watu walinunua viwanja milioni 30 wameshindwa kujenga. Wakitaka kuviuza bei inachezea milioni 8. Nadhani mwakani bei itachezea milioni 1. Huyu jiwe Mungu anamuona.
Ndo maana mliambiwa huyu ni rais wa wanyonge hamkumuelewa. Anataka siku moja matonya akanunue kiwanja masaki. Sie wazee wa kunyooka tunamuelewa.
 
Mseven kafanywa nini ?Kenyata kafanywa nini?Tanzania ni nchi huru tusiikanyage katiba kisa misaada kasome Katiba ya JMT ibara ya 28 kifungu cha 39 (1)a -f na 40 na sheria ya Jeshi la polisi ndipo ushangilie...

Hao ni USA Allies, nyie wala siyo. Nyie ni wa Communist, mnapigia kura zote China. Umewahi kusikia Egypt, Rwanda, Kenya, Saudi Arabia wanapigia kura China au Urusi? Nyie ni vishoka kama Cuba, Venezuela, Zimbabwe, North Korea, Burundi,Afghannistan, Pakistan, Iran, Sri Lanka, nchi mbaya mbaya tu, mnapigia kura China. China Allies.

Kula West lakini mnapigia kura East. Sasa mnaambiwa muende mkale hukohuko East na kura mpeleke huko. Ndiyo mtapata akili.
 
Hamna kitu hapo, nyie tokeni kesho mtakula virungu, mabwana zenu watatoa statement nyingine ila ujinga ndio utakuwa umeishia hapo.
Unampiga virungu kwa kuandamana?

Kwani hujui Mtoto akipigwa kulia ni haki yake?

CCM acheni hizo Mungu anawaona mbeleni mtakosa pakuficha aibu
 
Back
Top Bottom