Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Naam Bwana Philemon Mikael

Kwenye kesi/ mahojiano ya jambo forums ni sawa na kesi ya madai, based on balance of probability na weight of evidence is based on proving a point.

Ikitolewa jukumu lako ni wewe mjibu hoja kui-disprove kama una maelezo tofauti basi unatoa, sio fair kumtaka mswahili kuprove maelezo yake badala yake kama unashindwa basi kiri hivyo, kama mswahili katoa data za nssf basi ni jukumu lako wewe kuzikanusha sio kutaka nyaraka nyingine...wewe pia unaweza kutoa kama una mashaka...

Ulikuja na maelezo kuwa una wafanyakazi elfu moja wa TRA umewatoa wapi? hukuulizwa hivyo uliachiwa utambe na data zako lakini zilikosolewa kuwa haziko accurate na mswahili, umeshindwa kucome back with an updated version au list ya majina yote elfu moja licha ya mswahili na wengine kukuomba hivyo....huna moral authority ya kutaka support ya data za mswahili iwapo wewe mwenyewe umeshindwa kuprove zako!!

Hivi wewe hujui kuwa suala la Manji ni magazeti ya MENGI [Oops mchaga] kutaka kumuumbua DAU kwa vile kulikuwa na maelezo kuwa mheshimiwa kapewa shortlist ya majina ya DAU na KIMEI [mchaga] kuwa mmoja wapo atakuwa gavana benki kuu assessment itaendelea... sasa wakaanzisha na gazeti kabisa kuivalia njuga licha ya kuwa Maghala hayo yalikuwa ni sawa kabisa kiutaratibu na wadau wote husika walihusishwa lakini facts zikawa twisted in such a way kumharibia dr dau...lakini mengi ameonekana kuwa loser in the end manake alifanya hivyo wakati kukiwa na kampeni maalum ya kumpamba kimei as finance genius wakati ukilinganisha mafanikio ya DAU at NSSF na Kimei at CRDB utaona wazi kabisa DAU ana lead by far!

Ukweli kuwa na wewe umeamulia DR DAU inaonesha kabisa kuwa upo aware na conspiracy ya makusudi dhidi ya DAU.


Data za NSSF zinaonesha dhahiri kabisa kuwa DR DAU ndio the most successful DG tangu uhuru lakini Philemon Mikael unabisha...ama kweli nadhani hawakukosea waliokupachika makengeza!
Niliona ni-intervene kufafanua hayo...mada ya ukabila iendelee lakini
 
MTUKWAO.
mimi usinifananishe na rais wa nchi kwani rais anajulikana kama mswahili? au umembatiza wewe? mimi ni mtoto wa kariakooo na nimezaliwa mtaa wa swahili karibu na club ya Pan Africa. unaonaje nikiji nafasi kwa kuutukuza mtaa wangu?

wewe umeamua kutukuza kwenu(kilimanjaro) na umekuwa ukitupa salamu kuwa mtu kwao na TRA wafanye mambo kwa kutizama watu wa kwao huo ndio ukabila tunaokesha kuupiga vita humu.

hakuna sehemu nimesema sasa ni zamu ya waislam labda wewe unatupa hisia mlizokuwa nazo nyinyi kipindi cha mkapa kuwa ni wakati wenu. na hata katika mjadala huu nimekuwa nikimpigia debe Benny Lusege huyu ni mkristu na si mswahili yaani wakuja, lakini kwa vile kaonewa nimekuwa advocate wake wa bure jee hilo hulioni? niwafagilia TENGA na chami dr. hao si waislam na si waswahili.acheni chuki za kijinga.

hii si mada ya udini au ndio maana mmemtaja Marehemu Malima kwa ville alikuwa akipigwa vita na nyinyi kwa misingi ya dini yake?tafadhali nakuomba kama unachuki 2 ndani ya moja hapa si mahala pake fungua thread ya udini nikuweke sawa.

najua wewe unatumia jina zaidi ya moja humu na huna hoja tofauti na pm.
tunachosema TRA ni sehemu ya watanzania si kabila la wachaga tu. na hatujadili kwa vile kuna chochote wewe umeita KULA. kumbe wenzetu mnakula tu huko? ndio maana mmewaka?

PHILLIMON MIKAEL.

WEWE ulionesha chuki za wazi kwa DR.Dau na ukadai hana chochote nimekuwekea data kukuonesha kuwa kazi yake amelitoa wapi shirika. na kwa taarifa yako kama mkweli DR.Dau ameweza kutoa malipo yote saba kwani shirika muda wote kabla yake lilikuwa likitoa mafao 5 tu.wewe kwa makengeza yako unasema hakuna kitu jamani kwa vile ni mswahili? wewe umeleta kashfa kwa dau na mimi nakujibu unasema nampigia debe jee wewe umetumwa na Kittlya, mramba au KIMEI? umesema mengi ya uongo nitazidi kukukosoa kila dakika.
 
Dr.who.
Hizo Data Hazina Shaka Wala Mushkeli Mie Si Phillimon Mzee Wa Kuleta Data Feki Kila Mara.labda Makengeza Yake Humfanya Achukue Data Kimakosa Tusimlaumu Sana.
 
Safi sanaaa vijana na wazee wangu.
salamu mkuu MKANDARA,DUA,Es,Kulikoni,na kamanda Mswahili. hili kundi la kaskazini lazima tulisambalatishe TRA ni mali ya nchi si NGO ya wachaga.
bado tupo GADO.
 
HUYU MTUKWAO
Inaonyesha ana makengeza nayeye au tumwite ZENGEKALA.huu ni mnazi na sio MGOMBA, LAKINI NGUMUUUUUUUUUU KWAO, Mswaili usichoke ndugu sema ukweli japokua mchungu.
 
Mkuu.

Mtukwao ndio yule yule jamaa kinamna nyingine atakavyokuja sisi tutatwanga tu.awe kinyonga au chongo ni juu yake. unaona hata neno FINANCIAL limemshinda kuandika leo wataweza kujua na kuchambulia ripoti MUHIMU?

phillimon mikael(ZEE LA UKABILA TRA).

unasema habari ya uwanja wa taifa kuwa utapofunguliwa mwezi wa saba naona hapa si mahala pake au tayari mmeanza kupigia mahesabu?

nakuuliza daraja la rufiji aliyeliombea pesa na kuzunguuka duniani ni mzee ALI Hassan Mwinyi (ruksa) na hatimaye serikali ya Kuwait ikakubali kulifadhili kwa heshima ya mzee ruksa. lakini lilipokwisha likabatizwa jina la MKAPA hakuna aliyehoji wala kulalama na cha kusikitisha zaidi hata sherehe ya uzinduzi wa daraja hilo mzee ruksa hakualikwa.

PM hakuna ubaya kama sifa akipewa JK. HATA waliogombea uhuru ni wengine lakini sifa wanachukua wengine. hata waliosota kupigania vyama vingi leo hawapo na hawatajwi ila utasikia Mbowe, MREMA na ni mrema aliyekuwa akiwapiga virungu wanaotaka mageuzi leo anajifanya hero wa upinzani.
 
Rejea kikao cha Bunge (Majadiliano ya Bunge mkutano wa 16 kikao cha 41 August 2004) Mhe Stephen M Kahumbi alipotoa hoja ya TRA kukataa kumrudisha kazini mfanyakazi kule Mbeya ingawa alifuata taratibu zote kwenye Baraza la usuluhishi la Mkoa Mbeya. TRA hawakuridhika kushindwa na kukata rufaa kwa Waziri.

Lakini na huko walishindwa na kwa ajili ya kuendeleza ukabila waligoma kumrudisha kazini. Hawa wanakiburi hata kupinga amri ya waziri. S.Kahumbi alisema Waziri wa kazi anapoamua anaamua kwa niaba ya Serikali ile ile, lakini huyo Commissioner ambaye naye ameajiriwa na Serikali ameifanya TRA kama kampuni yake binafsi.

http://www.parliament.go.tz/Polis/PAMS/Docs/HS-16-41-2004.pdf
 
WANABODI.

IFUATAYO NI SEHEMU YA HOJA YA MBUNGE STEPHEN KAHUMBI KATIKA KIKAO CHA 41 CHA MKUTANO WA 16,MAJADILIANO YA BUNGE -BUNGE LA TANZANIA.TAREHE 5-08-2004.

MASWALI NA MAJIBU NAMBA 385. UKURASA 43 HADI 46.

NAMKUU.

"Kwanza naomba niombe Mungu anisaidie kwa sababu tangu nimeingia kwenye bunge hili, sijazungumzia habari kama ninayotaka kuizungumza hapa, kwa hiyo ni mara yangu ya kwanza kuzungumzia habari ya idara.

Mheshimiwa spika kazi yetu wabunge ni kushauri na siyo kutafuta malumbano, hatutaki kulumbana na mtu, hatutaki kulumbana na waziri wala hatulumbani na wafanyakazi wa idara.

29-julai 2004-Hotuba ya waziri wa kazi, maendeleo, vijana na michezo mimi nilitoa maelekezo kuhusu mfanyakazi wa TRA, ALIYEFUKUZWA KAZI MBEYA akapeleka suala lake baraza la usuluhisho la mkoa mbeya akashinda, TRA hawakuridhika kwa kushindwa na mwanamke, waka appeal wizara ya kazi na maendeleo, vijana na michezo.

kwa vile wizara ya kazi inajua vizuri sheria za kazi wakatoa uamuzi kwamba tuhuma walizomtuhumu hazikuthibitika

. kwa hiyo arudishwe kazini- mtu huyo hakurudishwa, nimeongea na waziri Mramba na commissioner wa TRA juu ya jambo hili lakini bado hakuna ufumbuzi.
na suala hili limeandikwa kwenye Hansard ya 29-07-2004.

Mheshimiwa spika cha kushangaza watu wa TRA wanaona kama mimi nina confrontation nao. leo wameniletea barua kwa Ems, ambayo haina ukweli wowote, ninasikitika ninayo hapa yaani baada ya kusikia tumezungumza humu(bungeni) wakakaa kule Dar-es-salaam, kupinga Bunge barua hii imeandikwa 2-08-2004. mimi nilizungumza tarehe 29-07-04. hii ni kukujulisha kuwa msimamo w mamlaka ya mapato (TRA), ni kuwa haikubaliani na maamuzi ya baraza la usuluhishi Mbeya au ya waziri yaani waziri wa kazi , maendeleo, vijana na michezo anadhalauliwa na commissioner wa TRA maana yake nini? tuna serikali ngapi?

mheshimiwa spika huwezi ukaacha mtu anaonewa kwa kuvunja sheria kwa sababu mtu hajui sheria, mfanyakazi wa serikali huwezi ukamhukumu kwa sheria ya wafanyakazi wa ofisi za watu binafsi, kama unamchukia ondoka wewe,

HATUWEZI KUVUMILIA WATU WANAONEWA KWA SABABU YA UBAGUZI ,UKABILA AU NINI HAIWEZEKANI, KWANINI BUNGE LINADHAULIWA KIASI HIKI NA TUNARUHUSU?".

wanabodi kazi kwenu bunge linadhauliwa nini sisi kina mswahili? tizameni muone nini tunasema.WATU wamelumbana na bunge na tumeona hapo kuwa kuna ubaguzi wa kikabila.na walitoa hoja ni wabunge anayebisha afuate hiyo ripoti.
 
DUA.
asante nimeona ninukuu maneno ya mbunge stephen maana tunaambiwa ni hisia za kidini ndio zinazotusukuma huko TRA HII ni dalili ya kushindwa kwa hoja kwa jamaa zetu. huyo Mbunge ni mkristu lakini kauona uonefu huo. vipofu waendelee kutufumba macho.
 
naona mkasa wa huyu mfanyakazi wa TRA Mbeya aliyefukuzwa kibabe hautofautiani na mkasa ulimkuta BENNY LUSEGE kijana huyu alimaliza digrii yake ya pili U.K,

alikuwa ni officer incharge bandarini(wharf) alikuwa akiripoti kwa bosi wake REGIONAL REVENUE OFFICER(RRO). KWA jina ni FOYI huyu ni mchaga.

kilichotokea Foyi akawa anampatia Benny memo mbalimbali za kusamehe mizigo ila document azisaini BENNY. mchezo huo ukaendelea na bomu lilipolipuka Foyi (Mchagga) akamruka Benny na kwa vile TRA ni ngome ya wachagga ikaamuliwa Benny afukuzwe kazi na benny aliweka kila ushahidi kuwa yeye alikuwa akipokea maagizo tu toka kwa mabosi wa kichagga na hasa Foyi. na uthibitisho wa amri hizo anao kwani alizitunza zile memo zote.

wachagga wakamtosa.

yeye akakata rufani wizarani na ikaamuliwa arudishwe kazi na Foyi Afukuzwe kazi amri hiyo iliwaudhi sana wenye TRA yao.

Benny alirudishwa kazini kwa shingo upande na akapewa kazi ambayo haifanani na elimu yake na akapelekwa polini ambako hakuna kazi yeyote ya maana. suala likafika hadi kwa waziri hakukuwa na jipya kwa sababu Mramba anakula nao hao wachaga wenzake. alipoingia Meghji akaamuru Benny apelekwe Kilimanjaro TRA. huko ukafanyika mpango wa kumchomea moto nyumba na amekuwa akipata vitisho vingi tu.

manyanyaso ya kikabila TRA yako mengi sana. ila kina Mwanakjj hayawaumi wako busy na wapiga picha wa Ditopile tu au mahakama ya kadhi.uliza TRA benny Lusege na mfanyie interview ujue yaliyomsibu.
 
mswahili hayo mahesabu ya nssf sijakataa lakini mbona hujaleta link ya uhakika? kulikoni umeni challange ...kuhusu majina 1,000...lakini mimi nilisema majina sikuyapata kwenye pdf na i am busy always ,singeweza kupata muda wa kuchapa list yooote...ndio maana nikasema mtu mwenye kituo anachotaka aniambie nimpe majina..kuhusu majina kukosewa ..ni kosa langu wakati wa kuchapa labda nilikosea ...ningekua na electronic copy isingekua hivyo...si unajua ugumu wa kupata informations ..nilitegemea angalau mnipe credits kwa kupata hiyo list ili siku nyingine niwe na moyo wa kutafuta...hata kama tunapingana ,mtu akifanya jambo la kufurahisha sema..hii itachochea jambo kuwa kisima cha DATA genuine...na sio maneno matupu....

kuhusu taarifa uliyoleta mswahili mimi sio wa kwanza kushangaa ugumu wa kupata RIPOTI YA FEDHA ,NSSF hata mh ahmed shabiby,[mb] alihoji hili jambo bungeni ,angalia link ya HANSARD hapo chini....


www.bunge.go.tz/bunge/Qs_LS.asp?menu=qsls&PTerm=2005-2010&vpkey=1411&page=3
 
Philemon Mikael nakupongeza kwa powerful submission yako ambayo nadhani for the first time umekiri kuwa you are not always accurate on your datas, who knows umekosea mangapi humu... Lakini nevetherless ukisoma between the lines naona ume-apologise..this is good for in intellectual discussions.

Kuhusu ''ugumu'' wa kupata data za Nssf, umejaribu ukashindwa? Nilichoeleza ni kuwa to be fair to mswahili hahitaji kuprove data zake ikiwa una wasi wasi nazo onesha udhaifu uko wapi sio kutaka proof..


Hongera sana kwa kutoa link ya hansard katika effort zako za kuprove point yako, this is good kwa kweli lakini nadhani umeshindwa kuwa mkweli au ulihisi wanaforums hawatapita, mhe alipouliza swali jibu alipewa kuwa taarifa za mapato na matumizi ya NSSF ni taarifa zipo open kwa umma na zinaweza kupatikana kwa anaehitaji... jibu muafaka kabisa kwa hiyo kazi imerahisishwa kwako ulizia tu pale Mwalimu Towers ndio HQ watakupa data, manake kama kweli ni mtz na una genuine reasons basi why not usipewe...inaitwa transparency and accountability hiyo.
 
thanks.nimejaribu kupata nimeshindwa,lagda nitumie njia nyingine au ambaye anayo link atupe...ndio maana nikawa nashangaa zile fig alizoleta mswahili kama ni fiction or else...atupe link...naendelea kutafuta anyway..

hata hivyo pamoja na kasoro ndogo ndogo nimeitembelea web ya nssf ..kasoro haina annual accounts reports ambayo wamedesplay pale....
hata hivyo nimefurahishwa na namna walivyo weka list na picha za watendaji wao kuanza makao makuu hadi wilayani....
 
jokaKuu

Sasa ndio naona ukweli wa mambo kwamba hayo ni makengeza au vipi? Hiyo link nikupe mimi halafu wewe ndio unanilaumu tena kwa kukupa hiyo link.

Sawa endelea kuwa mbishi na kuonyesha chuki yako dhidi yangu ya wazi wazi, kwa suala ambalo mimi nakuwekea wazi. Mimi siye niliyekataa kumrudisha kazi huyo dada hii issue ilijadiliwa bungeni kukuonyesha kwamba pale TRA kuna matatizo na panatakiwa kushughulikiwa kwani ni pa watanzania wote na sio elite clan. na majibu ya waziri ni kwamba hana matatizo na Mbunge muuliza swali kiutendaji.

Kitu ambacho wewe unaweza kuniambia ni kwamba nimeweka uongo na sio vinginevyo. Umedandia gari, je unafahamu linakokwenda?
 
Dua,
nilichopinga mimi ni wewe KUM-QUOTE mbunge peke yake na kutoa link. nadhani ingekuwa vema kama ungem-QUOTE na majibu ya waziri.

naamini ungeleta maelezo ya pande zote mbili[mbunge na waziri] ungekuwa umerahisha kazi ya wanaforum ktk kujua ukweli uko wapi.

sikutuhumu wewe kwa kuandika uongo, ila nakutuhumu kwa kuandika ukweli NUSU-NUSU. sasa ili kumaliza huu ubishi kati yangu mimi na wewe nakuomba u-quote maelezo kamili ya Mbunge na yale ya Waziri wa Fedha.
 
jokakuu

Kama ningekuwa na nia hiyo nisingekuwekea link. Hili ni swala lililojitokeza bungeni wakati likiongelewa hapa mnasema ni chuki na hakuna ukabila.

Sasa hebu nieleze uliona wapi Serikali ikajipinga yenyewe katika maamuzi yake. i.e. Waziri anaamua mfanyakazi aliyefukuzwa arudishwe kazini na a mere Commissioner anapinga? kwenu nyinyi ni taboo kuongelea Ukabila kwa sababu moja au nyingine mnafaidika.

KNCU

Unaweza kufahamu gari linakokwenda lakini ukawa ni mbumbumbu katika uelewaji wako.
 
Dua.

wasikusumbuwe hao wanaweweseka. taarifa tulete sisi halafu waseme ongeza chumvi na binzali wao walikuwa wapi? kilichojadiliwa ni ukabila na mjadala huo umefanyika bungeni hilo ndilo tunalozingumza humu.

Phillimon MIkael ( zee la kuzua).

Taarifa za NSSF zinapatikana kwa kila mtanzania nenda ofisini kwao. yapo mengi tu ya maana kayafanya askari wa Mwamvuli DR.Dau. kwani wewe ulikuwa hujui kuwa kwa muda mwingi tu mafao yalikuwa yakitolewa ni matano na sasa ni saba? hilo huhitaji ripoti wala link ukitazama hata matangazo yao NSSF wanasema kuna mafao ya matibabu kitu hicho hakikuwepo.

Jengo la nasaco limekarabatiwa na nssf unahitaji link? mafuta house unahitaji link? daraja la kigamboni unahitaji link? kota za Ilala na magomeni project hiyo unahitaji link? hosteli za chuo kikuu za mabibo unahitaji link? hiyo ni kazi ya dr.Dau KIJANA wa mjini mchapakazi na mkapa alimbatiza kuwa ni askari wa mwamvuli nalo unahitajia link?

huyu bwana kazaliwa ocean road hivyo hahitajii kupigiwa debe wanaopigiwa debe ni wakuja sababu mjini hawapajui.
 
tunaongelea alipozaliwa au utendaji wake .....pole sana,sio kosa lako...one in a million!!!! so unakubali kwamba yale mabilioni uliyoyataja huna link....vipi umesoma hansard mbona hujajibu hilo....honi hata wabunge walihoji ??? sio mimi...
kama wewe ndio mpiga debe ,hatapata kitu ..uteuzi wa dola hautegemei ..kupigiwa ndogo ndogo au kupondwa kwenye forum...unazingatia kazi!!!! unless otherwise..!
 
Back
Top Bottom