Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 1,211
- 233
Malafyale!
Mbombo ngafu,kyala................................!
Mbombo ngafu,kyala................................!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dua, tatizo ni kuwa mnaotetea uwepo wa ukabila hamuhitaji uchunguzi kwani mmeshaamua kuwa upo!
mimi nakubaliana na wewe kuwa ukabila upo, au binafsi upo ila ninatofautiana na wewe kwa kusema "ili kujua kama kuna ukabila au udini tulinganishe idadi ya dini au kabila katika nyadhifa."
ukabila ni sababu moja ila kuna sababu nyingine nyingi zinazoleta utofauti wa idadi ya watendaji katika nyadhifa katika makundi mbalimbali
kumnyima mtu nafasi kwa sababu ya dini au kabila au kundi atokalo ni ubaguzi lakini vile vile kumpa mtu nafasi kwa sababu ya dini au kabila au kundi lolote ni ubaguzi pia.
hivyo tutakuwa tunafanya ubaguzi tukitaka kulinganisha idadi ya makabila au dini au makundi mbalimbali ndani ya nyadifa na wala hili haliwezi kutuletea maendeleo.tukianza kuteua watendaji sio kwa ushindani bali kwa kuangalia kulinganisha makundi tutaishia pabaya kwani ukilinganisha dini kutaibuka madhehebu ndani ya dini na kujiona utofauti.bado kuna dini za kijadi ambazo hazijafuata dini za kigeni nazo zitadai nafasi. Tanzania siyo nchi ya ukristo na uislamu tu hivyo ukitoa nafasi kidini lazima kila mtu katika dini yake apate nafasi.
Kuna makabila mngine mpaka sasa hivi hapa tanzania yako yanayoishi maisha ya porini ila itabidi uwatoe porini na uwape nyadhifa kubwa ili kuleta usawa wa kabila iwapo uaamua kuleta usawa wa kikabila.
ubaguzi unaondolewa kwa ushindani na yule aliyeoneka bora katika waliojitokeza kuwania nafasi hiyo, hivyo wanaweza kuwa wote kabila moja, wote dini moja wote jinsia moja ilimradi hawajawekwa kwenye nyadhifa hizo kutokana na makundi yao bali kutokana na ubora wao wa kuziba nafasi hizo, na hakuna walionyimwa kutokana na makundi yao
Mswahili!Mwanakjj.
kama nyinyi mlivyokubaliana kuwa HAKUNA UKABILA TRA.masihara yako wenzako wanateketea kwa ukabila. tutaliendeleza hadi kuhakikisha wanyonge wanakuwa na sauti TRA.
Phillimon Mikael.
1999/2000 NSSF ilikuwa ina net worth 169 billion na sasa ina worth 450 billion ni zaidi ya ongezeko la asilimia 200.
2000/2001 wakati mtoto wa mjini anachukua michango ilikuwa makusanyo yake ni billion 39.9 hivi sasa ni billion 146 sawa na ongezeko la asilimia 216.
matumizi yameshuka hadi asilimia 14. wakati mswahili anachukua shirika matumizi ya shirika yalikuwa yanakwenda kinyume na kifungu no 61(4) cha sheria no 28 ya mwaka 1997 iliyoanzisha NSSF KINACHOTAMKA wazi kuwa matumizi ya shirika yasizidi asilimia 15 kwa hali yeyote. huko nyuma ya mswahili ilikuwa matumizi asilimia 22, 1999-2000. au 19% 2000-2001.
jee huoni toka kwenye 169 billion hadi 450 billion kama ni hatua? au huoni toka kwenye makusanyo ya michango toka billion 39.9 hadi billion 146 kama ni hatua kubwa kafanya mswahili au kwa vile kafanya mswahili? ndio maana nikawa nakuuliza mswahili aliweza vipi ku survive ndani ya mkapa kama si mtendaji?
naomba unipe actuarial valuation ya shirika hivi sasa kama kweli wewe mkweli?
wanabodi.
KUNA watu wanadai mada imekwisha TRA twende sehemu nyingine. jee hapa hatujakubaliana kama kuna ukabila kwenye taasisi, huko kwengine tutakwenda lakini kwanza tukubaliane kuwa ukabila upo then twende kote.
IMHO ...
Kama ni ukabila, basi wangeanza jeshini na kwingineko. Hata hivyo, nani alisema kwamba ajira zinagawiwa kwa kufuata kabila au dini?
Mswahili
hizi DATA unauhakika nazo? na umeweza kuzipata vipi? na kwa nini umetoa 2001-2002 wakati huu ni 2007 ?
in short ingekuwa vizuri ukaeleza NSSF muda wote aliokwepo Dr DAU performance pale ikoje?
vile vile ni vizuri tukajua kama je pale NSSF hakuna UKABILA? maana mada hii ni kuhusu UKABILA
SWALI HILI NILIWAHI KUMUULIZA philemon michale huko NYUMA NA HAKUNIJIBU
na mwisho mimi nimekubali kuwa UKABILA upo TRA na ni TATIZO ambalo inabidi kufanyiwa utatuzi
=phillemon mikael;21480 kuhusu NSSF naona hakuna tofauti kati ya dau na mkullo au mattaka...tena sanasana DAU bado hajafanya vivid investment kulinganisha na enzi ya kina mkullo au mattaka [hata mkimsema ..jamaa ni kichwa ]....ila aendelee kujitahidi ..na nafikiri ni mtu anayetumia sana propaganda chini chini..natambua ni PAN AFRICA mzuri na mtoto wa mjini ,,,but we want more results...