Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

.......... mimi ni mtoto wa kariakooo na nimezaliwa mtaa wa swahili karibu na club ya Pan Africa. unaonaje nikiji nafasi kwa kuutukuza mtaa wangu?


Then you contradict yourself with ...

wewe umeamua kutukuza kwenu(kilimanjaro) na umekuwa ukitupa salamu kuwa mtu kwao na TRA wafanye mambo kwa kutizama watu wa kwao huo ndio ukabila tunaokesha kuupiga vita humu. ....


Sawa na kumnyoshea mtu kidole, kumbe vingine vinne vinaelekea kwako .......
 
Kwa vile mjadala huu utaendelea bila kukoma na ndugu zetu watetezi wa Ukabila wanaendelea kumwaga "data" nimeamua kuweka manyanga chini na kuwaacha ndugu zetu hawa washinde. Hata hivyo, kwa vile wao wanalijua tatizo hili kwa undani, nimeamua kupendekeza tume* ambayo ije na mapendekezo ya jinsi ya kuondoa ukabila huo TRA. Badala ya wao kuendelea kulalamika na kutugongelea kama msumari hii hoja ya ukabila nina uhakika watakuwa na nia na kusudi la kuamua kuondoa tatizo hilo.

WAJUMBE WA TUME
Mswahili - Mwenyekiti
Dua- Katibu
Mzee ES
Chinga
Mkuu
Mkandara
Jamberi

WAJUMBE WA ZIADA
Mtu yeyote ambaye amekubali kuwa kuna ukabila TRA anaruhusiwa kushiriki katika mijadala ya tume hii teule.

JUKUMU LA TUME
Jukumu la Tume hiyo litakuwa ni kutoa mapendekezo ambayo endapo yatatendewa kazi na wahusika yatasaidia katika kuondoa ukabila wa Wachagga kwenye taasisi nyeti ya Mamlaka ya Mapato.

UWEZO WAKE
Tume itakuwa na uwezo ufuatao:
Katika utekelezaji wa jukumu lake kuu, tume itakuwa na uwezo wa kupendekeza jambo lolote lile ambalo litapunguza na kuondoa kabisa ukabila wa wachagga kwenye Mamlaka ya Mapato. Tume haitakuwa na uwezo wa kupendekeza jambo lolote kuhusu ukabila wa makabila mengine kwenye taasisi hiyo wala kutafuta ushahidi wa kuwepo ukabila wa aina hiyo.

MIPAKA YAKE
Tume katika kutekeleza majukumu yake haitakuwa na uwezo wa kuita na kuhoji mashahidi, kutafuta ushahidi wa ukabila (kwani imeshabitishiwa kuwa upo) wala kumtaka Mwanakijiji awahoji wahusika, kwani sababu ya kufanya hivyo haipo.

MAMBO YA KUZINGATIA
Katika kutoa mapendekezo ya kuondoa ukabila TRA tume itapaswa izingatie yafuatayo:

  1. Mapendekezo hayo yatahusu ukabila wa Wachagga hapo TRA peke yake na si kwingineko
  2. Mapendekezo hayo yatapunguza idadi ya Wachagga TRA
  3. Mapendekezo hayo yatahakikisha Wachagga hawashiki nafasi yoyote nyeti kwenye taasisi hiyo
  4. Mapendekezo hayo yatasababisha waombaji wa kazi kutoka makabila mengine wanaongezeka TRA
  5. Mapendekezo hayo yatahakikisha kuwa hakuna Mchagga mwenye ndugu TRA atakayeajiriwa huko
  6. Mapendekekezo hayo yatahakikisha kuwa watu wa makabila mengine wanaweza kuajiri ndugu zao kama hawafanyi hivyo bado huko TRA
  7. Mapendekezo hayo yataharakisha kuondolewa kwa Wachagga wengi TRA ili kulinda usalama wa Taifa
  8. Mapendekezo hayo yataharakisha kuajiriwa kwa watu wa makabila mengine TRA hasa watu kutoka pwani na kupewa nafasi nyeti
  9. Mapendekezo hayo yatahakikisha kuwa mtanzania Mchagga hatabaguliwa kwa misingi ya ukabila wake TRA

MUDA WA TUME
Tume itapewa wiki moja kuanzia tarehe 12/03/2007 hadi 18/03/2007 ili kufanya mjadala wa hoja zake hadharani kwenye Jamboforums. Wanajambo Forums ambao hawakubali kuna ukabila na wamekubali kushindwa kwa hoja watakaa kimya BILA KUCHANGIA LOLOTE, na kuwaacha ndugu zetu hawa kuja na mapendekezo haya na hivyo kuondokana mara moja na daima na tatizo la ukabila wa Wachagga TRA.

JAMBO LA KUKUMBUKA
Tume haijaundwa ili kutafuta kama kuna ukabila wa Wachagga kwani hilo katika kurasa zaidi ya 70 limethibitishwa na wale wanauona ukabila huo.

NA TUME IANZE KAZI ZAKE MARA MOJA!

NB* Mamlaka ya kuunda tume nimejipachika na hamruhusiwa kuhoji iweje "mimi" niunde tume. Tunakaa chini sasa tuone nani "atamkoma nyani giledi!"
 
Dua,
majadiliano kuhusu TRA bungeni yalikuwa kati ya Mbunge na Waziri wa Fedha. Sasa ulipotuletea
 
wasikusumbuwe hao wanaweweseka. taarifa tulete sisi halafu waseme ongeza chumvi na binzali wao walikuwa wapi? kilichojadiliwa ni ukabila na mjadala huo umefanyika bungeni hilo ndilo tunalozingumza humu.

Phillimon MIkael ( zee la kuzua).

Taarifa za NSSF zinapatikana kwa kila mtanzania nenda ofisini kwao. yapo mengi tu ya maana kayafanya askari wa Mwamvuli DR.Dau. kwani wewe ulikuwa hujui kuwa kwa muda mwingi tu mafao yalikuwa yakitolewa ni matano na sasa ni saba? hilo huhitaji ripoti wala link ukitazama hata matangazo yao NSSF wanasema kuna mafao ya matibabu kitu hicho hakikuwepo.

Jengo la nasaco limekarabatiwa na nssf unahitaji link? mafuta house unahitaji link? daraja la kigamboni unahitaji link? kota za Ilala na magomeni project hiyo unahitaji link? hosteli za chuo kikuu za mabibo unahitaji link? hiyo ni kazi ya dr.Dau KIJANA wa mjini mchapakazi na mkapa alimbatiza kuwa ni askari wa mwamvuli nalo unahitajia link?

huyu bwana kazaliwa ocean road hivyo hahitajii kupigiwa debe wanaopigiwa debe ni wakuja sababu mjini hawapajui.


nb wakati hayo yanafanyika dau alikuwa bandari
 
Mwanakijiji,
Lakini majina matatu katika hiyo tume ni ya mtu mmoja.
Ongeza mengine.
 
Mwanakijiji,
Lakini majina matatu katika hiyo tume ni ya mtu mmoja.
Ongeza mengine.


Duh,

Jasusi nani huyo mwenye 3 nicks? Balaa basi.

Mimi naona kwenye orodha kajisahau Mwnkjj; nakupendekeza!
 
Mzee Mwanakijiji,

Sikujua kama wewe huwa pia msanii!... sasa hiii kamati uliyoitunga ina maana gani?.. kwa sababu hatukubaliani basi imekuwa sisi tuunde tume ya wasiokubaliana!...Kisha upate nini!.

Jibu tumekwisha kupa. Tunaitaka serikali ifanye Uchunguzi rasmi kama vile tunavyoitaka serikali uchunguze Ununuzi wa radar, mkataba wa Richmond na mengineyo. Sasa mbona hamkuunda tume ktk maswala hayo!... Acha kuwa mcheza sinema mzee wangu!
 
WorM, kwa mshindi huenda nyimbo! Wao wameshinda... Jasusi, basi huyo mwenye majina matatu alete mapendekezo yake kwa kutumia majina hayo ili tujue yanatoka kwa watu watatu tofauti...
 

Mkandara, hivi serikali ikisema hakuna ukabila mtakubali? Ukweli ni kuwa hata itumwe tume toka mbinguni ikawaambia TRA hakuna ukabila hakuna kati yenu atakayekubali! mtaendelea kurudi kwenye 'data' nusu za Mswahili. Nyinyi ambao mmeona kuna ukabila pasipo shaka, tunaomba mapendekezo yenu ya kuuondoa ukabila huo.! Sisi tumesema hakuna ukabila sasa hatuna mapendekezo ya kuondoa kitu ambacho hakipo!
 
MMKJ
Inaonyesha huna tena data katika suala hili inaonyesha Linakkukosha usingizi baba Kwanini usikubali tu kuwa umekumbana na shina la MBUYU mamboyaishe urudi katika matangaazo ya vifo? unasaidia lakini.
 
mswahili unaonaje kitendo cha ndugu zake ditto kufanya fujo mahakamani ...kwa madai kuwa wamekamata nchi...na mungwana ni mtu wao"......nyie waandishi kama hamjui hakuna kesi hapa...na nchi ndio tushaikamata"....unafikiri ni sawa?? kwa kuwa jeuri yao imetokana na kujua kuwa aliye juu ni mwenzao...unafikiri nayo ni element ya ukabila?

kwani hii imesababisha leo mahabusu kugoma na shughhuli za mahakama kusimama..wakihisi ditto kapendelewa na wao wanashinikiza kesi zao zisikilizwe mapema,,,
 
MMKJ
Inaonyesha huna tena data katika suala hili inaonyesha Linakkukosha usingizi baba Kwanini usikubali tu kuwa umekumbana na shina la MBUYU mamboyaishe urudi katika matangaazo ya vifo? unasaidia lakini.

Nikubali mara ngapi? leteni mapendekezo yenu ya kuondoa ukabila TRA! anza wewe "Mkuu" mimi sasa ni msomaji tu.
 
MMKJ
Inaonyesha huna tena data katika suala hili inaonyesha Linakkukosha usingizi baba Kwanini usikubali tu kuwa umekumbana na shina la MBUYU mamboyaishe urudi katika matangaazo ya vifo? unasaidia lakini.

Mkuu, sometimes, binadamu hatupendi kushindwa. Even if facts are not with us.
 
defuncdelec

KAGERA

EXAMINATION OFFICERS..

D.KAINDOA

CUSTOMS OFFICERS

USAJE B A
KITAPA KASONGO
G RUTAIHWA
E KAKOKO
R NAMBOMBI

PREVENTIVE OFFICERS

SUME KUNAMBI
DANIEL SAMWEL
S MALLE
MTENGA R

CUSTOM OFFICERS

NGADE C
CHACHA S
MAINA S
KABWEGE G
NONKWE E.
MWAIPONYA S.
ONYANGO E.
MANYAMPALA M,
L.ANGELO
N .MTAO
D.LIGANGA
MWITA M.
P.GABRIEL

MWANZA

EXAMINATION/O

WILBED DAUD
MAGADI ELIAS
LUKENGA E.E.P.MAKUNDI

CUSTOM /OFFICER

LUNYUNGU A.
SEKEMI G
KANTABULA W.
BAVUMA D.
P.MUNGU
MASAGA A.
ALLY ALEXANDRA
MUSHI F .C
NASSOR IBRAHIM

PREVENTIVE OFFICER

KONDO K.
NYAMUBI NOEL
TEMBA D'
HAMAD M.
AKIDA D.
NGAIRO M.
NTANGWA P
 
jokaKuu

1.) Kwa hiyo unakubali kwamba swala hili lilizungumziwa bungeni kuhusu ukabila pale TRA. Je unaweza kufuta usemi wako kwangu, Mswahili na wengineo wa maneno yako haya:

Hii ni kampeni ya kuwachonganisha wachaga na makabila mengine ya Tanzania. Jamboforums imekuwa kama gazeti la kihutu kangura lilokuwa likihamisha chuki dhidi ya watutsi.

bwana mswahili,
CHUKI yako na wenyeji wa mkoa wa kilimanjaro
Dua,
shutuma unazozielekeza kwa wachaga hazina tofauti na makala za chuki gazeti kihutu, kanguru.

Hili swala ambalo limezungumzwa kwa kirefu katika bunge la Tanzania haliwezi kuwa sawa na maneno uliyoandika hapo juu kwa wanabodi.

2.) Je kama TRA hawakuwa na makosa ni kwa nini walilipa 'compensation'?

3.) Je wewe ni kati ya wale wanaofaidi na uendekezaji wa ukabila pale TRA?

Only in Tanzania maamuzi ya waziri yanaweza kupuuzwa na viongozi wa ngazi ya chini yake, iko siku tutapata wasafishaji wa hii system iliyooza.
 
MKJJ

Hatuna sababu ya kuunda kamati yoyote au vinginevyo unavyofikiria, swala ni kuona jinsi mzizi wa fitina unavyoweza kung'olewa na kuutokomeza ukabila popote pale ambapo unafanywa kwa visingizio ambavyo havipo. Lets be more realistic na tuondoe matatizo ambayo hayana faida na maendeleo ya watanzania wote.
 
wanaJF,

Kwa kweli kwa maoni yangu sioni umuhimu wa kuundwa tume hapa kwenye JF coz haitambulikani kisheria so mapendekezo yoyote yale yatakayotolewa yataishia hapa hapa kwenye JF hata yakiwa mazuri kiasi gani.

Ikiwa ni hivo kwa nini vile vile tusiunde tume ya kuchunguza Radar, Richmond na mengineyo kwa sababu yote hapa yalijadiliwa na kuonekana kuwa yanaharufu ya Rushwa.

Mie nadhani tutafute njia nyengine muafaka ya kulitafutia ufumbuzi hili suala kwani ni tatizo na likiwachwa bila ya kutafutiwa solution litakuja kuleta matatizo makubwa katika jamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…