Mzee Dar,
Heshima mbele, ninajaribu kukuelewa, but, nafikiri point yako inalalia kwenye idea kwamba huenda kabila linalolalamikiwa lina maendeleo ya binafsi kuliko mengine, sidhani kama that is the ishu hapa,
nafikiri the ishu ni kiongozi wa kabila moja kupata nafasi ya uongozi kwenye shirika la umma na kuwaajiri watu wa kabila lake kwa wingi kuliko makabila mengine, sasa sidhani kwa mantiki hiii hoja ya maendleo ya binafsi kwenye kabila moja inasimama, hapa ni farvortism ndio the ishu, pia hii ndio hasa ishu inayoleta utata huko Rwanda,
sidhani kuwa Tanzania nzima kuna kabila moja tu lenye maendeleo ya binafsi kuliko mengine yote kiasi cha kuhalalisha kujazwa kwao katika TRA, binafsi isna data za TRA, isipokuwa ni kwa kufuatilia huu mjadala tu ndiyo nimejifunza hayo!