Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

...Matatizo yako ya huko NYUMA.......

Ni sawa na mbunge mmoja kwenye kampeni aliuliza: Wanawake hapa mbele mtanipaaaaa? wanaume huko nyuma mtanipaaaa... Watu ndiyooooooo!!!

Just thinking aloud!

FD
 
who maswali ,gani tena mtu wangu...sio kwamba nimeuchuna nakusoma sana kamanda! tatizo najua kila swali moja nitakalokujibu litazaa vijembe kumi au kupotoshwa na mtani wangu mswahili[kdn]..hata hivyo huoni kama hii thread tumeshaandika miezi na wala huko ikulu naujenzi hatujafika..unaonaje tukutane kwenye thread nyingine za public advantage kama ya chuo..na tuchangie mawazo kumshauri "mjomba" jk na timu yake ...anyway lete maswali basi...
 
Ndugu PHILEMON MICHAEL

Sababu kubwa inayonifanya nirudi katika hili la kukuliza majibu ya maswali yangu ni kutaka ku move on katika mengine lakini unajua hutuwezi kumove on ili hali kuna KIPORO na kwa hali hiyo kuna baadhi ya mambo inabidi uyaweke wazi sasa huko nyuma ulisema hivi:



KISHA UKAENDELEA KUSEMA HIVI:



Na mimi nikakujibu hivi:


Mbona unatia aibu? si lazima kila topic ujibu kwani inaonekana kuwa una hamu sana ya kutafuta matatizo kule NSSF lakini naona hupati. Sasa wewe unajua una mchezo unaitwa Character Assassination na hii ni hatari. Nakushauri nex time kama huna data basi wewe unaweza ukawa LURKER tuuu humu ndani kwani italinda heshima yako


baada ya kupotea kwa muda nikajua kuwa umeenda kuleta vitu zaidi kusuppot hoja zako lakini kwa bahati mbaya ukarudi bila chochote cha kusupport arguments zako za awali na UKAENDELEA KUSEMA HIVI:




Maelezo haya ULIYASEMA kwenye TOPIC HII:

http://www.jamboforums.com/showthrea...NSSF#post24289


KAMA KAMA HAITOSHI SIKU CHACHE BAADE UKAENDELEA KUSEMA HIVI:



na link ya hiyo topic ni hii hapa:

http://www.jamboforums.com/showthrea...NSSF#post24278

Majibu YANGU KWAKO YALIKUWA YAMELENGA KWENYE KUKULIZA MASWALI kwani kutokana na heshima ninayokupa nikaona ni bora tuwekane sawa yote katika kutafuta CLOSURE na trust me mimi nitakuheshimu sana utakapoback up your arguments na vile vile ningependa kukufahamisha kuwa as much as naweza ku disagree na wewe katika hili lakini sitokuwa na kinyongo cha kuendeleza yasiyo na maana ndio maana ukienda katika topic mabali mbali kama Ya ZIMBABWE utakuta kule ninatofautiana kwa kiasi kikubwa karibuni na kila mtu lakini watu hao hao we see eye to eye katika topic zingine japo naona wenzangu kule wameresort kupost new links...lakini at least wao japo hawako katika mjadala wanajitahidi kuleta weblinks za kutetea hoja zao ili hali Mangi wangu huja leta chochote kusupport hoja zako

sasa kwa Mara nyingiine tena naomba unijibu yale yake maswali niliyokuuliza siku za nyuma nayo ni:


Je,Dr DAU aliingia NSSF lini?

Alikuta makusanyo pale NSSF chini ya MKULO yalikuwa kiasi gani?

Sasa hivi yako kiasi gani?

Je Kulikuwa na investments za kiasi gani?

Sasa hivi investments zimefikia kiasi gani?

Na ni Propaganda zipi anazitumia kuendesha shirika kubwa la wanachi la NSSF?

Na imekuwaje ameweza kusurvive pale muda wote huo tangu MKAPA amuweke pale?

Kuna udini gani kule NSSF? naomba at least ushahidi wa weblink au news link
 
DrWHO,Hizo hoja zako nilishazijibu kadiri ya uwezo wangu kwa wakati huo...fanya flashback nilipost hapa link ya NSSF...ndani kuna cv na maelezo ya kutosha ,i went further into giving a link to bunge web in which hata muheshimiwa ahmed shabiby alikuwa akiulizia swali almost same withregard to availability of NSSF AUDITED STATEMENT..tulimalizia kwa wewe or whoever was alinishauri niende physically NSSF Kuomba wanipe finacial statement,...i have not gone so far...
in my opinion DAU has not proved to be neither religious nor tribal taatizo ni watu kama MANJI waliomtumia au wanaomtumia ndio wanajaribu kumfanya taswira yake iwe tofauti ,kwa mfano pamoja na kuwa bado saga yake na manji inawalakini[yule mama wa PSPF WAS CLEARED THIS WEEK FROM THIS ,refer taarifa za bunge]yet alikubali kwenda kumtetea kwenye kamati ya bunge...kama mimi ningekuwa yeye ningejiweka mbali na such scenerio na kutumia muda mwingi kujenga PR..at a certain agreed level...ndio maana pia nilimshauri mswahili or whoever is said to go by that name kuwa kumshabikia dau kwa hoja za umtoto wa mjini au vinginevyo kunamuharibia zaidi ya kumsaidia...
natumaini umenielewa hasa ukirejea kwenye post yangu ya hansard na link ya NSSF...NADHANI hoja ya ongezeko la mapato itapatikana kwenye ripoti ya fedha,na hoja ya vitega uchumi ipo kwenye link ya nssf tena miradi yote imewekwa na miaka ..ets
in conclussion dau is good and he is still young ...he has a big role to play kwa maendeleo ,but he has to watch not to be easily used...na watu kama MANJI na wengineo ,sidhani kama atakuwa amefaidika vyovyote na hili saga...!
 
...Matatizo yako ya huko NYUMA.......

Ni sawa na mbunge mmoja kwenye kampeni aliuliza: Wanawake hapa mbele mtanipaaaaa? wanaume huko nyuma mtanipaaaa... Watu ndiyooooooo!!!

Just thinking aloud!

FD

Aaaah na wewe Fikiraduni......hehehehehe...kweli jina lako linafanana na ulivyo
Just kidding....mambo vipi lakini? Hawajambo huko Canada
 
PhILLIMON Mikael.
Wewe huwezi kunifundisha kiswahili mimi Mswahili itakuwa msiba mkubwa wewe mtu wa mlimani kunifundisha mimi kiswahili. kama ni muziki wa pwani mimi nasikiliza Twaraabu na wewe unasikiliza rusha roho, Ulichoandika ni matusi ya wazi, huwezi kumdanganya mtu au nawe ni mwanaharakati wa Kianglikana ? unaona kina Elton John wanafaidi na wewe unataka uruhusiwe?. endelea hii ni dalili tosha kuwa umeishiwa,

Nazidi kupata picha kamili kwanini mlikuja juu kuona DPP si MCHAGA kwani ni wachafu hivyo mnaogopa kuumbuliwa.

Mheshimiwa JK.

Kauli ya Bwana Phillimon Mikael inajitosheleza ujue kuwa katika baraza lako la mawaziri kuna mawaziri wa kasikazini kama ulidhani ni mawaziri wa nchi nzima sasa uamke. ndio maana hukumuona Mramba lilipovunjika daraja la jimboni kwako Chalinze. ingekuwa Rombo ungemkuta huko huko.
 
Mimi kwa kabila ni mnyalu wa Njombe.
Nijuavyo mimi shule ya maana kule njombe ilianzishwa na Mzee Vekaeli Mmari babaya ke Pr Geofrey Mmari miaka 1930 kule Ilembula.
Hii ina maana kwamba Wachagga walikuwa mbele yetu kielimu kwa zaidi ya miaka 30.
Wajerumani walipokuja walianza kuelimisha watu katika maeneo yenye Kahawa. Yale yenye kulima Vitindi vya Ulasi(hapo mate yamenijaa kinywani) kama kule kwetu Ilinga waliwekwa mkiani.Yaani tulionekana ni makabila ya wazembe.
Sana mjerumani alitushauri sisi wanyalu wa kule Nzombe twende Tanga kukata mkonge,yaani umanamba. Ndiyo maana kule Tanga mpaka kesho kuna wanyalu wengi sana.
Sasa wewe unadhani kwa hali ilivyo pale Tanzania msomi wa kinyalu na msomi wa kichagga wenye sifa sawa wakiomba kazi, huku ukweli ukiwa yeyote anaweza kuajiriwa unadhani mnyalu atapewa kazi hiyo?

Kuna matatizo ambayo yalianzishwa zamani sana na watu tunayafumbia macho eti kwa vile tu sasa hivi ni ni 2007.
hata kule Rwanda Wabeligiji waliwasomesha Watusi wachache na kuwaacha wahutu walio wengi wakifanya kazi ya kuchuma kahawa na uhausi geli na kukatia nyasi mbuzi . Sasa leo wakija juu na mapanga historia inawekwa pembeni.

Ndiyo maana mimi mwenzenu nimejiwahi huku Uesiei, nikija huko sitaki kufanya kazi kwa mtu yeyote kila siku nadunduliza dola 5 baada ya miaka kumi nakuja na kateterkita kangu pambu ya maji kapikapu na ka ESIYUVI ka kwendea kwa padili jumapili ha be! nitakuwa sijachacha najiajiri kwa kulima mahindi mabichi kiangazi na fitofu(potato).
Mungu ibariki viseni yangu.

Pengine hapa nimewaudhi tu sijasema lolote la maana.
Ukabila upo siyo kwa sababu wenye makabila hayo wana roho mbaya sana la hasha ila ni kwa sababu walitutangulia shule.

Sasa ndugu zangu wale walio soma Toka ilinga wakipata vyeo ukienda kuomba upendeleo wananuna utafikiri umeenda kuomba ukalie kiti wanachokalia.
Mzee wetu J Makweta hakuwa msaada kwa wasomi waliotaka kujibanzakwake ili wapate kaupendeleo, eti anakuambia ufuate utaratibu.Utaratibu ulisha vurugwa tangu enzi ya Nyerere hapo si ana maana ukome kuwa mnyalu??
Sasa hivi na yeye ni mwenzetu tu tunapanda naye Lupelo kwenda ilinga mwe!
"Mpanda Ngasi Husuka" Sasa nimeenda kwa kibosile Mkweta waziri ameshindwa kunisaidia halafu Masawe anenda kwa katibu wa wizara mchagga anasaidiwa ninasema ukabila hapo nasindwa kushangaa!!
Ngoja kwanza nijinyamazie point zenyee sina.
Ukabila upo na sijui tutaumaliza vipi.

hata hapa Uesiei kuna upendeleo kama unafahamiana na CEO wewe kazi unapata bila kutoka jasho.
 
ILE KAMATI YA BUNGE[iliyotuhumiwaga kuhongwa na manji] ....IMEMSAFISHA MANJI...manji at last has been cleared from the sale of QUALITY PLAZA....yaani wamesema uuzaji ulikuwa saafi..free and fair..
 
PHILEMON MICHAEL

unajua internet ni chombo kizuri sana? kwani pamoja na kusema hayo uliyoyasema hapo juuu lakini hujaweza kunipa link hata moja ya tuhuma ulizozitoa dhidi ya Dr Dau

Inawezekana unataka kulitupa hili suala under the carpet lakini kwa taarifa yako kuna ishu muhimu sana ya kudiscuss na haswa hizo tuhuma ulizozitoa kuwa kuna ubadhiribu wa pesa za umma,udini,poor perfomance ya director wao,hakuna investments za maana zilizofanyika since enzi za MKULLO and so on. Naamini kutokana na position yako katika jamii unaweza kuweka sawa au kutoa evidence ya kusupport arguments zako

sasa TAFADHALI nakuomba usiwe kama JJ MNYIKA ambaye ukimuuliza swali hakujibu na nisingeenda MWANASIASA aje kukujibia haya maswali kwani Mwanasiasa ninamheshimu sana na sometimes its embrassing kuwa yeye ndiye huwa anamjibia maswali bwana JJ. MANGI WANGU, NATAKA ULINDE CREDIBILITY YAKO NA HIYO ITAWEZEKANA KWA KUTOA USHAHIDI WA TUHUMA ULIZOZITOA.

HIVYO NARUDIA TENA NAOMBA UNIJIBU MASWALI YAFUATAYO:

Je,Dr DAU aliingia NSSF lini?

Alikuta makusanyo pale NSSF chini ya MKULO yalikuwa kiasi gani?

Sasa hivi yako kiasi gani?

Je Kulikuwa na investments za kiasi gani?

Sasa hivi investments zimefikia kiasi gani?

Na ni Propaganda zipi anazitumia kuendesha shirika kubwa la wanachi la NSSF?

Na imekuwaje ameweza kusurvive pale muda wote huo tangu MKAPA amuweke pale?

Kuna udini gani kule NSSF? naomba at least ushahidi wa weblink au news link
 
DrWHO,
Inaelekea Ramadhani Dau[phD] aliteuliwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF mwanzoni mwa mwaka 2001. I found it frm this article:http://www.tanzaniaports.com/stories12-1803.htm

Pia naomba ieleweke kwamba makusanyo ya NSSF ni kwa mujibu wa sheria za bunge, na siyo "utundu" wa kibiashara wa uongozi wa NSSF.

Kwa hiyo kama ni mjadala basi uwe kuhusu investments za NSSF. je zimeleta faida/hasara kiasi gani?

Binafsi naamini watu aina ya Sheikh.Baseleh, Yussuf Manji, Mswahili etc wanamharibia badala ya kumjenga Dr.Dau. Watu hawa ni very controversial bahati mbaya wamejitwika jukumu la "kumsemea" Dr.Dau.

 

WEWE taratibu....usinishurutishe tafadhali, kwanza kwenye hii mada kuna watu wengi wameguswa ............now whats A BIG DEAL WITH DAU.........because its seem like whenever Dau is touched here you or Mswahili or viseversa becomes very hysterical......kwa hiyo tafadhali sintaweza kuendelea kumuongelea mtu mmoja..........kama kuna mtu anayelipwa kuhakikisha mtu haguswi, hiyo ni shauri yake ...........sanasana nilishakushauri wewe kwa kuwa unamjua vizuri BASI TUMWAGIE HAPA MAENDELEO ALIYOYALETA...........tunasonga mbele. Nikueleze tu kuwa kila kitu kinajulikana,.

Nimeona umeamua kuniita MANGI..........ni sawa na mimi nikuite Mswahili kama MSWAHILI anavyoniitaga MANGI..............mimi ni mzeeka hoi tu.......kuhusu hao uliosema wanaingia na kukimbia hoja........na wengine siwezi kuwajibia.

Kama nitakosa CREDIBILITY kwako kwa hili,..huo ni uamuzi wako...naamini still tutaweza kufurahi kwa mengine.

THIS IS KIND A SHIZNIT, I AM OUT!!!!!!!
 
Mzee PM take 5!

Haya mambo ya kuburuzana sasa, yaani sijapata kuona maswali ya kipumbavu kama hayo.

Well Dau is doing OK so wat? si ndio anacholipwa kwacho? liquidity ya shirika ni nzuri fine sio ndio maana akawekwa pale. Mwacheni afanye kazi yake haya mashinikizo ya nini? hafai kuwa Governor not because hajasoma au what, hafai kwa sababu ni mtu wa marketing, Governor lazima awe mchumi period!

Kampeni za kijinga kabisa, nadhani mnamharibia zaidi kuliko kumjenga. Huko NSSF wanampenda basi mwacheni akae hukohuko acheni ubwege tumechoka na kampeni uchwara.
 

Taratibu punguza mwendo mzee............!
 
Mzee Kanda2,

Heshima mbele mkuu, hivi unajua kuwa Dakitari wa mifupa aliweza kuwa waziri wa ulinzi Tanzania?

kabla ya kuwa RC?
 
Mzee Kanda2,

Heshima mbele mkuu, hivi unajua kuwa Dakitari wa mifupa aliweza kuwa waziri wa ulinzi Tanzania?

kabla ya kuwa RC?


This might sound shallow lakini nakubaliana na Kanda2 "Governor lazima awe mchumi period!".

Kwa Tanzania anaweza kuwekwa yoyote thou...nchi yetu tunaijua wenyewe.
 
Ukabila ni sumu kwa nchi yetu. mamlaka ya ufundi stadi-VETA imekuwa ngome ya wachagga watupu. kwanza DG alikwa Morgan Manyanga na sasa hivi kuna bwana Moshi ambaye kila kitengo anaweka wachagga wenzake.
hapa Veta ni zaidi ya TRA.
nitaweka kila kitengo cha veta soon.
 
mswahili vs chagga people...!

Mswahili papake wewe ni mmakonde au? Ili nao wajue namna ya kukabiliana nawe maana wenzio nadhani washakuona balaa kwao.

Asavali mie Mnyakyusa hujanigusa ati
 
ukitaka kujua kuhusu veta:
www.veta.go.tz

angalia hapa pia:
www.veta.go.tz/Finance.htm

badala ya ku-concetrate kwenye ukabila, tuangalie na miradi ya maendeleo ya VETA. Vilevile tuangalie ufanisi wa chombo hiki; vipi kuhusu ripoti ya ukaguzi wa mahesabu yao?

This was interesting to me:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…