Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

daah mi kabila langu muwanji. joto la jiwe naliona saizi na degree yangu mkononi ukizingatia kabila letu halijashika idara yoyote hata umgambo
Nenda kule KKKT Makao Makuu Arusha utamkuta Muwanji mwenzi Brighton Killewa ni Katibu Mkuu atakuajiri. Siamini sana kwenye haya mambo ya ukabila kiasi hicho...Kama una sifa ipo sku utatoka tu
 
UDSM
PROF MUKANDARA, PROF MULOKOZI,PROFF RUTASHOBYA,PROFF RWEKAZA, PROFF RWAITAMA
IFM
KATO RUGANGILA,PROF TUMWESIGE, PROF
MZUMBE
KABIGIZA,prof kaijage
SAUT, mweiga baregu prof, kwaNINI HAWA TU JAMAN

duh kweli mkuu.. lisemwalo lipo kwa tulio pita pita kwenye sekta.. Bandugu bameeejaa muno! Lakin jee suluhisho n nin twende mbele.?
 
Aaa sio gesi tu jamani hata wakurya tumebiga gitabu sio watani zetu nshomile peke yao! Iwe Kokushubira Nduli Idd Amini alisema Bukoba ni yake wakurya tukapigana tukwaokoa wajukuu zetu! sitaki m2 aseme niko nje ya topic!
 
mbona hautaji ukabila pale Muh2 na, UDSM?

PRO shayo, Pro Kinasha, Pro Mushi, Pro Temu, Dr Kisanga, Dr Temu, Dr Lema, Dr Mtei, Dr Kundi, Dr Matee, na wengineo. ukienda Muh2 utawakuta wanatibu nashangaa hawa hawauliziwi.

Hapo hakuna ulaji. Wao waendelee kusota tu. Hata ukienda shule za msingi na sekondari utawakuta hao hao. kosa wakienda TRA, BOT, IKULU n.k.
 
[QUOTEUDSM
PROF MUKANDARA, PROF MULOKOZI,PROFF RUTASHOBYA,PROFF RWEKAZA, PROFF RWAITAMA
IFM
KATO RUGANGILA,PROF TUMWESIGE, PROF
MZUMBE
KABIGIZA,prof kaijage
SAUT, mweiga baregu prof, kwaNINI HAWA TU JAMAN?[/QUOTE]

Sasa na maprofesa wote hawa wakati mkoa wa Kagera ni wa 3 au 2 kwa umaskini zaidi Tanzania leo hii??

What has actually happened in Kagera?
 
Japo nimechelewa jamvini lakini kukosa kabisa itakuwa dhambi hili suala liliwahi kuwekwa sawa kwenye orientation yangu ya UDSM na Prof. mmoja mwaka 2005.

Nakumbuka ilikuwa ndio tunaenda kutambulishwa kwa viongozi wa CCT (Kanisa) pale Yombo 2. Prof mmoja mtu wa pwani jina nalihifadhi akasimama akatuambia tujitambulishe kwa kutaja majina yote na kusema kabila na sehemu ya nchi uliyokulia. Matokeo yake yalikuwa wengi walikuwa wameishi kilimanjaro hata kama hawakuwa wachagga au wapare. Yule Prof. alisimama na kuanza kutoa ufafanuzi kuwa hiyo ndio sababu wachagga wengi wapo serikalini kwani waliosoma ni wengi na wanaapply kazi vilevile watakuwa wao ndio wengi.

Sasa basi hoja ya kubadilisha hali hii ndio inayotakiwa kwa sasa, tufanyeje?

Kwa mtazamo wangu miaka ishirini ijayo hali itabadilika lakini kidogo sana kwani sisi makabila nje ya hayo matatu tumekuwa nyuma sana kushinikiza watoto wetu wasome. Kwa mfano ndio kwanza tumepata Mhadzabe wa kwanza kuingia chuo kikuu mwaka huu (Kwa mujibu wa makala ya Gazeti la Mwananchi la Tarehe 8/3/2013) sasa kwa staili hiyo tutafika jamani?

Kimsingi tutilie mkazo elimu kwa watoto wetu na tupende kufanya kazi kwa bidii tuache deal, shortcut na maneno mengi kuna mambo hayahitaji mbwembwe yanataka expertise na kama huna OUT you go. Halafu rahisi ni ghali sana, hizi shule za SIKU SABA zilizoletwa na KIKWETE ndio angamizo kabisa kwa makabila nje ya hayo matatu kwani wakati mzazi anajua mwanae yuko sekondari kumbe hata kuandika jina lake hawezi.

M.M. KJJ nakupa mia kwa mia
 
My Concern;
Ambaye hataelewa hapa basi tenaa
1.UDINI
Waislam wanajtakia wenyew kuwa nyuma maan wao toka enz ya uhuru hata had sasa wamekuwa n watu wa kupuuzia maswala ya elmu na kujkita ktk maswal yao mengine hasa ya kiswahil wasijue dunia inaelekea wap.
Mfano zikitokea fursa wao hawachangamkii kisa eti wanataka wahudumiwe na waislam wenzao mfano hosptalin, mahakaman n.k;n.k(Wanashndwa kufaham kuwa tanzania ni secula country yeyote yule ana hak ya kuongoza na kuchaguliwa)
2.UKABILA
Maelezo ya mwanakijj yanatosha 100%

Mwisho
Mnatakiwa mfaham kuwa watu hawafanan na kuwa wapo wenye uwezo wa juu sana na wengne uwezo mdogo, hvyo msilazmishe ambae hana uwezo
et kwa sabab n kabila dogo et apewe fursa fulan hat kam hana uwezo kabsa.
 
wewe huna hoja, una inferiority complex na wewe ni mkabila vilevile. hivi kwa upeo wako shule nyingi nchini zilikuwepo maeneo gani sana enzi za ukoloni na zilijengwa na nani, pili kama chaga, nyakusya, haya, wasingekuwa juu, unadhani makabila mengine yasingekuwepo.
 
kalagabaho mkabila....baba ako na mama ako wana elimu gani ndugu.....ndio ukabila utaisha.....
 
Aache wehu ina maana ukiwa na qualifcation zaid ya mhaya mnyakyusa na mchaga watakuacha? That not true la msing ishaur jamii yako isome kwa bidii ili nayo ije kua popular! Ndio maana wakenya tunawaogopa kwa sababu tayar wamesoma zaid yetu so wakiingia zaid kwenye east africa community tutawalalamikia nao!!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
1,mtawa -ikulu
2,gurumo-ikulu,
3,hawa gasia- ,shemeji
4,shukuru kawambwa-binamu
5,said mwema-,shemeji
6.Ben membe-shemeji
..................
.....................
........................
ongeza list
 
1,mtawa -ikulu
2,gurumo-ikulu,
3,hawa gasia- ,shemeji
4,shukuru kawambwa-binamu
5,said mwema-,shemeji
6.Ben membe-shemeji
..................
.....................
........................
ongeza list

Rizi moko- mtt, mbunge, mjumbe halmashauri mkuu

Miraji, salama- share holders simba trust
 
Back
Top Bottom