Nenda kule KKKT Makao Makuu Arusha utamkuta Muwanji mwenzi Brighton Killewa ni Katibu Mkuu atakuajiri. Siamini sana kwenye haya mambo ya ukabila kiasi hicho...Kama una sifa ipo sku utatoka tudaah mi kabila langu muwanji. joto la jiwe naliona saizi na degree yangu mkononi ukizingatia kabila letu halijashika idara yoyote hata umgambo