Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,659
mada za kipuuzi sana hizi
Mbona mada ni moja tu, hapo aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mada za kipuuzi sana hizi
Najua hii topiki haitokuwa poplar na baadhi ya watu humu ndani na hata wenye website lakini potelea mbali
Je ni kweli wizara hizo zimejaa makabila ya Wachagga,Wanyakyusa na wahaya?
mimi nilikuwa siamini mpaka pale NILIPO ambiwa kuwa kuna UKABILA wa hali ya juuu kule Ikulu NA vile vile namba mbili kwa UKABILA ni TRA je kuna ukweli katika haya?
Japo kuna watu wanasema kuwa ni udini lakini sumu ambayo hatuko tayari hata kuijadili ni hii ya ukabila na ndio inayoturudisha nyuma je mnakubaliana nayo?
-JAMBO FORUMS WHERE WE DARE TALK OPENLY
Mimi nimeshashuhudia kijana mmoja alimaliza chuo na kufuatilia ajira tra, waliomba walikuwa kama 8000 na walikuwa wanataka watu kama 20 hivi, yule kijana na upper second yake alikosa hata hajaitwa interview.
Na minimum qualification ilikuwa degree, ila cha kushangaza kuna dada nilikuwa nafanya nae kazi private sector, alikuwa kamaliza form6 na certificate yake ya it, akaja kupata, sikushangaa sana kwasababu alikuwa ni mchaga.
Kwahiyo ndugu zangu hili tatizo lipo na ni kubwa sana.
Umesema mdada. Bado kuna maswali lukuki. Pengine alitoa rushwa ya ngono?
Utajuaje?
Anyway ni kwakuwa umemtaja mwanamke.
mkjj We Are All Behind You. Mjadala Huu Umeishia Hapa Longolongo Za Ukabila Kwisha. Watu Waende Kusoma Kazi Zitatolewa Kwa Wale Wanaoweza Kutuongoza Bila Kujilimbikizia Mali.
hiyo flooding mnaweza kuifuta ...ila siwezi kusema sikuiona ,kwa sababu nipo makini sana always kuangalia chochote kabla ya ku complain..and what i did niliangalia thread hadi thread hadi kufikia feb 14..mara tatu na sikuona kitu na still nikamuomba na mtu mwingine kwenye pm anisaidie kuitafuta naye kama mimi hakuiona...
anyway tuendelee kukata issues tusitafute mchawi.peace!!!!
Baada ya chaguzi mbalimbali nchini, kutoka Vatican. Papa Francis amechagua maaskofu. Wachagga kwa sasa ndio kabila lenye maaskofu wengi nchini. Na ikumbukwe maaskofu wengi wanachaguliwa na Papa. So hadi Vatican wameendelea kuona Chagaz wanafaa. Mungu atukuzwe.Haterz mshindwe kwa jina LA bwana....
KwA Mungu kuna maslahi zaidi. Mzee wa Transformer mch. Lusekelo amesema watu wanao fanikiwa katika kanisa lake wengi ni wachagga.
Waarabu na wahindi wameendelea kula bata huku waswahili wakiendeleza chuki binafsi...
.
Hili ndio tatizo linalowatafuna waafrika , uchoyo, yaani kwakuwa wewe ni mchaga kwahiyo unafumba macho kulitambua tatizo kwasababu unatoka kabila hilo.
Unajua hata chenge na wenzake wanamtazamo kama wakwako halafu tunawalaumu, basi tuache kuwalaumu kumbe waafrika ndio tulivyo
Laiti nchi hii wangekuwa wachagga ni wabaguzi naimanj rais angekuwa mchagga. Am a mhaya a mnyakusya
Manake ndio makabila yanayopigiwa kelele.
Tujiulize Vatican nao kwanini wamechagua wachagga. He ukatoliki una ukabila
Makabila mengine yanaweza kuwa yamesoma .
je wachagga waliacha kusoma?
Wahaya me?!,
Wanyakyusa je?
samvulechole... hakuna hoja ambayo ni ngeni hapa.. madai ya makabila hayo kupendelewa hayakuanza leo! tangu mara tu baada ya uhuru kulikuwa na tuhuma hizo hizo.. so.. there is nothing there..! Hata hivyo hatari unayoweza kuleta siyo ukabila bali ubaguzi, kuwa kama mtu anatoka kwenye makabila hayo basi asipewe nafasi fulani kwa vile watu fulani wanadhani kuna ukabila! Nitakupa mfano, kuna wanasheria watatu wote ni maprofesa... kuna Prof. Mwakalindile (Sheria, uzoefu miaka 30), Prof. Mtimba (mmakua, uzoefu miaka 10, sheria), na Prof. Chanda (Mzigua, sheria uzoefu miaka 5). Assuming maeneo ya fani zao ni sawa, ceteris paribus Rais anataka kumteua mshauri wa kisheria.. nani apewe kwa haki? Wengi watasema prof. Mwakalindile! Sasa kwa kufanya hivyo hata hivyo kuna wanyakyusa wawili tayari hapo ikulu ambao wameshapata nafasi zao, je tumnyime Mwakalindile kwa vile itaonesha ukabila?
Kabla hatujafikia hapo pa kudai ukabila tujiulize: "Kwanini inaonekana kuna wasomi wengi wa makabila hayo matatu Wachaga, Wahaya, na Wanyakyusa"? Je, tupunguze wanafunzi wanaotoka kwenye makabila hayo na kuwapa nafasi watu wa makabila mengine ili kuleta uwiano (parity)? Je tukiamua kufanya hivyo hatutakuwa tunaanza ubaguzi wa kikabila?
Tarehe 9 Disemba 1968 Nyerere alitumia siku ya Jamhuri kuzungumzia "Vitu ambavyo ni lazima Tuvisahihishe", vitu ambavyo baada ya uhuru havikwenda vilivyotarajiwa. Alizungumzia ukabila; kwanza alisema hivi:
"the man who talks about tribalism being practised without having any evidence for his statement is often a man who wants to stir up tribalism. Even if that is not his purpose, the result can be just the same. People will begin to think that there is tribalism, and, once people begin to think in these terms, then tribalism has begun to enter tinto our society"
Kuhusu Wahaya, Wanyakyusa, na Wachaga kupata nafasi nyingi katika serikali, Mwalimu alisema hivi miaka karibu 30 iliyopita:
"..the work of the civil servants and people in the parastatal organizations does require education..it so happened that the Tanzanians who had the opportunity for higher education under the colonialists were mostly Wahaya, Wachagga, and Wanyakyusa. And because most of the education was provided by missionaries, most of these people are also Christians. That was our inheritance. These conditions will change, but they have not changed yet. And for these reasons, when we get rid of the Europeans who were doing responsible jobs, and give these jobs to Tanzanians, the people who get them come mostly from one or other of these three tribes".
Akaongeza pia,
"Therefore, if you ask me why Wahaya, Wachagga, and Wanyakyusa have most of the jobs which require higher education, the answer is very obvious. They were the ones who received higher education during colonial times. I'd say: investigate the position in politics where a man is not asked about his educational qualifications. Look at the Parliament, the National Executive and Central Committee of TANU, and at the Cabinet. How many Wanyakyusa, Wahaya, or Wachagga are members? You will find that perhaps there aren't any, or there are one or two. This is the truth"
kwa umahiri wake wa maneno JKN akatoboa ukweli huu
"Anyone who refuses to accept a very obvious truth like this, and says that the reason is tribalism, must provide us with the evidence for his statement. If he cannot provide any evidence, we must conclude either that he is a fool, or that he is strirring up tribalism deliberately. He is the sort of (a) person who begs work on a tribal basis, and when he is refused because he does not have the capabilities, he pretends he was refused on tribal grounds."
Akasema pia ni jukumu la serikali kusaidia sehemu ambazo bado ziko nyuma kielimu. Na alimaliza kwa kusema:
".. if a Mchagga, a Mhaya, or a Mnyakyusayoung man were refused work simply because of his tribe - when he is capable and there is no other Tanzanian with the qualifications - then we would be practising a very stupid and very evil kind of tribalism such as that which caused the establishment of Biafra. I beg you, my brothers, avoid ANYTHING WHICH COULD BRING OUR COUNTRY INTO THIS KIND OF DISGRACE" (emphasis mine)
(From: Uhuru na Maendeleo pp 76,77)
so what say you?
Mchaga hata akifungua kijimgahawa atahakikisha anawaajiri wachaga wenzie kibao.
Akifungua bucha au duka vilevile, ikiwa baa lazma kaunta awe mchaga. Nimeyaona kwa wengi wao ila co wote.
This is a totally misplaced argument! How do you force Nyerere's excellent words which were very valid at the time he uttered them to fit a totally changed context? Isn't that like amputating a person with stomach ulcers because a prominent Dr did the same to a victim of car accident? For your info, mambo yamebadilika Sana, watu wamepiga buku kuliko unavyodhani! Ila ukabila umewaweka kando, wakidai kibao kinageuzwa kwamba wao ndio wakabila, na mchambuzi Kama wewe you practice distortion or "obscuretism" kwakuwa wewe ni mmoja wa wanaonufaika na simulizi za kale, old narratives kwamba Kabila lako lime soma , dying in defense of the status quo!
ukienda Kagera, Mwanza utasikia matukio ya ujambazi wa silaha, maeneno kama biharamuro, sekenke, n.k.Thats obvious it depends na affection yao kwenye dini husika, kwani ukienda nyumbani kwa mchaga unategemea utasikia mwimbo gani kama si kwaya
Au unaonaje wachaga wanavyoichukulia christmas, likewise hujiulizi kwanini wachaga hao hao ndiyo wanaongoza kwa ujambazi.
Unajua ustaarabu pia ni kukubali tatizo na kusahihisha if its possible lakini kupigania kitu kwakuwa una maslahi nacho nalo ni udhaifu.
ukienda Kagera, Mwanza utasikia matukio ya ujambazi wa silaha, maeneno kama biharamuro, sekenke, n.k.
kuhusu ujambazi kila kabila lina wezi. tatizo makabila mengine wanaiba ng'ombe, mbuzi na wanaziswaga porini na kutokomea nazo. ila watu hawakumbuki kwakuwa ni kijijini na hakuna gazeti lililoandika.
pia makabila mengine wanajionesha watu dini lakini wanaendekeza ushirikina sana. Na kucheza ngoma. kuna mikoa nchini imejaa mashoga na waganga wa kienyeji na wanajisifu kwakuwa wachawi.
utawajua tu kwani huwa wanajisifu utasikia mi nimeaga kwetu. hapo anamaanisha yeye ameizndikwa kishirikina.
so kila jamii ina kitu inathaminisha. NA mwisho wa siku kina mfikisha pale alipo. wahaya mbali na kucheza ngoma na kukata viuno wana akili si mchezo. wamesoma shule.
kwasasa makabila mengine yanajiona yamesoma, so yanataka yapewe nafasi utadhani yakidhani wakati wanasoma haya makabila matatu yalisitisha kusoma yakiwangojea. Sasa yamesoma yamemweka mswahili ameharibu uchumi na Ajira hakuna yanaanza kulalamika.
kwa miaka mingi makabila haya matatu ya watu wenye Akili hayajawahi kuwa na kiongozi wa nchi. Na hii inatokana na ubaguzi. yanabaguliwa wakati yana watu wenye uwezo. wale ndugu wa mbeya wengi walianza kubadilisha majina ya ubini ili wasigunduliwe wakabaguliwa.
wachaga waliobaguliwa kwa elimu walikimbilia kenya wakasoma wakaja wasomi.japo wengine walisambaa mikoa minine ili wafaulu kwa alama za chini. iliwasaidia angalau.
Nchi imetawaliwa na wasiojitambua na mpaka leo tunatambaa wakati tungetakiwa kukimbia kabisa. Tunahitaji Rais Mwenye hoja za kisayansi atakaye tutoa hapa tulipo. hawa waswahili na wacheza ngoma imetosha sasa. Wakae pembeni manake hata kutofautisha kati ya R na L hawajui.
kuna msemo wa kiswahili unasema Ukitaka mchawi asimloge mtoto wako mpe amelee. Nashauri watanzania ipo haja ya kuchagua kiongozi wa haya makabila makuu ma3 . Kwa kufanya hivyo atatufanya watanzania wote kuwa kabila moja kubwa dhidi ya nchi nyingine, na kuhakikisha analinda maslahi ya taifa hili ambalo limegeuzwa shamba la bibi. Na ataweza ku-mainstream Elimu na huduma nyingine kwa makabila yaliobaki na kuleta maendeleo nchini ndani ya kipindi kifupi.