Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manta,
..kutokana na data zako Kilimanjaro wako nyuma ya mkoa mmoja tu wa Tanzania Bara, Dar-Es-Salaam.
..Zanzibar nao naona wana viwango vizuri tu, ingawa wao ni NCHI, siyo mkoa!!
Tonga said:Na kama Kilimanjaro wako nyuma ya mkoa wa Dar-es-salaam basi linganisha population ya mikoa hiyo miwili then figure it out.
From there at least we can see the good conclusion.And we can make it,if we want it at all.Tonga,
..jibu lako limenifanya nitafakari mambo mengi zaidi.
..nadhani my first reading on ZNZ might in be wrong.
..kuhusu DSM kumbuka kwamba wana-attract 'wasomi' wengi toka mikoani.
..hizi figures sidhani kama zinatosheleza kujibu maswali tuliyonayo.
..lakini lazima niseme huu ni mwanzo mzuri.
Hebu tuambie kile ulichoambiwa nasi tupime ukweli wake.
Tupe tu majina ya hao wachagga/wanyakyusa/wahaya na post walizonazo.
hapa hachukiwi mtu; ni hoja zako tu mwanangu zinaongea na kuipa hoja yako hiyo popularity
Mzee Mwanakijiji
"..the work of the civil servants and people in the parastatal organizations does require education..it so happened that the Tanzanians who had the opportunity for higher education under the colonialists were mostly Wahaya, Wachagga, and Wanyakyusa. And because most of the education was provided by missionaries, most of these people are also Christians. That was our inheritance. These conditions will change, but they have not changed yet. And for these reasons, when we get rid of the Europeans who were doing responsible jobs, and give these jobs to Tanzanians, the people who get them come mostly from one or other of these three tribes
Mwanakijiji hivi unataka kiniambia kuwa tangu tu uhuru "these conditions" have not yet changed. Don't hide behind Nyerere's rhetoric MK. Hali imebadilika sana na makabila mengi sana yameelimika sana kuliko hata hao wala ndizi, lakini tatizo ni kuwa wao wana historical advantage. Wamekuwa wanarithishana na kupendeleana hadi kesho, Hivi unataka kuniambia kuwa wenye sifa za kuwa TRA au treasury ni wachaga tu. In 1960's ningekubali, lakini in 2009? no. au wenye sifa za kuwa NIC ni wanyakyusa tu? no wonder wameiua na sasa wana jifanya wanaonewa.
Unjau kabisa ndani ya moyo wako kuwa makabila haya ya wala ndizi wana ubaguzi wa hali ya juu wa kupendelea watu wa makabila yao. These feel more secure wheh they are surrounded by people from the same tribe. MK wewe ni mlandizi and that is what you feel you can not deny it. MK ukiwa na nafasi ya kuajiri na nikaja mimi mzaramo mwenye experience ya 5 yrs, na mla ndizi mwenzako mwenye same ducation as mine but exp ya 1 year itakuwa ni muujiza kama utaniajiri mimi mzaramo.
Walandizi are very bureacratic, dishonest, ndio chanzo cha rushwa iliyokithiri civil serivice ya TZ an bureacuracy. Serikali inaoongezwa na civil service (technocrats) haiongozwi na wanasiasa, politicians come and go. Kwa hiyo kwa sbb civil service imekuwa chini ya walandizi since independence, backwardness ya TZ is part to blame on uzandiki wa walandizi. Na nina waambia siku mlandizi akishika nchi, tutafute pa kutokea. Tell me MK kwa nini Nyerere aliapa mlandizi asichukue nchi?