Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Jamani ndugu zangu,
Hili swali mlisifanyie mzaha hata kidogo ni upofu wa akili kabisa kuanza kutetea Ukabila kwa sababu ya elimu na kadhalika. Hivi huu si ndio Mbowe anauita Ukoloni wa mtu mweusi?..
Wewe hapo ulipo kweli unaweza kuhalalisha kabila fulani kuwa juu ya jingine klwa sababu sawa na zile za mkoloni mzungu alotuita sisi sii binadamu ila tunafanana.
Kuna tofauti gani ya matetezi yenu na yale ya mzungu ama mwarabu mkoloni alotuweka utumwani kwa madai sawa kabisa na yenu.
Amkeni ndugu zangu jaribuni kulitazama swala hili kwa mapana zaidi. Ukabila upigwe vita kila kona laa sivyo tutazaa taifa la tabaka - Wakoloni weusi!
 
Dar_si_lamu said:
...nimeona kule mnataka cdf awe mwislam!

...tatizo waislamu wanaonusanusa u-cdf ni wakina msuya na mosha!! sasa wale wakereketwa wa "uislamu,"ustaarabu wa pwani na uswahili, wametaharuki!

[quote =Dar_si_lamu]...mwaka huu kaaazi kwelikweli![/quote]

...kaazi tena siyo kidogo!!
 
hivi ukabila na udini ni nini? na chanzo chake ni nini? na lipi lifanyike? tunajenga hoja na sio kutumia lugha kali. ni maoni na tumejenga hoja ya wasomi waliopita ambao maoni yao ni mamlaka"authority" Ila ni maoni yangu tu.
 
Jamani ndugu zangu,
Hili swali mlisifanyie mzaha hata kidogo ni upofu wa akili kabisa kuanza kutetea Ukabila kwa sababu ya elimu na kadhalika. Hivi huu si ndio Mbowe anauita Ukoloni wa mtu mweusi?..
Wewe hapo ulipo kweli unaweza kuhalalisha kabila fulani kuwa juu ya jingine klwa sababu sawa na zile za mkoloni mzungu alotuita sisi sii binadamu ila tunafanana.
Kun..........

tusihamaki bali tujenge hoja kwa kuvumiliana.
 
Mwana hii kama ni kweli itakua bonge la soo, mi sina uhakika ila nitafanya uchunguzi ntakupatia jibu baada ya siku tatu.





Najua hii topiki haitokuwa poplar na baadhi ya watu humu ndani na hata wenye website lakini potelea mbali

Je ni kweli wizara hizo zimejaa makabila ya Wachagga,Wanyakyusa na wahaya?

mimi nilikuwa siamini mpaka pale NILIPO ambiwa kuwa kuna UKABILA wa hali ya juuu kule Ikulu NA vile vile namba mbili kwa UKABILA ni TRA je kuna ukweli katika haya?

Japo kuna watu wanasema kuwa ni udini lakini sumu ambayo hatuko tayari hata kuijadili ni hii ya ukabila na ndio inayoturudisha nyuma je mnakubaliana nayo?




-JAMBO FORUMS WHERE WE DARE TALK OPENLY
 
Mwana hii kama ni kweli itakua bonge la soo, mi sina uhakika ila nitafanya uchunguzi ntakupatia jibu baada ya siku tatu.

G. Kubwa karibu jamvini. Nikushauri tu kabla hujatoa tathmini ya uchunguzi wako jitahidi upitie posting zote za thread hii (0ver 130) huenda uvumbuzi wako utakuwa ktk moja ya michango iliyotolewa
 
tatizo watu wana njaa na dawa yao ni hii
newmoney.JPG
 
Ndugu wana JF kuna kaemail kalikua forwarded kwangu ,nilipokasoma nilipatwa na mshtuko lakini inshallah nguvu zangu zimenirudia leo na nachukua fursa hii kukawakilisha kwenu (in my own version) but i hope it will still be enjoyable to read........ enjoy!

Hii ni habari halisi na ya uhakika kutoka ndani ya BOT. Je unawajua walioajiriwa kusimamia uchumi wa nchi yetu na kutuletea mafanikio? Pokea taarifa ya wateule hawa.

Nakutajia kwanza wachache ili wewe na watanzania wenzetu watafakari kama kweli ndege yetu itaweza kupaa kama bwana Lowasa alivyosema, au tutabaki ombaomba kama Balali anavyodai!!!. Ama tunageuzwa kuwa wadanganyika!!!

Ndani ya Mtungi wa BOT walioqualify kuajiriwa kwa sifa na vigezo vinavyotambulika na BOT ni pamoja na hawa wafuatao:-

Pamella Lowassa, Filbert Frederick Sumaye, Zalia Kawawa, Harieth Lumbanga,Salama Ally Mwinyi, Rachael Muganda, Sylvia Omari Mahita, Justina James Mungai, Kenneth John Nchimbi, Blassia Blassius William Mkapa, Violeth Phillemon Luhanjo,Liku Irene Katte Kamba, Thomas Mongella,Jabir Abdallah Kigoda etc. Hii ndio success team, hapa nani atamuwajibisha Dalali alas Balali?
Je KAPUKU MWENDE(a.k.a KAYUMBA) ATAAJIRIWA KWELI HAPO?


Hawa ni wale wenye uhusiano wa moja kwa moja na wazito wa nchi, wapo wengine ambao ni ndugu wa karibu au kabila moja na waheshimiwa. Ni vigumu kuamini kuwa hii ni bahati mbaya(mere coincidence).

Wana JF, ni juu ya watanzania kuamua kuendelea na viongozi wabovu na wenye ubinafsi au kuwaambia ukweli hata kama utawauma na kwa vile wao ndio miungu basi watatoa adhabu za kukufukuza katika bustani ya Eden.

Rhuksa kupayuka utakavyoona inafaa, na kama kuna cha kuongeza na kiko ndani ya uwezo wangu, nitakuongezea.
 
ndugu zanguni ,seneti ya makerubi iliyopigwa vita imeishajiingiza ulingoni, ni juu yetu kuamua, au kusuka au kunyoa, ila sasa seneti hiyo ndio yenye wembe wa ncha kali, je kunyoa kutawezekana?
 
kina sie tulie tuu....ila kinachoniuma mie ni kuwa baadhi ya hao watajwa hapo juu hawastahili hata kuwa masecretary
 
Viongozi wetu wa sirikali!!!, ufisadi mfanye na bado nafasi nyeti zote mjaze watoto na ndugu wa karibu. Haiwezekani hiyo ikawa 'for coincedence', bali dili tupu
 
Tehe!tehe! Tehe! Sijui Ata Nisemeje Hapa- Kwa Upande Mmoja Labda Kwa Kuwa Wenzetu Wana Nondo Za Harvad Na Oxford Ndo Maana Wamepata Hizo Ajira, Sina Hakika Na Hili Lakini Ninavowajua Watoto Wengi Wa Wazito Serikalini Ni Vilaza,sidhani Kama Wana Degrees Za First Class, Anyway-naamini Applicants Wanatakiwa Wawe Judged According To How They Perform On The Interview Day-regardless Of Vyeti Vyao As Long As Umekua Short Listed. Lakini It Only Take One Phone Call Or A Simple Note To Decide Who Gets The Job.
This Is Also A Huge Conflict Of Interest,hivi Kweli Kwa Mazingira Haya- Hawa Watoto Wa Vingunge Wakifanya Makosa Kazini Bw. Balali Ana Uwezo Wa Kuwafanya Chochote,shubutu??-kwani Kitumbua Chake Hakitaki? Kutakua Na Gross Misconducts Kibao Zinafungiwa Macho Hapa.hata Bro Jk Atakua Na Wakati Mgumu Sana Kama Anataka Kumdiscipline Balali, Atakua Anawagusa Wanene Wengi Hapa,na Najua Wapo Wanaomkingia Kifua Kurudisha Fadhila.
Mind You Haka Kalist Kanataja Watu Ambao Ni Directly Related Na Wazito Hao, Bado Kuna Distant Relatives, Kina Kapuku Tulie Tu-tutaishia Kupita Nje Ya Twin Tower Tu.
 
Huyo Jabir Kigoda Yuko Kwa Muda Sasa Hapo Bot Yeye Ndio Hana Kabisa Uwezo Huo Kuwa Hapo Bot Hata Elimu Yake Inatia Mashaka Sasa Hivi Ndio Anajiendeleza Kidogo Kidogo Kwa Kusoma Kozi Za Mitandaoni Huyo Analipwa Laki 7
 
Kwa taarifa yenu,

BOT ina aina mbili ya waajiriwa. Vipanga (intelligents) na watotowa vibosile. Kwenye hiyo category ya kwanza jamaa wako strict mno na ni kweli huwa wanapata watu qualified in short hamna ubabaishaji na kuna watu zaidi ya kumi watoto wa wakulima mimi nawajua, hawakusoma nje ya nchi wala hawako related na wakuu wapo pale na about four were fresh from skool. Category no. 02 hiyo ndiyo inahusisha watu wanaokuja kwa memo mfano mzuri ni Vicky Kamata (Afisa uhusiano wa BOT)huyu alimpigia kampeni muungwana na akaingia kundini uwezo wake kwawanaomfahamu unatia shaka. The rest ndio kama hao waliotajwa hapo juu. Sema kuna wengine ni kweli ni competent lakinitunarudi palepale wanapata kazi kwa memo which is very dangerous. Maana hawa wakuu wanajikuta wanajisahau na kutaka kulazimisha memo hata kwenye makampuni binafsi!!!!!!!
 
Ndugu wana JF kuna kaemail kalikua forwarded kwangu ,nilipokasoma nilipatwa na mshtuko lakini inshallah nguvu zangu zimenirudia leo na nachukua fursa hii kukawakilisha kwenu (in my own version) but i hope it will still be enjoyable to read........ enjoy!

Hii ni habari halisi na ya uhakika kutoka ndani ya BOT. Je unawajua walioajiriwa kusimamia uchumi wa nchi yetu na kutuletea mafanikio? Pokea taarifa ya wateule hawa.

Nakutajia kwanza wachache ili wewe na watanzania wenzetu watafakari kama kweli ndege yetu itaweza kupaa kama bwana Lowasa alivyosema, au tutabaki ombaomba kama Balali anavyodai!!!. Ama tunageuzwa kuwa wadanganyika!!!

Ndani ya Mtungi wa BOT walioqualify kuajiriwa kwa sifa na vigezo vinavyotambulika na BOT ni pamoja na hawa wafuatao:-

Pamella Lowassa, Filbert Frederick Sumaye, Zalia Kawawa, Harieth Lumbanga,Salama Ally Mwinyi, Rachael Muganda, Sylvia Omari Mahita, Justina James Mungai, Kenneth John Nchimbi, Blassia Blassius William Mkapa, Violeth Phillemon Luhanjo,Liku Irene Katte Kamba, Thomas Mongella,Jabir Abdallah Kigoda etc. Hii ndio success team, hapa nani atamuwajibisha Dalali alas Balali?
Je KAPUKU MWENDE(a.k.a KAYUMBA) ATAAJIRIWA KWELI HAPO?


Hawa ni wale wenye uhusiano wa moja kwa moja na wazito wa nchi, wapo wengine ambao ni ndugu wa karibu au kabila moja na waheshimiwa. Ni vigumu kuamini kuwa hii ni bahati mbaya(mere coincidence).

Wana JF, ni juu ya watanzania kuamua kuendelea na viongozi wabovu na wenye ubinafsi au kuwaambia ukweli hata kama utawauma na kwa vile wao ndio miungu basi watatoa adhabu za kukufukuza katika bustani ya Eden.

Rhuksa kupayuka utakavyoona inafaa, na kama kuna cha kuongeza na kiko ndani ya uwezo wangu, nitakuongezea.



Ombeni uhuru
 
Wandugu kama kweli hiyo list ni sahihi, basi nchi hii haifai hata kidogo sasa! Hiyo haiwezi kuwa "mere coincidence" ni watu wanawapa urithi watoto wao. Kabwela atarithi nini?!!!Jmani nchi ya JK mbona inachafuka mapema hivi? Huu ulele mama wa huyu jamaa walafi wanauchukulia "advantage" Na sisi wapiga kura nao...hatufai..wacha watutese maana tukipewa ubwabwa wakati wa campaign basi hewalaaa..
Administrator naomba nibadili jina...badala ya TZPRIDE niwe TzShame..maana hapa uzalendo ndo umenishinda hivyo.
 
Zitto chunguza, na ukigundua haya ni ya kweli,,,saidia kulipeleka hlii kwenye Jumba la Wawakilishi kule Dodoma!!!

Maana tunapenda kujua hiyo coincidence ya Watoto wa Wakuu kuajiriwa hapo 10 Mirambo Street.

By the way hili lina-qualify kwenda kwa PCCB, sheria mpya nadhani inatambua hii kama aina ya rushwa...
 
Back
Top Bottom