Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Nakubali Lakini Isnt It True That Mwalimu Also Didin't Want Anyone One From The Mentioned Tribes To Hold The Highest Power Like Presidency?licha Ya Kwamba Alikuwa Na Nia Nzuri Ili Kuepuka Matabaka Kwasababu Yeye Alikuwa Ni Muumini Wa Ujamaa,je Kuna Ubaguzi Ambao Ni Justified?i Am Just Curious!
 
Nakubali Lakini Isnt It True That Mwalimu Also Didin't Want Anyone One From The Mentioned Tribes To Hold The Highest Power Like Presidency?licha Ya Kwamba Alikuwa Na Nia Nzuri Ili Kuepuka Matabaka Kwasababu Yeye Alikuwa Ni Muumini Wa Ujamaa,je Kuna Ubaguzi Ambao Ni Justified?i Am Just Curious!

Mushi

Hii wewe umeipata wapi kuwa Mwalimu hukutaka wachaga washike nafasi za juu?
 
Jibu ni kuwasomesha Watoto wako leo. Wewe Treni ilikuacha zamani.
Well done Mkjj.
 
Kama ni kweli inatisha tuombe heri na Mola asimame kati yetu.
 
Wana JF; I have just received this via e-mail. Any one with evidence about this please let him/her bring for sharing and discussions. .

Waajiriwa Wa Bot

Hii ni habari halisi na ya uhakika kutoka ndani ya BOT. Je unawajua
walioajiriwa kusimamia uchumi wa nchi yetu na kutuletea mafanikio? Pokea
taarifa ya wateule hawa.
Nakutajia kwanza wachache ili wewe na watanzania wenzetu watafakari kama
kweli ndege yetu itaweza kupaa kama bwana Lowasa alivyosema, au tutabaki
ombaomba kama Balali anavyodai!!! . Ama tunageuzwa kuwa wadanganyika! !!
Ndani ya Mtungi wa BOT walioqualify kuajiriwa kwa sifa na vigezo
vinavyotambulika na BOT ni pamoja na hawa wafuatao:-

Pamella Lowassa, Filbert Frederick Sumaye, Zalia Kawawa, Harieth
Lumbanga,Salama Ally Mwinyi, Rachael Muganda, Sylvia Omari Mahita, Justina James Mungai, Kenneth John Nchimbi, Blassia Blassius William Mkapa, Violeth Phillemon Luhanjo,Liku Irene Katte Kamba, Thomas Mongella,Allen Shibuda,Jabir Abdallah Kigoda,Fred Nicolas Mwanri. Hii ndio success team, hapa nani atamuwajibisha Dalali alas Balali?
Je KAPUKU MWENDE(a.k.a KAYUMBA) ATAAJIRIWA KWELI HAPO?

Hawa ni wale wenye uhusiano wa moja kwa moja na wazito wa nchi, wapo
wengine ambao ni ndugu wa karibu au kabila moja na waheshimiwa. Ni vigumu
kuamini kuwa hii ni bahati mbaya(mere coincidence) .
Wana JF, ni juu ya watanzania kuamua kuendelea na viongozi wabovu na wenye
ubinafsi au kuwaambia ukweli hata kama utawauma na kwa vile wao ndio miungu
basi watatoa adhabu za kukufukuza katika bustani ya Eden.
Rhuksa kupayuka utakavyoona inafaa, na kama kuna cha kuongeza na kiko ndani
ya uwezo wangu, nitakuongezea.


Hii ilisha postiwa hapa http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=6655
 
Wana JF; I have just received this via e-mail. Any one with evidence about this please let him/her bring for sharing and discussions. .

Waajiriwa Wa Bot

Hii ni habari halisi na ya uhakika kutoka ndani ya BOT. Je unawajua
walioajiriwa kusimamia uchumi wa nchi yetu na kutuletea mafanikio? Pokea
taarifa ya wateule hawa.
Nakutajia kwanza wachache ili wewe na watanzania wenzetu watafakari kama
kweli ndege yetu itaweza kupaa kama bwana Lowasa alivyosema, au tutabaki
ombaomba kama Balali anavyodai!!! . Ama tunageuzwa kuwa wadanganyika! !!
Ndani ya Mtungi wa BOT walioqualify kuajiriwa kwa sifa na vigezo
vinavyotambulika na BOT ni pamoja na hawa wafuatao:-

Pamella Lowassa, Filbert Frederick Sumaye, Zalia Kawawa, Harieth
Lumbanga,Salama Ally Mwinyi, Rachael Muganda, Sylvia Omari Mahita, Justina James Mungai, Kenneth John Nchimbi, Blassia Blassius William Mkapa, Violeth Phillemon Luhanjo,Liku Irene Katte Kamba, Thomas Mongella,Allen Shibuda,Jabir Abdallah Kigoda,Fred Nicolas Mwanri. Hii ndio success team, hapa nani atamuwajibisha Dalali alas Balali?
Je KAPUKU MWENDE(a.k.a KAYUMBA) ATAAJIRIWA KWELI HAPO?

Hawa ni wale wenye uhusiano wa moja kwa moja na wazito wa nchi, wapo
wengine ambao ni ndugu wa karibu au kabila moja na waheshimiwa. Ni vigumu
kuamini kuwa hii ni bahati mbaya(mere coincidence) .
Wana JF, ni juu ya watanzania kuamua kuendelea na viongozi wabovu na wenye
ubinafsi au kuwaambia ukweli hata kama utawauma na kwa vile wao ndio miungu
basi watatoa adhabu za kukufukuza katika bustani ya Eden.
Rhuksa kupayuka utakavyoona inafaa, na kama kuna cha kuongeza na kiko ndani
ya uwezo wangu, nitakuongezea.

Jamani muwe mnasoma kwanza threads kabla ya kupost, hii post imerudiwa mara nyingi hapa mahali.
 
MROKI ni junior member so sio makosa yake ila kwa kumsaidia bora ifutwe
 
isifutwe iachwe tu..tusikatishe tamaa junior members....

mpoki hii nchi imeshaingia kwenye utawala wa kifalme if your dad is not or was not WHO IS WHO in tanzania circles bora tu utafutage kazi nyingine..watoto wetu watakuwa WORKING CLASS TU..ruling CLASS tayari ipo ..si unaona wameshawaazishia watoto hadi kwenye siasa...
 
Pamoja na kwamba ilishatoka hapa JF, jambo la kujivunia ni kwamba hata email zina circulate kwa watu wengi na hivyo inaonyesha idadi kubwa ya wasio na access na JF pia hupata habari kupitia njia nyingine.

This is just Feedback to JF
 
Pamoja na kwamba ilishatoka hapa JF, jambo la kujivunia ni kwamba hata email zina circulate kwa watu wengi na hivyo inaonyesha idadi kubwa ya wasio na access na JF pia hupata habari kupitia njia nyingine.

This is just Feedback to JF
Technical 'Know Who' hiyo. Inasikitisha sana.
 
jamani hawa tuwaweke kwenye maombi tu na vizazivyetu vije kuungana uko bila maoombi ya mwenyezi mungu mtaishia vumbi la chaki
mbarikiwe watoa mada
 
Naomba Tuifunge Mada Hii Leo Hii Jumapili Saa Moja Usiku,,imeashaandikwa Natumaini Wahusika Wamesoma Na
Habari Nyepesinyepesi Waungwana Wengine Wameamua
Kuanza Pale Open Wasijeaibika
Kwaherini
 
Mushi

Hii wewe umeipata wapi kuwa Mwalimu hukutaka wachaga washike nafasi za juu?

"PLEASE DONT PUT WORDS IN MY MOUTH"SIKUTAJA SPECIFICALLY WACHAGGA,WHAT I MEANT NI MWALIMU ALIOGOPA KWAMBA IF ANY OF THE MENTIONED BIG TRIBES HAPPEN TO ACQUIRE THE COUNTRY'S LEADERSHIP THEN KUNA POSSIBILTY YA KWA NA MATABAKA NA KUYASAHAU MAKABILA MADOGO,HIYO IKO WAZI KAMA HUJUI THEN I AM SORRY!NIA YAKE MAYBE ILIKUWA NI NZURI KWASABABU MWALIMU ALIPIGANIA UMOJA WA KITAIFA KULIKO KWA KILA HALI HILO LIKO WAZI.SO BILA KUJARIBU KUYUMBISHA MAANA HALISI YA POINTI YANGU KAMA UNAVYOTAKA KUJARIBU,BADO SWALI LINAJIRUDIA"IS IT JUSTIFIED?
 
samvulechole... hakuna hoja ambayo ni ngeni hapa.. madai ya makabila hayo kupendelewa hayakuanza leo! tangu mara tu baada ya uhuru kulikuwa na tuhuma hizo hizo.. so.. there is nothing there..! Hata hivyo hatari unayoweza kuleta siyo ukabila bali ubaguzi, kuwa kama mtu anatoka kwenye makabila hayo basi asipewe nafasi fulani kwa vile watu fulani wanadhani kuna ukabila! Nitakupa mfano, kuna wanasheria watatu wote ni maprofesa... kuna Prof. Mwakalindile (Sheria, uzoefu miaka 30), Prof. Mtimba (mmakua, uzoefu miaka 10, sheria), na Prof. Chanda (Mzigua, sheria uzoefu miaka 5). Assuming maeneo ya fani zao ni sawa, ceteris paribus Rais anataka kumteua mshauri wa kisheria.. nani apewe kwa haki? Wengi watasema prof. Mwakalindile! Sasa kwa kufanya hivyo hata hivyo kuna wanyakyusa wawili tayari hapo ikulu ambao wameshapata nafasi zao, je tumnyime Mwakalindile kwa vile itaonesha ukabila?

Kabla hatujafikia hapo pa kudai ukabila tujiulize: "Kwanini inaonekana kuna wasomi wengi wa makabila hayo matatu Wachaga, Wahaya, na Wanyakyusa"? Je, tupunguze wanafunzi wanaotoka kwenye makabila hayo na kuwapa nafasi watu wa makabila mengine ili kuleta uwiano (parity)? Je tukiamua kufanya hivyo hatutakuwa tunaanza ubaguzi wa kikabila?

Tarehe 9 Disemba 1968 Nyerere alitumia siku ya Jamhuri kuzungumzia "Vitu ambavyo ni lazima Tuvisahihishe", vitu ambavyo baada ya uhuru havikwenda vilivyotarajiwa. Alizungumzia ukabila; kwanza alisema hivi:

"the man who talks about tribalism being practised without having any evidence for his statement is often a man who wants to stir up tribalism. Even if that is not his purpose, the result can be just the same. People will begin to think that there is tribalism, and, once people begin to think in these terms, then tribalism has begun to enter tinto our society"

Kuhusu Wahaya, Wanyakyusa, na Wachaga kupata nafasi nyingi katika serikali, Mwalimu alisema hivi miaka karibu 30 iliyopita:

"..the work of the civil servants and people in the parastatal organizations does require education..it so happened that the Tanzanians who had the opportunity for higher education under the colonialists were mostly Wahaya, Wachagga, and Wanyakyusa. And because most of the education was provided by missionaries, most of these people are also Christians. That was our inheritance. These conditions will change, but they have not changed yet. And for these reasons, when we get rid of the Europeans who were doing responsible jobs, and give these jobs to Tanzanians, the people who get them come mostly from one or other of these three tribes".

Akaongeza pia,

"Therefore, if you ask me why Wahaya, Wachagga, and Wanyakyusa have most of the jobs which require higher education, the answer is very obvious. They were the ones who received higher education during colonial times. I'd say: investigate the position in politics where a man is not asked about his educational qualifications. Look at the Parliament, the National Executive and Central Committee of TANU, and at the Cabinet. How many Wanyakyusa, Wahaya, or Wachagga are members? You will find that perhaps there aren't any, or there are one or two. This is the truth"

kwa umahiri wake wa maneno JKN akatoboa ukweli huu

"Anyone who refuses to accept a very obvious truth like this, and says that the reason is tribalism, must provide us with the evidence for his statement. If he cannot provide any evidence, we must conclude either that he is a fool, or that he is strirring up tribalism deliberately. He is the sort of (a) person who begs work on a tribal basis, and when he is refused because he does not have the capabilities, he pretends he was refused on tribal grounds."

Akasema pia ni jukumu la serikali kusaidia sehemu ambazo bado ziko nyuma kielimu. Na alimaliza kwa kusema:

".. if a Mchagga, a Mhaya, or a Mnyakyusayoung man were refused work simply because of his tribe - when he is capable and there is no other Tanzanian with the qualifications - then we would be practising a very stupid and very evil kind of tribalism such as that which caused the establishment of Biafra. I beg you, my brothers, avoid ANYTHING WHICH COULD BRING OUR COUNTRY INTO THIS KIND OF DISGRACE" (emphasis mine)
(From: Uhuru na Maendeleo pp 76,77)

so what say you?


Mwanakijiji umechemsha kwa kunukuu Nyerere. Hotuba za Nyerere ni lazima zichambuliwe kwa wakati. Miaka ya sitini nchi nyingi za kiafrika zilikuwa bado kwenye honey moon ya uhuru. Na uhuru huu ulipiganiwa kwa kuyaunganisha makabila yote.

Matatizo ya ukabila yalijifisha. Chukua mfano wa Kenya, Jomo Kenyatta na Odinga hawakuona tofauti ya ukabila wakati wa kupigania uhuru. Lakini miaka ilivyozidi kwenda tofauti zilionekana.

Miaka ilivyozidi kwenda Nyerere aliona matatizo ya ukabila na ndio sababu ya kuanzisha sera zenye gharama kuondoa ukabila. Tunapata uhuru, tulikuwa na majimbo tisa lakini wakati anaondoka madarakani tulikuwa na mikoa 20 Tanzania bara na ambayo mgawanyo wake umefuata ukabila kwa namna fulani. Tanganyika ina makabila zaidi ya 120 na wakati anaachia ngazi kulikuwa na wilaya 121. Hivyo kwa wastani kila kabila lilikuwa na wilaya yake.

Elimu ya sekondari ilimfanya mwanafunzi kutoka Mtwara kwenda Mwanza. Gharama hizo zilikuwa za nini kama ukabila ulikuwa haupo.

Na kwanini nafasi za kisiasa za ngazi za juu zinachukuliwa na watu kutoka makabila madogo madogo na sio makabila makubwa au yaliosoma?

Vijana wengi waliopata kazi TRA, BOT nk wamemaliza shule miaka ya1990. Na ikitokea kuwa idadi ya watu wa mikoa fulani ni wengi ni lazima kuna ulakini na hotuba zilizotolewa miaka 39 iliyopita zisitumike ku-halalisha uwiano huo.

Katika miaka ya 1990 Nyerere alisema Mkiona vinaelea, vimeundwa.
 
"PLEASE DONT PUT WORDS IN MY MOUTH"SIKUTAJA SPECIFICALLY WACHAGGA,WHAT I MEANT NI MWALIMU ALIOGOPA KWAMBA IF ANY OF THE MENTIONED BIG TRIBES HAPPEN TO ACQUIRE THE COUNTRY'S LEADERSHIP THEN KUNA POSSIBILTY YA KWA NA MATABAKA NA KUYASAHAU MAKABILA MADOGO,HIYO IKO WAZI KAMA HUJUI THEN I AM SORRY!NIA YAKE MAYBE ILIKUWA NI NZURI KWASABABU MWALIMU ALIPIGANIA UMOJA WA KITAIFA KULIKO KWA KILA HALI HILO LIKO WAZI.SO BILA KUJARIBU KUYUMBISHA MAANA HALISI YA POINTI YANGU KAMA UNAVYOTAKA KUJARIBU,BADO SWALI LINAJIRUDIA"IS IT JUSTIFIED?

Mushi:

Kama mwalimu alipigania umoja wa kitaifa kwa kila hali ina maana kulikuwa na mgawanyiko fulani wa kikabila, kidini au kimajimbo. Huwezi kufanya jitihada za kupigania kitu ambacho hakipo. Huwezi kudai uhuru kama uhuru unao tayari. Umoja unatafutwa na wale wasio na umoja.

Katika ngazi za juu ilikuwa tabu kuwapata watu wa makabila makubwa. Mpare ana nafasi nzuri ya kuwa waziri kuliko mchagga pamoja na ukweli kuwa mchagga alianza kusoma mapema sana kuliko mpare.

Hakuna Justification yoyote zaidi ya fear.
 
Mwanakijiji umechemsha kwa kunukuu Nyerere. Hotuba za Nyerere ni lazima zichambuliwe kwa wakati. Miaka ya sitini nchi nyingi za kiafrika zilikuwa bado kwenye honey moon ya uhuru. Na uhuru huu ulipiganiwa kwa kuyaunganisha makabila yote.

Matatizo ya ukabila yalijifisha. Chukua mfano wa Kenya, Jomo Kenyatta na Odinga hawakuona tofauti ya ukabila wakati wa kupigania uhuru. Lakini miaka ilivyozidi kwenda tofauti zilionekana.

Miaka ilivyozidi kwenda Nyerere aliona matatizo ya ukabila na ndio sababu ya kuanzisha sera zenye gharama kuondoa ukabila. Tunapata uhuru, tulikuwa na majimbo tisa lakini wakati anaondoka madarakani tulikuwa na mikoa 20 Tanzania bara na ambayo mgawanyo wake umefuata ukabila kwa namna fulani. Tanganyika ina makabila zaidi ya 120 na wakati anaachia ngazi kulikuwa na wilaya 121. Hivyo kwa wastani kila kabila lilikuwa na wilaya yake.

Elimu ya sekondari ilimfanya mwanafunzi kutoka Mtwara kwenda Mwanza. Gharama hizo zilikuwa za nini kama ukabila ulikuwa haupo.

Na kwanini nafasi za kisiasa za ngazi za juu zinachukuliwa na watu kutoka makabila madogo madogo na sio makabila makubwa au yaliosoma?

Vijana wengi waliopata kazi TRA, BOT nk wamemaliza shule miaka ya1990. Na ikitokea kuwa idadi ya watu wa mikoa fulani ni wengi ni lazima kuna ulakini na hotuba zilizotolewa miaka 39 iliyopita zisitumike ku-halalisha uwiano huo.

Katika miaka ya 1990 Nyerere alisema Mkiona vinaelea, vimeundwa.

Kuna ukweli usio na mawaa kuhusu mgawanyo wa wilaya kwa makabila, sijajua kama hayati Mwalimu Nyerere (RIP) alifanya kwa makusudi ama ilitoke bahati mbaya katika kuuzika ukabila ama kuuendeleza. Mfano,mkoani Tanga:
Muheza-Wabondei
Lushoto-Wasambaa
Korogwe-Wasambaa/Wabondei
Pangani-Wadigo
Handeni-Wazigua
Kilindi-Wazigua/wanguu
Mkinga-Wasegeju

Ukija mkoani Iringa hali ni hiyo hiyo:
Njombe-Wabena
Ludewa-Wapangwa
Mufindi-Wahehe
Kilolo-Wadzungwa
Iringa vijijini-Wahehe
Makete-Wakinga/Wawanji

Mkoani Mbeya hali kadhalika hali inashabihiana na mikoa mingine
Mbeya Mjini/Vijijini-Wasafwa/Wamalila
Rungwe/Kyela-Wanyakyusa
Ileje-Wandali
Mbozi-Wanyiha
Chunya-Wabungu
Mbarali-Wasangu

Na mkoani Pwani je?
Bagamoyo-Wazaramo
Rufiji-Wandengereko
Kisarawe-Wangindo?
Kibaha-Wazaramo?


Sasa ilikuwaje kukawa na mgawanyiko wa namna hii?
Na hii ni "Coincidence" pia?


Tunaomba ufafanuzi kwa mwenye ufahamu
 
Kuna ukweli usio na mawaa kuhusu mgawanyo wa wilaya kwa makabila, sijajua kama hayati Mwalimu Nyerere (RIP) alifanya kwa makusudi ama ilitoke bahati mbaya katika kuuzika ukabila ama kuuendeleza. Mfano,mkoani Tanga:
Muheza-Wabondei
Lushoto-Wasambaa
Korogwe-Wasambaa/Wabondei
Pangani-Wadigo
Handeni-Wazigua
Kilindi-Wazigua/wanguu
Mkinga-Wasegeju

Ukija mkoani Iringa hali ni hiyo hiyo:
Njombe-Wabena
Ludewa-Wapangwa
Mufindi-Wahehe
Kilolo-Wadzungwa
Iringa vijijini-Wahehe
Makete-Wakinga/Wawanji

Mkoani Mbeya hali kadhalika hali inashabihiana na mikoa mingine
Mbeya Mjini/Vijijini-Wasafwa/Wamalila
Rungwe/Kyela-Wanyakyusa
Ileje-Wandali
Mbozi-Wanyiha
Chunya-Wabungu
Mbarali-Wasangu

Na mkoani Pwani je?
Bagamoyo-Wazaramo
Rufiji-Wandengereko
Kisarawe-Wangindo?
Kibaha-Wazaramo?


Sasa ilikuwaje kukawa na mgawanyiko wa namna hii?
Na hii ni "Coincidence" pia?


Tunaomba ufafanuzi kwa mwenye ufahamu

..ufahamu mdogo nilionao ni kuwa hawa walikuwa na himaya zao na haikuwa rahisi kuchanganyika kutokana na tofauti ndogondogo walizokuwa nazo.mfano,lugha na baadhi ya mila na desturi!

..hivyo ilikuwa convinient kwao kukaa makundi na kujitwalia ardhi au maeneo ambayo leo hii ndio hayo!

..kumbuka kuwa hata baadhi yao walipigana kugombea ardhi na kuporana mifugo!sasa,kimsingi wasingeweza kukaa pamoja au kuchanganyika kutokana na hayo!

..ni historia!kama ambavyo wamasai walivyoamia northern tanganyika na kuwaswaga wa-iraqw[wa-mbulu]hivyo kukuta sehemu fulani wamejaa wao nyingine wa-iraqw!
 
..ufahamu mdogo nilionao ni kuwa hawa walikuwa na himaya zao na haikuwa rahisi kuchanganyika kutokana na tofauti ndogondogo walizokuwa nazo.mfano,lugha na baadhi ya mila na desturi!

..hivyo ilikuwa convinient kwao kukaa makundi na kujitwalia ardhi au maeneo ambayo leo hii ndio hayo!

..kumbuka kuwa hata baadhi yao walipigana kugombea ardhi na kuporana mifugo!sasa,kimsingi wasingeweza kukaa pamoja au kuchanganyika kutokana na hayo!

..ni historia!kama ambavyo wamasai walivyoamia northern tanganyika na kuwaswaga wa-iraqw[wa-mbulu]hivyo kukuta sehemu fulani wamejaa wao nyingine wa-iraqw!

Tunashukuru kwa ufafanuzi mkuu.
Tuendelee kuelimishana!
 
Mwanakijiji umechemsha kwa kunukuu Nyerere. Hotuba za Nyerere ni lazima zichambuliwe kwa wakati. Miaka ya sitini nchi nyingi za kiafrika zilikuwa bado kwenye honey moon ya uhuru. Na uhuru huu ulipiganiwa kwa kuyaunganisha makabila yote.

Matatizo ya ukabila yalijifisha. Chukua mfano wa Kenya, Jomo Kenyatta na Odinga hawakuona tofauti ya ukabila wakati wa kupigania uhuru. Lakini miaka ilivyozidi kwenda tofauti zilionekana.

Miaka ilivyozidi kwenda Nyerere aliona matatizo ya ukabila na ndio sababu ya kuanzisha sera zenye gharama kuondoa ukabila. Tunapata uhuru, tulikuwa na majimbo tisa lakini wakati anaondoka madarakani tulikuwa na mikoa 20 Tanzania bara na ambayo mgawanyo wake umefuata ukabila kwa namna fulani. Tanganyika ina makabila zaidi ya 120 na wakati anaachia ngazi kulikuwa na wilaya 121. Hivyo kwa wastani kila kabila lilikuwa na wilaya yake.

Elimu ya sekondari ilimfanya mwanafunzi kutoka Mtwara kwenda Mwanza. Gharama hizo zilikuwa za nini kama ukabila ulikuwa haupo.

Na kwanini nafasi za kisiasa za ngazi za juu zinachukuliwa na watu kutoka makabila madogo madogo na sio makabila makubwa au yaliosoma?

Vijana wengi waliopata kazi TRA, BOT nk wamemaliza shule miaka ya1990. Na ikitokea kuwa idadi ya watu wa mikoa fulani ni wengi ni lazima kuna ulakini na hotuba zilizotolewa miaka 39 iliyopita zisitumike ku-halalisha uwiano huo.

Katika miaka ya 1990 Nyerere alisema Mkiona vinaelea, vimeundwa.
DUH!AMA KWELI MWANA WA MARYAM UNA PONITI!KUNA WATU WANA UPEO WA HALI YA JUU HUMU NDANI A FORUM KWAKWELI!
 
Mushi:

Kama mwalimu alipigania umoja wa kitaifa kwa kila hali ina maana kulikuwa na mgawanyiko fulani wa kikabila, kidini au kimajimbo. Huwezi kufanya jitihada za kupigania kitu ambacho hakipo. Huwezi kudai uhuru kama uhuru unao tayari. Umoja unatafutwa na wale wasio na umoja.

Katika ngazi za juu ilikuwa tabu kuwapata watu wa makabila makubwa. Mpare ana nafasi nzuri ya kuwa waziri kuliko mchagga pamoja na ukweli kuwa mchagga alianza kusoma mapema sana kuliko mpare.

Hakuna Justification yoyote zaidi ya fear.
SI NDIO HAPO SASA FEAR ILIPO"JUSTIFY" DISCRIMINATION?
 
Back
Top Bottom