Ukabila ndio umembeba Kenyatta, si sera!

Mujumba, kwa hiyo 'CAPITALIZED' kweli stress zinapungua, ulikuwa fasta sana au?

nawewe si umezee tu mpaka uhoji hahahaa kweli jf ni mahali salama pa kuishi!
 
Naipongeza sana tume huru hiyo!! Keep it up kijana mdogo but mwenye kujua kazi!! Sasa Tanzania kwa kuwa katika katiba mpya tumesema iwe independent basi na iwe ili tupate demokrasia ya kweli. Kenya mambo yamegundukika mapema and are-redoing manully zile ambazo wamesharusha!! Balaa la kufa mtu!! Kwa heri Uhuru. Rudi ICC ukalimalize na kwa mbinu hizi unatakiwa uwe banned kugombea for life!! Kwa nini unabaka demokrasia ya wakenya? Unataka ukimbilie ikilu halafu iweje? Jaluo ataendelea kukuongoza!! Mzee wa meno ya tembo ile mbinu yenu ime-abort tena triplets!!! Ha ha ha!!
 
mmh kazi kweli kumbe cdm na odinga kambi moja?.mshaurini odinga aje kuchukua vijana wa kuandamana Tz maana hyo kazi tunaweza,mradi tu mbowe aseme na yawepo mafuso ya kubeba makamanda
 
Nilivyosikia tu Wakenya wanaweza vitu vyote kwenye mfumo wa computer, kitu kimoja kikanijia mawazoni.

"Hackers Delight".
watu wanahack mpaka computer za pentagon ndio washindwe ku hack hapo kenya??
 
obama mweusi anatawala weupe usa, sembuse odinga.? watu wamebadilika sana hasa hiki kizazi cha dot com.
 
Du !!!
Wizi wa kura computerised!
 
watu wanahack mpaka computer za pentagon ndio washindwe ku hack hapo kenya??

Kuna ma security consultant wanaoshauri IT security za systems kama za pentagon, nao washakuwa hacked.

Watu wamei hack big head $100 note wiki mbili tu baada ya kuchapishwa.

What is made by man, can be taken apart.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…