Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii imekaa kitanzania zaidi
haaahaaaa haaaahaa yani umenivunja 'MBAVI' saana! ama kweli ukiwa na stress ingia JF
Tusubiri matokeo lakini kwa mtazamo wangu Raila ndiye rais!
What is Bamas.
This can only happen in Africa
Tusisahau kwamba katibu mkuu wa ccm yupo Kenya
.
Check your history, it happened in US when Senator Kerry was dropped!
Hata mimi nimesikia hivyo na wamesema zile kura zote zilizoingia jana kwa electronics nazo zitaingizwa manually kwa kusubiri wale wakuu wavituo vyote wawakilishe hardcopy za results!!
Kwishney uhuru!! Yale yale ya vijana wa vodacom kujichimbia Seaview 2010 kuchakachua!! Nafikiri mbinu hii Kenyata kaipata Tanzania!! Limeumbuka!!
Na Kenya Independent Election Commission haina mchezo! Hata sisi 2015 kukiwa na tume huru mambo yatakuwa mazuri na hapo hapo ni lazima tuwe na kituo cha friends of Chadema ili wajumlishe fasta.
.......
This can only happen in Africa.
.......
Afrika wapi? Hata Bush (mtoto) hukumbuki alivyomfanya John Kerry? Wizi wa kura hadi Marekani upo, seuze Kenya?
.......