Ukabila ndio umembeba Kenyatta, si sera!

Tanzania tunatisha sanaaa !

Matokeo ya Musoma (thousands miles away )yalipatikana mapema sana Dar es salaam makao makuu, kuliko ya Tabata segerea (just few miles) away..
 
Nilitaka kushangaa mambo yanavyokwenda hapo Kenya. Yawezekana kabisa hao friends wa Oding wakawa sahih kuwa ushindi ni wa Odinga. Hapa UhuRuto wawe wapole maana machfuko yataanzia kwao wakicheza
 
Ogopa makanjanja na maburula, they can do anything.
 
Kinana at work as usual.

Hakua ubishi this time utaumbuka.
 
naangalia hapa ktv raila anamuaacha mbali sana uhuru katika matokeo ya county, nimetokeo ya manual.
 
Shame on them. But what is the source of this information.
 
actually inashangaza maana toka mwanzo tofauti yao no laki nne.nilikuwa na maswali mengi lakini nikajua electonically hawawez chakachua,kumbe uhuru kashafanya mambo.kweli uhuru ni mhuni flani hivi,sikuwa na imani nae toka mwanzo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…